Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

Ndugu zanguni hebu tusaidiane katika hili. Nina rafiki yangu mmoja alikuwa ananiomba ushauri anasema yeye ameoa. Anapata tatizo moja kubwa. Kila wakiwa na mwenzake kwenye malovedavi wakianza ku du tu....anakua yuko fiti na ana du kwa dakika kama 5 hivi anapiga bao moja basi anakua hana hamu tena na Muhogo unalala. Sasa anaomba ushauri je anatatizo gani na afanye nini ili angalau aweze kupiga bao mbili. Ushauri wenu unahitajika.
 
Ndugu zanguni hebu tusaidiane katika hili. Nina rafiki yangu mmoja alikuwa ananiomba ushauri anasema yeye ameoa. Anapata tatizo moja kubwa. Kila wakiwa na mwenzake kwenye malovedavi wakianza ku du tu....anakua yuko fiti na ana du kwa dakika kama 5 hivi anapiga bao moja basi anakua hana hamu tena na Muhogo unalala. Sasa anaomba ushauri je anatatizo gani na afanye nini ili angalau aweze kupiga bao mbili. Ushauri wenu unahitajika.

Wewe ndio unatatizo hapa sio fb fanya mazoezi wacha kula vyakula vya mafuta utakuwa fit hilo tatizo lako litaondoka
 
Kwanza ndoa ina muda gani? Alikuwa natatizo hilo kipindi anaoa au baada ya kukaa kwenye ndoa kwa muda mrefu? Mimi naona siyo tatizo kama atakuwa anakwenda round moja akilala na wakati wa kuamka asubuhi akashitua tena.

Sasa kama jogoo hashituki tena baada ya safari hiyo hilo ni tatizo lakini ambalo linahitaji tiba. Pia kama aliwahi kuwa mpiga nyeto mahiri hapo nyuma anaweza kuwa ameathirika kisaikolojia maana mwanamke ni tofauti na ny'eto hasa kuanzia second round ambayo nyoka keshatema mate yake tehe tehe.
 
Hizo Dakika 5 anazokwambia siyo za kweli anakuongopea, huyo aishapanda anakojoa basi, Mimi nahisi huyo alikuwa anapiga punyeto kabla hajaoa na imemfanya ajenge mazoea kwamba baada ya kamoja ka punyeto anakaa pembeni sasa hata kwa wife ni hivyo. Lakini pia huenda ana matatizo ya kisaikolojia yanayotokana na maisha anayoishi.

Tatizo hili pia huwatokea watu wenye mgogoro kwenye ndoa. Mfano mke akikwambia we si lolote kwenye mechi inamuathiri mwanaume katika tendo la ndoa. Hivyo tunashauri kina dada na kina mama msiwakatishe moyo wenzenu wakati wa tendo hilo hata kama hujaridhika. Mpe moyo. Wengi wenye matatizo hayo walioeleza ukweli wao wamepona baada ya kupewa ushauri na Dk na pia kupewa dawa za miti shamba au maelekezo ya kufanya mazoezi ya kukuza mishipa ya uume kwa kukanda na mafuta maalum.

Naomba sana vijana wa tanzania muepuke kutumia Viagra mnapoona uwezo ni mdogo kumridhisha mkeo tafuta wataalamu wenye roho ya kibinadamu wanaoweza kukupa ushauri wa kukuponya kabisa. Wasiliana na Namba hii 0715 636688 au 0755 336688 Yuko Dar es salaam amesaidia wengi. Jieleze kwa uwazi utasaidiwa ila kuwa mkweli kueleza historia ya tatizo lako usaidiwe. Mitishamba siyo uchawi.
 
Kwanza ndoa ina muda gani? Alikuwa natatizo hilo kipindi anaoa au baada ya kukaa kwenye ndoa kwa muda mrefu? Mimi naona siyo tatizo kama atakuwa anakwenda round moja akilala na wakati wa kuamka asubuhi akashitua tena.


