Tatizo la miguu kuwaka moto (neuropathy): Ushauri, Kinga na Tiba

Tatizo la miguu kuwaka moto (neuropathy): Ushauri, Kinga na Tiba

Habarini za jioni wakuu, poleni kwa mihangaiko ya kila siku...

Jamani nina tatizo la miguu kuwaka moto kila nikiingia kitandani kulala.. Hili jambo limekuwa likinisumbua miezi kadhaa sasa. Mwanzoni nilidhani ni kwakuwa natembea peku kwenye tiles.. Nikaacha hiyo tabia nikawa navaa ndala kila wakati lakini bado hili jambo linanisumbua..

Naamini humu kuna madaktari na watu walio'experience hili jambo, naombeni msaada wenu jamani nifanyaje??
 
Habarini za jioni wakuu, poleni kwa mihangaiko ya kila siku...

Jamani nina tatizo la miguu kuwaka moto kila nikiingia kitandani kulala.. Hili jambo limekuwa likinisumbua miezi kadhaa sasa. Mwanzoni nilidhani ni kwakuwa natembea peku kwenye tiles.. Nikaacha hiyo tabia nikawa navaa ndala kila wakati lakini bado hili jambo linanisumbua..

Naamini humu kuna madaktari na watu walio'experience hili jambo, naombeni msaada wenu jamani nifanyaje??

Vuta subira kidogo watakuja sasa hivi. Tuwasikilize wa pande zote wale wa darasani na akina Kingunge
 
Punguza pombe, kama huwezi jitahidi kunywa maji mengi angalau glass 12 kwa siku lakini uwe unakunya sana sio unajibanabana wakati mavi yanaumaa!
 
Punguza pombe, kama huwezi jitahidi kunywa maji mengi angalau glass 12 kwa siku lakini uwe unakunya sana sio unajibanabana wakati mavi yanaumaa!

Asante mkuu... Ila kuhusu pombe nimepunguza sana sikuhizi. Nakunywa mara moja tu kwa wiki.. Nitazingatia kuhusu maji maana hilo la gogo ni huwa sicheleweshi ahaha
 
Ni uzito tu unaosababisha hayo nilikuwa na tatizo hilo wakati huo nilikuwa na kg. 83 kwa sasa nimepungua uzito nina kilo 76 tatizo limekwisha kabisa. Hivyo nakushauri fanya mazoezi ya kupunguza uzito tu tatizo litakwisha.
 
Ni uzito tu unaosababisha hayo nilikuwa na tatizo hilo wakati huo nilikuwa na kg. 83 kwa sasa nimepungua uzito nina kilo 76 tatizo limekwisha kabisa. Hivyo nakushauri fanya mazoezi ya kupunguza uzito tu tatizo

litakwisha.
mbona mi nina 62 na inawaka moto
 
Nami nilikuwa na tatizo kama hilo. Usiku hakuna kulala... Sikuonana na specialist lakini madaktari wa kawaida(general) walinambia kuwa huenda ikawa ni tatizo la nerves.
Kwa sasa hali yangu ni nzuri baada ya kuhudhuria Kliniki ya tiba mbadala. Kama unaishi Dar au Mwanza nenda kwenye kliniki ya Nuga Best!
 
Miiguu kuwa na ganzi,ni kwanini na nitumie dawa gan?

TATIZO LA MIGUU/MIKONO KUFA GANZI


Katika mwili wa binadamu, kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi kuwaka moto na kufa ganzi kwa viungo vya pembezoni mwa mwili


yaani miguu na mikono. Tatizo hili kitaalamu hujulikana kwa jina la Peripheral Neuropathy.
Matatizo haya ya kiafya (miguu/mikono kuhisi ganzi, baridi au maumivu) husababishwa na kuumia au kudhoofika kwa neva za pembezoni mwa mwili (miguuni au mikononi) na


hivyo kupotea kwa uwezo wa kufanya kazi wa neva katika sehemu husika, miguuni au mikononi.
Dalili zinazoambatana na ugonjwa huu ni hizi zifuatazo


1.Mtu kuhisi ganzi


2. kushindwa kushika au kunyanyua kitu, kuchoka kwa misuli na kadhalika.


3.maumivu au kuwaka moto maeneo ya miguuni/mikononi,
Miongoni mwa mambo ambayo hupelekea neva hizi za pembezoni kudhoofika na kushindwa kufanya kazi vizuri ni haya yafuatayo:


1.Kupungua kwa virutubisho mwilini,hasa mkusanyiko wa vitamini B, (Vitamin B Complex).


2.Matumizi ya dawa, mfano dawa za kutibu kifua kikuu au za kupambana na virusi vya ukimwi


3.Uzito mkubwa wa mwili,


4.Ugonjwa wa kisukari,(diabetic polyneuropathy).


