Mwalimu wa Kingereza
Member
- Feb 3, 2021
- 24
- 42
- Thread starter
-
- #41
Asante mkuu ,Na hali ikikaa sawa huwa mserereko tu ,full ku- pumpKama ni hivyo ila siku nyingine inakuwa normal basi inaonekana ni hali ya kupita tu,
Labda imetokana na mawazo au hali nyingine ya mpito
Nikiacha puchu, matokeo chanya naanza kuyaona baada ya muda gani ?Acha kupiga puchu mkuu.. Ndo effect zake hizo[emoji17]
Wameshamwambia solution hapo..Sasa mkuu hapa utamsaidiaje?
Hapa pia itategemea umekua ukifanya kwa muda gani...Nikiacha puchu, matokeo chanya naanza kuyaona baada ya muda gani ?
Tafuta mwanasaikolojia,hilo tatizo unalitengeneza mwenyewe na kuli maximize..kabla ya kukutana na mwanamke unakuwa unawaza kama itasimama ama italala..mwisho sauti inayo sema italala inakuwa na nguvu zaidi..Natatuaje mkuu?
Asante mkuu ,hawa watu nawapata wapi maana sijawahi kutana nao au kujua ofisi zao zipo wapi kwa hapa DarTafuta mwanasaikolojia,hilo tatizo unalitengeneza mwenyewe na kuli maximize..kabla ya kukutana na mwanamke unakuwa unawaza kama itasimama ama italala..mwisho sauti inayo sema italala inakuwa na nguvu zaidi..
Kumbuka kwenye mind unacho comand zaidi ndicho hutokea na kinakuwa chenye nguvu na kinachukua nafasi.hyo kitu inakuwa ni cycle again and again
Mimi Nina miaka kumi sas kwenye hio secta nshajarb kuacha nmeshindwa Ila nimepunguza kwa asilimia almost 50% hvHapa pia itategemea umekua ukifanya kwa muda gani...
Check hapa.Asante mkuu ,hawa watu nawapata wapi maana sijawahi kutana nao au kujua ofisi zao zipo wapi kwa hapa Dar
Asante mkuuCheck hapa.
Meditation30@protonmail.com
Ni tatizo lako binafsi, au kuna mtu umekuja kumuombea msaada?
Wewe Toa ushauri mkuu. [emoji16][emoji16]Ni tatizo lako binafsi, au kuna mtu umekuja kumuombea msaada?
Tatizo lake lazima lingeambata na yeye kuulizwa maswali. Ilo ndio dhumuni la kuuliza hivyo, tusije kumuhoji, na yeye aende kuhoji then ndio arudishe majibu.Toa msaada bila kumjua mhusika eboo
Tatizo lake lazima lingeambata na yeye kuulizwa maswali. Ilo ndio dhumuni la kuuliza hivyo, tusije kumuhoji, na yeye aende kuhoji then ndio arudishe majibu.Wewe Toa ushauri mkuu. [emoji16][emoji16]
Check KisukariKilo 70 , tatizo limenitokea week iliyopita Na Jana likajirudia.Sina magonjwa mengine ( sijau kama kitambi ni ugonjwa maana ninacho)
Tatizo lake lazima lingeambata na yeye kuulizwa maswali. Ilo ndio dhumuni la kuuliza hivyo, tusije kumuhoji, na yeye aende kuhoji then ndio arudishe majibu.
Nadhan umenielewa eboo
Jarib kula na kunywa mchuzi wa pweza.Wakuu hili tatizo linatokana Na nini? Msaada please
Kwa hio ukibet mbo o haisimami? Na K je inakuaje ukibet?Haubet? 😂