Sasa kama jogoo hashituki tena baada ya safari hiyo hilo ni tatizo lakini ambalo linahitaji tiba. Pia kama aliwahi kuwa mpiga nyeto mahiri hapo nyuma anaweza kuwa ameathirika kisaikolojia maana mwanamke ni tofauti na ny'eto hasa kuanzia second round ambayo nyoka keshatema mate yake tehe tehe.

Eti eeehhh haya bana ulivyoongea kama vile unauzoefu zaidi ya miaka kumi na zaidi mie yangu macho na masikio.......
 
Wanaume wameandamwa humu na wewe you add to the pain. Suluhisho ni kwamba mwambie abadilishe demu aone matokeo. Tatizo la kulala kwa muhogo huenda ni kwa sababu ya huyo Mkewe.

Unakuta mwanamke havutii, chini ana mfuko wa Rambo na Maji kama sehemu ya kuogelea, kujiweka msafi kazi kwake n.k Kwa nini mashine isilale baada ya bao moja? Tatizo hili mara nyingi linakuja pale mtu anapoolea tabia bila kuwa na mapenzi ya dhati toka moyoni. siku 2 tu keshamchoka na hata ile hamasa haipo tena.

Mnajidanganya sio vyakula wala si chochote ni kwamba amwambie huyo mke wake ajitume zaidi. Wanaume tunapata hamu ya kufanya mara nyingi zaidi endapo tuna enjoy na kufurahia kile kitendo.

Wanawake badilikeni msifikire kuridhishwa nyinyi tuuuuuu. Angalieni je na mwenzangu ameridhika? Jitumeni ongezeni mautundu ili turidhishane.
 
Hizo Dakika 5 anazokwambia siyo za kweli anakuongopea, huyo aishapanda anakojoa basi, Mimi nahisi huyo alikuwa anapiga punyeto kabla hajaoa na imemfanya ajenge mazoea kwamba baada ya kamoja ka punyeto anakaa pembeni sasa hata kwa wife ni hivyo.Wengi wenye matatizo hayo walioeleza ukweli wao wamepona baada ya kupewa ushauri na Dk na pia kupewa dawa za miti shamba. Naomba sana vijana wa tanzania muepuke kutumia Viagra mnapoona uwezo ni mdogo kumridhisha mkeo tafuta wataalamu wenye roho ya kibinadamu wanaoweza kukupa ushauri wa kukuponya kabisa. Wasiliana na Namba hii 0715 636688 au 0755 336688 Yuko Dar es salaam amesaidia wengi. Jieleze kwa uwazi utasaidiwa ila kuwa mkweli kueleza historia ya tatizo lako usaidiwe. Mitishamba siyo uchawi.

Biashara hiyo usije kuwalisha wezako mitishamba bora waende hospital
 
Ndugu zanguni hebu tusaidiane katika hili. Nina rafiki yangu mmoja alikuwa ananiomba ushauri anasema yeye ameoa. Anapata tatizo moja kubwa. Kila wakiwa na mwenzake kwenye malovedavi wakianza ku du tu....anakua yuko fiti na ana du kwa dakika kama 5 hivi anapiga bao moja basi anakua hana hamu tena na Muhogo unalala. Sasa anaomba ushauri je anatatizo gani na afanye nini ili angalau aweze kupiga bao mbili. Ushauri wenu unahitajika.
Aache uvivu.................. kina dada wengi wanalia wanaume ni wavivu, ajitume kwa kujali hisia za mwenzake!
 
tatizo mimwanamke miiingi ya digital inalala kama migogo inasubili tuuu ishikwe huku na kule inyonywe papuchi zao na kuchezewa mnara wa network.
inafurahia weeee mwisho wa siku yenyewe haishiki kitu wala kujishugulisha kwa lolote mwisho wa siku matatizo kama haya ndio hujitokeza.
mwanaume nae anahitaji kuandaliwa na kutendewa na kupewa romance bana ndio maana kuna baadhi ya makabila yataendelea kutamba na kuonekana ni malaya.

