Tatizo la miguu kuwaka moto (neuropathy): Ushauri, Kinga na Tiba

Tatizo la miguu kuwaka moto (neuropathy): Ushauri, Kinga na Tiba

kiwe ndo kiburudisho chako muda wote
yaani unakunywa
kama ukiwa umetulia home unaweza kupaka pia
si unajua asali inanatanata sana so lazima ukipaka lazima utulie then baada ya muda fulani unaiosha na unaendelea na mambo yako mengine,
pole sana mwaya.

asante sana Mamdenyi.
 
Ndugu Wanajamii,
Nina tatizo la kupata joto kwenye nyayo za miguu hasa mguu wa kulia, tatizo hili linajitokeza pindi nikiwa nimeketi kwenye kiti, nyayo zinakuwa na joto kiasi inabidi nikanyagie visigino, wakati wa kutembea hali hii haijitokezi kabisa, je nini ishara yake na tiba yake? nakosa amani hasa ninaposafiri safari ndefu na muda wote nimekaa kwenye siti,
Naomba ushauri wenu
 
Umri, jinsia,kazi shughuli yako?

Je, ni kwa muda gani umekuwa na tatizo hilo? lilianzaje, je linapungua/kuongezeka au liko pale pale kadri ya muda unavyokwenda?
-Je miguu hufa ganzi, kusikia vitu kama una vichomi(kuhisi miguu inachomwa chomwa)?, jotoridi la miguu huwa linapungua (kuhisi miguu inakuwa ya baridi?)
-Ulishawahi kupima sukari?Kuna mtu katika familia/ukoo mwenye tatizo la kisukari?
-
 
Umri wangu 50yrs, kazi yangu designer/ printer, pia marketing hivyo kutembea posta - k'koo jambo la kawaida kwangu, limetokea ghafra nahisi joto hasa ninapokuwa nimeketi au kusimama kwa muda mrefu, bado lipo palepale sioni dalili za kupungua, swala la ganzi hapana wala kichomi au kuwa baridi sana , kupima sukari ni miezi 3 iliyopita sina, kwenye familia yangu/ukoo wetu hakuna ila walikuwepo wenye ugonjwa wa moyo9 pressure) Nitashukuru kwa msaada wako mkuu
 
Pole sana kwa adha ya nyayo kupata joto.Jaribu kupakaa maji ya shubiri mwitu(alovera) kila jioni tatizo litatoweka.
 
Nasumbuliwa na tatizo la nyayo kuwaka moto karibu mwaka mmoja na nusu sasa hasa ninapokua nimekaa ila nikiwa natembea sisikii na kuna wakati huwa hali hiyo hupotea na muda mwingine hujirudia na pia nina taizo la vidonda vya tumbo kwa miaka minne.

Sasa nasikia matangazo mengi ya tiba mbadala ila naogopa kuliwa pesa kama nilivyopoteza kwa tatizo la vidonda vya tumbo mwenye kujua wataalam walipo anisaidie.
 
Pima kisukari mara mara na anza kufanya mazoezi mara kwa mara ili kupungunza kiasi cha sukari mwilini!
 
Vidonda vya tumbo muone yule daktari Rahabu yupo ubungo plaza pale, matibabu yake ni ya uhakika kama pia utamtanguliza mungu

Kuhusu visigono vyako zingatia sana usafi wa viatu, soksi na miguu yenyewe..
 
nasumbuliwa na tatizo la nyayo kuwaka mota karibu mwaka mmoja na nusu sasa hasa ninapokua nimekaa ila nikiwa natembea sisikii na kuna wakati huwa hali hiyo hupotea na muda mwingine hujirudia na pia nina taizo la vidonda vya tumbo kwa miaka minne sasa nasikia matangazo mengi ya tiba mbadala ila naogopa kuliwa pesa kama nilivyopoteza kwa tatizo la vidonda vya tumbo mwenye kujua wataalam walipo anisaidie
Pole sana

ninakupa Dawa ya Tiba Mbadala ya Nyayo kuwaka Moto. Nunuwa Hina upakae nyayoni kila siku kwa muda wa siku 3 kisha njoo hapo utupe Feedback.

Kuhusu Vidonda vyako vya Tumbo Kama utaweza tumia Dawa hii ya kwangu ya Tiba Mbadala. Kwanza kabisa hakikisha huna Maradhi

ya Zinaa au Maradhi ya (UTI) nenda kapime Hospitali. Kila siku unapo amka Asubuhi kabla ya kula au kunywa kitu nenda chooni

ukojoe na ukinge Mkojo

wako kipimo cha glasi 1 kisha unywe ukae baada ya saa 1 kupita waweza kula au kunywa kitu chochote kile fanya hivyo kwa muda

wa siku 10 kisha nenda kapime Vidonda vya tumbo utakuta umekwisha kabisa kupona ukiweza fanya hiyo dawa. Kisha uje hapa unipe

Feedback. Chanzo.MziziMkavu Hauchimbwi Dawa.
 
mmmh njoo kwa Dr Rahabu hapa Ubungo plaza utapona mpendwa hivyo vidonda vya Tumbo
 
Miguu kuwaka moto unaweza kua na huu ugonjwa Kwa kitaalam I unaitwa Plantar fasciitis au flat feet. Na linasababishwa na kuvaa wrong type of shoes au kua over weight. Just google "Plantar fasciitis" and read more about it, causes, symptoms diagnosis na treatment.
Ninaweza kua wrong Mimi sio dactari na sijui condition yako. Kwa
Meelezo zaidi pata ushauri wa dactari. Unaweza pia pitia hii tovuti Kwa meelezo zaidi

http://www.ncbi.nlm.nih.gov/pubmedhealth/PMH0004438/#adam_007021.disease.causes
 
Back
Top Bottom