Tatizo la mtu kuongea peke yake: Fahamu visababishi na namna ya kutatua shida hii

Tatizo la mtu kuongea peke yake: Fahamu visababishi na namna ya kutatua shida hii

it can be really scarey being next to someone who talks to themselves..
 
Wafungua pepsi "mxyiissxxii" mbona wanaongezeka.Unakuta watu wanasonyasonya tu peke yao.
 
Mtoa mada hujatuambia huyo rafikio wa kike huwa anakufanyeje mpaka ukiwaza unajikuta ukimfukuza?

tupe story nzima tukushauri vzr. Haiwezekan kama mko vzr ujikute tu unamfukuza badala yake utajikuta ukisema njoo karibu la aziz.

funguka kijana usaidiwe
 
Mtoa mada hujatuambia huyo rafikio wa kike huwa anakufanyeje mpaka ukiwaza unajikuta ukimfukuza?

tupe story nzima tukushauri vzr. Haiwezekan kama mko vzr ujikute tu unamfukuza badala yake utajikuta ukisema njoo karibu la aziz.

funguka kijana usaidiwe

principles of counselling don't in a position to speculate more information from a client will feel as if you are looking for private life, study careful what he/she speaks and you will understand the problem[emoji3]
 
Back
Top Bottom