na kamwe biashara ya wauza uchi haita kaa ikome sababu ukichukua malaya unafaidi sana hata kama unaibiwa ila daaa unaibiwa kiufundi na kwa kupata raha bana.maana ukijikabizi kwa malaya na kidau chako mbona utarambwa kama paka anavyo lamba kitoto anapozaa.

wanawake badilikeni bana nyie mnachangia sana haya matatizo na maneno yenu eti mwanaume mwenyewe anakibamia kumbe nyie ndio mna mipapuchi mikubwa kama mapango??

ndio maana watoto wabinti wadogo wanangonolewa sana na watu wazima coz watu wanatafuta kitu mnato bana.
matokeo yenu ya kuwa na mipapuchi mikubwa mmesababisha mpaka biashara au fashion ya kuliwa tigo iwe juu coz mtu anaona kunako tigo ndio kuna mnato zaidi na anafaidi kuliko kunako papuchi.
yote hayo ni sababu hamna maufundi ya kumwandaa mwanaume na kumlizisha.sasa wewe unapolala kama gogo si bora nichukue mafuta na kupiga nyeto tuuu
 
Hilo tatizo limemuanza ghafla au ni la muda mrefu?

Je mtu huyo huwa ana tabia ya kujichua uume wake?

Amepima magonjwa kama kisukari au shinikizo la damu?

Je ni mvutaji sigara au anatumia kilevi cha aina yoyote?

mkuu unanifurahisha sana kwa kuguswa na hoja za watu
 
Mtasingizia vitu vingi sana, swala la sex n more psychology, utayarifu wa nafsi na jinsi mwenza wako unavyomtreat ndo kitu kinacho-matter zaidi. Kulala kwa dushelele Baada ya goli moja sio kwamba nguvu huna:ni jinsi gani umejiandaa na how you enjoy it.
 
Ndugu zanguni hebu tusaidiane katika hili. Nina rafiki yangu mmoja alikuwa ananiomba ushauri anasema yeye ameoa. Anapata tatizo moja kubwa. Kila wakiwa na mwenzake kwenye malovedavi wakianza ku du tu....anakua yuko fiti na ana du kwa dakika kama 5 hivi anapiga bao moja basi anakua hana hamu tena na Muhogo unalala. Sasa anaomba ushauri je anatatizo gani na afanye nini ili angalau aweze kupiga bao mbili. Ushauri wenu unahitajika.

Aniinbox nimpe utatuzi wa hilo Suala ...
 
Pole kijana mjibu watu8 nane kwanza.

====================
Ukipata Ujumbe wa Chuki Matusi Futa Delete Kabisa.
====================
 
Last edited by a moderator:
kuna sababu nyingi ila zinategemea na tatizo lilianza lini na vip? na inawezekana hisia kwa mke wake zimepungua pia au ni kwa kila anaye du naye??

apunguze kula vitu vya mafuta
apunguze au aache kula chakula usiku wakati wa kulala
asitumie sana vilevi au kufanya kazi nzito kwa muda mrefu
asiwe na stress kabla ya tendo la ndoa
ajiamini wakati wa tendo
afanye mazoezi japa hata pish up tana asubuh na tano jioni,
asitumie dawa za kuongeza nguvu za kiume au kuongeza uume, na asi fanye ngono ovyo mara kwa mara
 
kuna sababu nyingi ila zinategemea na tatizo lilianza lini na vip? na inawezekana hisia kwa mke wake zimepungua pia au ni kwa kila anaye du naye??

apunguze kula vitu vya mafuta
apunguze au aache kula chakula usiku wakati wa kulala
asitumie sana vilevi au kufanya kazi nzito kwa muda mrefu
asiwe na stress kabla ya tendo la ndoa
ajiamini wakati wa tendo
afanye mazoezi japa hata pish up tana asubuh na tano jioni,
asitumie dawa za kuongeza nguvu za kiume au kuongeza uume, na asi fanye ngono ovyo mara kwa mara

Umesahau asitumie pu.nyeto pia..
 
Back
Top Bottom