Unga wa Kitarasa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 398
- 101
kwani wewe umemshaurije.......:A S 39:Ndugu zanguni hebu tusaidiane katika hili. Nina rafiki yangu mmoja alikuwa ananiomba ushauri anasema yeye ameoa. Anapata tatizo moja kubwa. Kila wakiwa na mwenzake kwenye malovedavi wakianza ku du tu....anakua yuko fiti na ana du kwa dakika kama 5 hivi anapiga bao moja basi anakua hana hamu tena na Muhogo unalala. Sasa anaomba ushauri je anatatizo gani na afanye nini ili angalau aweze kupiga bao mbili. Ushauri wenu unahitajika.
yereewiiiiiii......!Wanaume wameandamwa humu na wewe you add to the pain. Suluhisho ni kwamba mwambie abadilishe demu aone matokeo. Tatizo la kulala kwa muhogo huenda ni kwa sababu ya huyo Mkewe.
Unakuta mwanamke havutii, chini ana mfuko wa Rambo na Maji kama sehemu ya kuogelea, kujiweka msafi kazi kwake n.k Kwa nini mashine isilale baada ya bao moja? Tatizo hili mara nyingi linakuja pale mtu anapoolea tabia bila kuwa na mapenzi ya dhati toka moyoni. siku 2 tu keshamchoka na hata ile hamasa haipo tena.
Mnajidanganya sio vyakula wala si chochote ni kwamba amwambie huyo mke wake ajitume zaidi. Wanaume tunapata hamu ya kufanya mara nyingi zaidi endapo tuna enjoy na kufurahia kile kitendo.
Wanawake badilikeni msifikire kuridhishwa nyinyi tuuuuuu. Angalieni je na mwenzangu ameridhika? Jitumeni ongezeni mautundu ili turidhishane.
hhhaaaaaa dakika 5 tu wakati jamaa anasimamia shooooo dakika 25 - 40, na anaenda hadi bao tatu (for 3 hrs)
mwambie aache kula chipsi mayai
ale vyakula vyenye kuupa mwili nguvu mfano (ugali, maharagwe yenye nazi/karanga, korosho etc)
asiwe anavaa C777up$$$i inayokaba korodani, zinatakiwa zipate hewa ya kutosha.
Wajameni tunaulizia kwa wataalamu wa JF dawa gani za kuongeza mbegu za kiume yaani idadi zake na kuongeza nguvu za kiume ukiacha viagra.
Tuwe serious kutoa msaada.
Kuna uhusiano gani kuvuta sigara na hayo mambo? hebu nipe darasa niache kuvuta haraka.Hilo tatizo limemuanza ghafla au ni la muda mrefu?
Je mtu huyo huwa ana tabia ya kujichua uume wake?
Amepima magonjwa kama kisukari au shinikizo la damu?
Je ni mvutaji sigara au anatumia kilevi cha aina yoyote?
Yeye anataka apige mangapi? Moja lililoandaliwa vema linamtosha sana mwanamke yoyote Duniani.Ndugu zanguni hebu tusaidiane katika hili. Nina rafiki yangu mmoja alikuwa ananiomba ushauri anasema yeye ameoa. Anapata tatizo moja kubwa. Kila wakiwa na mwenzake kwenye malovedavi wakianza ku du tu....anakua yuko fiti na ana du kwa dakika kama 5 hivi anapiga bao moja basi anakua hana hamu tena na Muhogo unalala. Sasa anaomba ushauri je anatatizo gani na afanye nini ili angalau aweze kupiga bao mbili. Ushauri wenu unahitajika.
Kama uko fiti utapiga tuuuu hata kama ni ziwa simba akiishiwa hula hata majani mradi njaa iwepoWanaume wameandamwa humu na wewe you add to the pain. Suluhisho ni kwamba mwambie abadilishe demu aone matokeo. Tatizo la kulala kwa muhogo huenda ni kwa sababu ya huyo Mkewe.
Unakuta mwanamke havutii, chini ana mfuko wa Rambo na Maji kama sehemu ya kuogelea, kujiweka msafi kazi kwake n.k Kwa nini mashine isilale baada ya bao moja? Tatizo hili mara nyingi linakuja pale mtu anapoolea tabia bila kuwa na mapenzi ya dhati toka moyoni. siku 2 tu keshamchoka na hata ile hamasa haipo tena.
Mnajidanganya sio vyakula wala si chochote ni kwamba amwambie huyo mke wake ajitume zaidi. Wanaume tunapata hamu ya kufanya mara nyingi zaidi endapo tuna enjoy na kufurahia kile kitendo.
Wanawake badilikeni msifikire kuridhishwa nyinyi tuuuuuu. Angalieni je na mwenzangu ameridhika? Jitumeni ongezeni mautundu ili turidhishane.
Kuna uhusiano gani kuvuta sigara na hayo mambo? hebu nipe darasa niache kuvuta haraka.
Kuna uhusiano gani kuvuta sigara na hayo mambo? hebu nipe darasa niache kuvuta haraka.
Heshima kwenu,
Msaada kwa anayejua daktari bigwa wa matatizo ya uzazi kwa wanaume.
Nina tatizo la sperm production wa muda mrefu.
So nataka kukutana na daktari bingwa atakayenisaidia.
Mimi nipo Arusha, so itakuwa vizuri kama nikimpata aliyepo Arusha.
Natanguliza shukrani za dhati.
mkuu nshukran sana....ntawasiliana na Mzizimkavu....na kwa yeyote anayeweza nisaidia anakaribishwa wakuuuMkuu, ukipitia posts zote kwenye thread hii utagundua kuwa tatizo lako ni dogo na linatatulika.
Nakushauri msaada unaouhitaji si lazima utatuliwe na member/Dr. aliyepo Arusha.
Kuna wengi wanaoweza kukusaidia walioko hapa Tanzania na hata nje ya nchi kama MziziMkavu anayeishi Ugiriki lakini amesaidia wengi sana.