Mwalimu wa Kingereza
Member
- Feb 3, 2021
- 24
- 42
- Thread starter
- #21
Mkuu nishauri ndugu yako ,nikivurunda Mimi tunatukanwa wanaume woteNilitaka nikushauri, sasa hizi jokes zako zimekuponza π π π π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nishauri ndugu yako ,nikivurunda Mimi tunatukanwa wanaume woteNilitaka nikushauri, sasa hizi jokes zako zimekuponza π π π π
Napiga sana mkuuHapigi nini tena? π π π π
Nenda kamuombe msamaha jamaa uliyekula mke wake π πMkuu nishauri ndugu yako ,nikivurunda Mimi tunatukanwa wanaume wote
Puchu mkuu inaathiri wanaume wengi sana.. Effect yake inalegeza ule mshipa mkubwa inacause soft erection na premature ejaculation akiwa na mwanamke.. Ndo yale mambo ya 30 secππHapigi nini tena? π π π π
It seems uko vzr kwenye maswala ya kisaikolojia. Nahitaji mwanasaikolojia, nina msongo wa mawazo, pia nahitaji ushauri kwenye mambo fulani π π π πPuchu mkuu inaathiri wanaume wengi sana.. Effect yake inalegeza ule mshipa mkubwa inacause soft erection na premature ejaculation akiwa na mwanamke.. Ndo yale mambo ya 30 secππ
Wanasaikolojia njoen hukuπππIt seems uko vzr kwenye maswala ya kisaikolojia. Nahitaji mwanasaikolojia, nina msongo wa mawazo, pia nahitaji ushauri kwenye mambo fulani π π π π
Kama ni hivyo ila siku nyingine inakuwa normal basi inaonekana ni hali ya kupita tu,Kilo 70 , tatizo limenitokea week iliyopita Na Jana likajirudia.Sina magonjwa mengine ( sijau kama kitambi ni ugonjwa maana ninacho)
Siwataki hao matapeli. Wewe unatosha π πWanasaikolojia njoen hukuπππ
Wewe uliwahi kuleta bandiko kama hili hapa,msaidie mwenzako mkuu.Kama hapigi puchu
Unajuaje kama mie ndo tapeli mkuuππSiwataki hao matapeli. Wewe unatosha π π
Sasa mkuu hapa utamsaidiaje?Puchu mkuu inaathiri wanaume wengi sana.. Effect yake inalegeza ule mshipa mkubwa inacause soft erection na premature ejaculation akiwa na mwanamke.. Ndo yale mambo ya 30 secππ
Ukitapeliwa na mwanamke haiumi sana π π πUnajuaje kama mie ndo tapeli mkuuππ
Uzi tyrWakuu hili tatizo linatokana Na nini? Msaada please
Basi weka mind set yako vizuri tuu.. Utakuwa sawaπNikiamka full mnara 5G , Na hata nikiwa alone ni 5G ila sasa akinasa girl kuna mawili ,hali kujirudia au kula mzigo.Hivyo vyakula ndio vyangu ,nakula sana hivyo ,silagi chips mkuu
Mkuu mbona umegeuza uzi wa jamaa kuomba ushauri kuwa sehemu ku chit-chat ? Sio ustaarabuIt seems uko vzr kwenye maswala ya kisaikolojia. Nahitaji mwanasaikolojia, nina msongo wa mawazo, pia nahitaji ushauri kwenye mambo fulani π π π π
Asante mkuuBasi weka mind set yako vizuri tuu.. Utakuwa sawaπ
Sorry mkuu. Weka ushauri wako, ataupata.Mkuu mbona umegeuza uzi wa jamaa kuomba ushauri kuwa sehemu ku chit-chat ? Sio ustaarabu
Natatuaje mkuu?Hyo ni psychological issue mzee,siyo tatizo.