Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilimpiga mtu goli sita mtaa mzima hawakuamini
Ina maana uliutangazia Mtaa kuwa umepiga "Bao sita"?!
'Mtaa mzima' walikuuliza?
Mwe!
sina dhambi ila hii ya kuzini tuInaonesha unapenda sana mambo yetu yale.
Mi nashauri kutumia mizizi ya bamia, chukua mizizi iliyokwisha komaa na bamia kuchumwa, osha mizizi vizuri kisha ianike halafu twanga ili kupata unga. Weka nusu kijiko kidogo cha chai katika chai au uji unashauriwa kufanya zoezi hilo siku ambazo unajua uko na mama karibu .....