5.Shinikizo la damu,


Fanya mazoezi,kula vyakula vyenye virutubisho na kula mboga mboga na matunda.
 

Attachments

  • Numbness-in-feet1.jpg
    Numbness-in-feet1.jpg
    11.7 KB · Views: 175
Kwa nyongeza ganzi huweza pia kuletwa pia magonjwa yafuatayo 1.Guerine barry syndrome2.Polythecethemia lubra vera 3. Lyme diseases 4.Leprosy 5. Cancer of the spine 6. Alcohol intoxication 7. Vinicristine drugs 8.HIV infection 9. Trauma or injury of the nerves 10. Excessive intake of vitamin B.
 
Habari.

Ndugu wana Jf, kwa takribani zaidi ya mwaka sasa, ninasumbuliwa na tatizo la nyayo za miguu kuwaka moto.

Wakati inaanza nilijua tatizo ni aina ya viatu ninavyo tumia, nikabadirisha na tatizo likabaki pale pale.

Nikaamua kwenda hospitali mara kadhaa bado tatizo halija ondoka,(dawa nilizo tumia, ni multvitamin, neurobine, na neuro support. na siku hizi, nyayo zina uma mda wowote tofauti na mwanzoni ambapo nyayo zilikuwa zinauma wakati wa usiku pekee.

Pia, nyayo zikiuma nnakuwa najisikia hali ya kuchoka sana, na kukosa nguvu.

Hospitali nilizo enda ni za serikali, moja ya wilaya na nyingine ni ya mkoa.

Sasa nnawaomba ndugu zangu, msaada wa mawazo wa jisni ya kupata ufumbuzi wa tatizo langu, eidha kwa kunielekeza hospitali ambayo nnaweza kwenda kupata matibabu kwa gharama yeyote ile nipo tayari.

Na kama kuna mtu aliwahi kupata hili tatizo, na likatatuliwa nnaomba unishirikishe na mimi nipate kupona maana nnateseka.

Asanteni.
 
Uzito wako wa mwili ukoje sasa hivi ukilinganisha na zamani?
Hilo tatizo huwashika sana watu wenye ongezeko kubwa la uzito wa mwili.
 
Habari.

Ndugu wana Jf, kwa takribani zaidi ya mwaka sasa, ninasumbuliwa na tatizo la nyayo za miguu kuwaka moto.

Wakati inaanza nilijua tatizo ni aina ya viatu ninavyo tumia, nikabadirisha na tatizo likabaki pale pale.

Nikaamua kwenda hospitali mara kadhaa bado tatizo halija ondoka,(dawa nilizo tumia, ni multvitamin, neurobine, na neuro support. na siku hizi, nyayo zina uma mda wowote tofauti na mwanzoni ambapo nyayo zilikuwa zinauma wakati wa usiku pekee.

Pia, nyayo zikiuma nnakuwa najisikia hali ya kuchoka sana, na kukosa nguvu.

Hospitali nilizo enda ni za serikali, moja ya wilaya na nyingine ni ya mkoa.

Sasa nnawaomba ndugu zangu, msaada wa mawazo wa jisni ya kupata ufumbuzi wa tatizo langu, eidha kwa kunielekeza hospitali ambayo nnaweza kwenda kupata matibabu kwa gharama yeyote ile nipo tayari.

Na kama kuna mtu aliwahi kupata hili tatizo, na likatatuliwa nnaomba unishirikishe na mimi nipate kupona maana nnateseka.

Asanteni.

TATIZO LA MIGUU/MIKONO KUFA GANZI NA KUWA MOTO


Katika mwili wa binadamu, kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi kuwaka moto na kufa ganzi kwa viungo vya pembezoni mwa mwili


yaani miguu na mikono. Tatizo hili kitaalamu hujulikana kwa jina la Peripheral Neuropathy.
Matatizo haya ya kiafya (miguu/mikono kuhisi ganzi, baridi au maumivu) husababishwa na kuumia au kudhoofika kwa neva za pembezoni mwa mwili (miguuni au mikononi) na


hivyo kupotea kwa uwezo wa kufanya kazi wa neva katika sehemu husika, miguuni au mikononi.
Dalili zinazoambatana na ugonjwa huu ni hizi zifuatazo


1.Mtu kuhisi ganzi


2. kushindwa kushika au kunyanyua kitu, kuchoka kwa misuli na kadhalika.


3.maumivu au kuwaka moto maeneo ya miguuni/mikononi,
Miongoni mwa mambo ambayo hupelekea neva hizi za pembezoni kudhoofika na kushindwa kufanya kazi vizuri ni haya yafuatayo:


1.Kupungua kwa virutubisho mwilini,hasa mkusanyiko wa vitamini B, (Vitamin B Complex).


2.Matumizi ya dawa, mfano dawa za kutibu kifua kikuu au za kupambana na virusi vya ukimwi


3.Uzito mkubwa wa mwili,


4.Ugonjwa wa kisukari,(diabetic polyneuropathy).


