Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok mkuu nimekupata.Uwezo wa kufanya mapenzi kupungua, mfano kuwahi kufika kileleni na kutoweza kuendelea na tendo baada ya "bao" la kwanza!
Ok mkuu nimekupata.
Wapendwa wanaJF,mimi ni kijana wa miaka 30,hapo awali nilikuwa na speed nzuri tu katika game,lakin kuanzia mwaka jana uwezo wangu umepungua sana,nimekuwa kwenye msongo wa mawazo nikitafuta kazi,mpaka ndio nikajikuta imenitokea hali hiyo,hisia nakuwa nazo lakin nikilala na mwanamke mtalimbo unachelewa sana kusimama,na wakat mwingne unagoma kabisa,halafu nawah kukojoa goli la kwanza,lakin la 2 linachukua muda,naomben ushauri na msaada jaman,nahitaj kurudisha uwezo wangu kama zaman ili nimridhishe mke wangu mtarajiwa kwan nina mchumba sasa na tunahitaj kuanza process za kufunga ndoa,
Mkuu muone daktari!Wapendwa wanaJF,mimi ni kijana wa miaka 30,hapo awali nilikuwa na speed nzuri tu katika game,lakin kuanzia mwaka jana uwezo wangu umepungua sana,nimekuwa kwenye msongo wa mawazo nikitafuta kazi,mpaka ndio nikajikuta imenitokea hali hiyo,hisia nakuwa nazo lakin nikilala na mwanamke mtalimbo unachelewa sana kusimama,na wakat mwingne unagoma kabisa,halafu nawah kukojoa goli la kwanza,lakin la 2 linachukua muda,naomben ushauri na msaada jaman,nahitaj kurudisha uwezo wangu kama zaman ili nimridhishe mke wangu mtarajiwa kwan nina mchumba sasa na tunahitaj kuanza process za kufunga ndoa,
Well said Nyani...................hapa atapata madoctor feki wa kumpotezaDaah! Common sense ain't that common. Brotherman, hurry up and go find yourself a urologist. A real one. Here you are just wasting your time and you run the risk of getting phony expert advice from bogus and virtual doctors.
dah, hili sasa ni janga la kitaifa...................
Kila kona, kila kukicha linazidi kuongezeka!!!!!