Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
- Thread starter
-
- #21
Tuletee hizo ajira zinazohusu hao vijana wa oil and gas pipeworks.Kwa sasa haihitaji kuwa bright kusomea hizi kozi mtu anamaliza zake form 4 anaenda kusomea oil and gas pipeworks diploma hapo anakuwa sponsored na serikali anamaliza anaenda kuchukua uzoefu kwa cheti chake cha diploma .
Anamaliza anaenda kitafuta degree akiwa na kazi tayari KIKUBWA KWA SASA WANAOKOSA AJIRA NI WALE WALIOPOITA DIRECT YAANI FORM 6 KISHA WAKAENDA KUCHUKUA DEGREE sasa wakirudi kitaa ajira zinatoka ni DIPLOMA NA VETA ila pole sana mkuu atapata tu aangalie ishu nyengine .
Huyo huyo mdogo wangu ajira yake ya kwanza aliyojishikiza ni ualimu. Yupo private japo mshahara kiduchu.Udaktari
Ualimu
Kilimo
Yaani hizo ndo fani sahihi dunia nzima
Hii unayofanya hapa ni transfer of responsibilities na direct kuwatwika mzigo vijana. Kuna upungufu wa nafasi za ajira nchini ila katika hii sekta hakuna ajira kabisa, ni bora waifute tu ijulikane hii sekta haipo kuliko kuendelea kusoma kitu ambacho serikali haina mpango nayo.Vijana wewe na extra soft skills za kuwasaidia endapo changamoto za ajira zinapotokea.ni fikra potofu kusoma ili kuajiriwa ni lazima vijana watafute njia mbadala endapo wakikosa ajira mfano ujasiliamali, uandishi sanaa kilimo nk
Ndio maana hii mada imeletwa mezani hapa.Wamejaa wagen wabongo hatuaminian
Engineering inategemea ni ipi, nyingine bila connection hutoboi ajira,Engineering
Engineering hutoboi kirahisi bila mchongo wa connectionEngineering inategemea ni ipi, nyingine bila connection hutoboi ajira,
Achana na haya mawazo. Unatakiwa kuiambia serikali jambo la kufanya. Usijiangalie wewe kama wewe. Hapa tunatajadili kwa mstakabali wa taifa letu.Engineering inategemea ni ipi, nyingine bila connection hutoboi ajira,
Sio mawazo ni hali halisi tunaiona mtaani, wengine ndugu zetu,marafiki.....watu wa karibuAchana na haya mawazo. Unatakiwa kuiambia serikali jambo la kufanya. Usijiangalie wewe kama wewe. Hapa tunatajadili kwa mstakabali wa taifa letu.
Lakini unadhani inashindikana kumpeleka huyo mtu kwenye mafuta na gesi? Au kuna mahala mambo hayapo sawa.Ud, Petrol. Eng. ilikua hot kinoma, ni intake ya vipanga tu, na wako wachache, nyie mpo 50, wao wapo 15
picha linaaza PT jamaa kapangiwa Urafiki Textile Mills, baada ya graduu jamaa kala benchi kitaa
Mkuu huyo kijana ni bright na skilled?.mbona kazi za gas&oil zimejaa dunia nzima mwambie aombe nje ya tz..inashangaza sana vijana potentials kukomaa na kuajiriwa na Gov ambapo malipo ni kidogo wakati nchi nyingine fursa ni nyingi sana kwa skilled people.Nina mdogo wangu amemaliza mwaka huu shahada hii ya petroleum engineering pengine hii mada inanihusu sana. Ni miongoni mwa wale vijana bright kabisa division 1 point 4 form six aliyechaguliwa kusoma shahada hii selective pale mlimani.
Tunajenga nchi moja ya kijinga sana kuwaacha vijana wetu bora kabisa kusota mtaani. Nafikiri kama mzazi inabidi kumwandaa kijana wako kutopoteza muda na degree za wanasiasa bali mfundishe mapema stadi za maisha ikiwemo kilimo, biashara na ufundi mbalimbali.
Serikali ndo Mimi na weweAchana na haya mawazo. Unatakiwa kuiambia serikali jambo la kufanya. Usijiangalie wewe kama wewe. Hapa tunatajadili kwa mstakabali wa taifa letu.
Unatakiwa kutoa ushauri kulingana na miradi iliyopo. Miradi ya, mafuta na gesi si unaiskia kila siku. Nafasi za kazi zinapelekwa wapi?Sio mawazo ni hali halisi tunaiona mtaani, wengine ndugu zetu,marafiki.....watu wa karibu
[emoji3][emoji3][emoji3] Urafik textile duuuu! Nlifanya field hapo miaka kadhaa nyuma!Ud, Petrol. Eng. ilikua hot kinoma, ni intake ya vipanga tu, na wako wachache, nyie mpo 50, wao wapo 15
picha linaaza PT jamaa kapangiwa Urafiki Textile Mills, baada ya graduu jamaa kala benchi kitaa
Elimu ya bongo haipo competenceMkuu huyo kijana ni bright na skilled?.mbona kazi za gas&oil zimejaa dunia nzima mwambie aombe nje ya tz..inashangaza sana vijana potentials kukomaa na kuajiriwa na Gov ambapo malipo ni kidogo wakati nchi nyingine fursa ni nyingi sana kwa skilled people.
Dogo wako ni smart sana !! Hyo course ni ngumu kama katoboa ni kichwa sana..yule Ontario na kizungu chake chote masomo yalimshinda akakimbia kweny forex alikuwa na sup mpaka anoona noma..hiyo course ni balaa yaani wanaosoma wako nondo .Nina mdogo wangu amemaliza mwaka huu shahada hii ya petroleum engineering pengine hii mada inanihusu sana. Ni miongoni mwa wale vijana bright kabisa division 1 point 4 form six aliyechaguliwa kusoma shahada hii selective pale mlimani.
Tunajenga nchi moja ya kijinga sana kuwaacha vijana wetu bora kabisa kusota mtaani. Nafikiri kama mzazi inabidi kumwandaa kijana wako kutopoteza muda na degree za wanasiasa bali mfundishe mapema stadi za maisha ikiwemo kilimo, biashara na ufundi mbalimbali.
Lakini unadhani inashindikana kumpeleka huyo mtu kwenye mafuta na gesi? Au kuna mahala mambo hayapo sawa.
Unatakiwa kushauri kisomi boss.Yaani mtu anaacha courses za mtoto wa mkulima anaenda kusoma vitu vigumu ???
Udaktari
Kilimo
Ualimu