5.Shinikizo la damu,

Ushauri wangu kabla ya Tiba.

(1) Nenda Hospitali kapime huenda una ukosefu wa Vitamini Mwilini.

(2) Kapime Mapigo yako ya Moyo na figo na ini lako je yote hayo Yapo Sawa?

(3) Kapime Ugonjwa wa Kisukari.

(4) Je una kunywa Pombe? kama unakunywa Pombe acha. je unavuta Sigara? Je una kilo ngapi?
 
TATIZO LA MIGUU/MIKONO KUFA GANZI NA KUWA MOTO


Katika mwili wa binadamu, kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi kuwaka moto na kufa ganzi kwa viungo vya pembezoni mwa mwili


yaani miguu na mikono. Tatizo hili kitaalamu hujulikana kwa jina la Peripheral Neuropathy.
Matatizo haya ya kiafya (miguu/mikono kuhisi ganzi, baridi au maumivu) husababishwa na kuumia au kudhoofika kwa neva za pembezoni mwa mwili (miguuni au mikononi) na


hivyo kupotea kwa uwezo wa kufanya kazi wa neva katika sehemu husika, miguuni au mikononi.
Dalili zinazoambatana na ugonjwa huu ni hizi zifuatazo


1.Mtu kuhisi ganzi


2. kushindwa kushika au kunyanyua kitu, kuchoka kwa misuli na kadhalika.


3.maumivu au kuwaka moto maeneo ya miguuni/mikononi,
Miongoni mwa mambo ambayo hupelekea neva hizi za pembezoni kudhoofika na kushindwa kufanya kazi vizuri ni haya yafuatayo:


1.Kupungua kwa virutubisho mwilini,hasa mkusanyiko wa vitamini B, (Vitamin B Complex).


2.Matumizi ya dawa, mfano dawa za kutibu kifua kikuu au za kupambana na virusi vya ukimwi


3.Uzito mkubwa wa mwili,


4.Ugonjwa wa kisukari,(diabetic polyneuropathy).


5.Shinikizo la damu,

Ushauri wangu kabla ya Tiba.

(1) Nenda Hospitali kapime huenda una ukosefu wa Vitamini Mwilini.

(2) Kapime Mapigo yako ya Moyo na figo na ini lako je yote hayo Yapo Sawa?

(3) Kapime Ugonjwa wa Kisukari.

(4) Je una kunywa Pombe? kama unakunywa Pombe acha. je unavuta Sigara? Je una kilo ngapi?

Ukimaliza yote na upo powa hujapata dawa nitafute mimi dawa ya kukutibu Maradhi yako

Nashukuru ndugu kwa msaada, mimi situmii kilevi cha aina yeyote ile.

Nilipima diabetes sina, ganzi sipati zaidi ya misuli kuchoka, presha nmeambiwa nna 130/90, uzito wangu ni 68Kg, urefu ni 170cm, 26 yrs dawa za vitamin nnazitumia kama nilivyo eleza hapo juu.
 
Kwa kutumia kipimo cha endorscopy pale BUGANDO Mwanza niliambiwa naumwa GERD. Kilichopelekea kupima ilikuwa ni maumivu ya kifuani kuuma style ya kuwaka moto pamoja na miguu kuuma style ya kuwaka moto. Daktari ameendelea kunipa dawa mbalimbali. Maumivu ya kifua yamepungua sana kama 95% hivi ila miguu ndo bado.


Hali kwa sasa
.Miguu kuuma kwenye nyayo kwa kuwaka moto. Wakati mwingine inanilazimu kuweka miguu kwenye maji ili ipate ubaridi
.Wakati fulani (inatokea baada ya mwezi au miwil) hususani baada ya tendo la ndoa au nikila mapapai mengi, nakuwa nasikia mkojo kuta kutoka ila hautoki. Inabidi nikae muda mwingi chooni kuusubiri ukitoka kwa awamu tofauti tofauti
.Miguu ikianza kuuma nguvu za kiume hazipo kabisa

Swali
Je, maumivu haya bado ni mwendelezo wa GERD?
Kuna umuhimu wa operation?
Nasubiri ushauri wenu wakuu
Wenu
Polisi. Nipo Mwanza
 
ndugu jf doctor nina tatizo, mguu wangu wa kushoto ganzi inanisumbua, kuunyanyua na kutembea naweza ila nasikia ganzi, nikilala ndo nasikia maumiv yan hiyo ganzi yenyewe na nikiwa natembea kuifeel ile ganzi kunapungua ila nikisimama au kukaa naisikia lakin kwenye mguu wa kulia niko poa ni huu mguu wa kushoto tu kuanzia juu ya magot had chin, naomba ushauri wako
 
Back
Top Bottom