Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,071
- 6,753
Mkuu yaani mimi najikuta naongea mwenyewe kama najibishana na mtu nishachunguza kwetu tupo hivyo hasa kwa upande wa mama ila naona ni genetic
Nikija moshi ntakutafuta mkuu maana ulishawahi kusema huku jf unakaa KCMC
Sio kila mara niko hapo sasa niko Kibiti