Tatizo la vijana waliosomea mafuta na gesi kuzagaa mtaani wakati kila siku tunasikia miradi ya mafuta na gesi inazungumziwa na Serikali

Use the brain before spewing out trash , use your brain and not ass to think ,
Asshole
 
Wewe Job creator unecreate jobs ngapi mpaka sasa
 
Watu wanafikiri hivi vitu ni rahisi rahisi sana
 
Nafikiri mjadala tuufungie hapa.
 
Kusoma kozi nyingi ndio mtaala unaotakiwa boss.
 
Mafuta na gesi sio huko baharini tu. Oil and gas ni pana sana. Kwa Tanzania nafasi za oil and gas iko PURA, TPDC, TPA, EWURA, TBS, Kwenye vyuo vikuu na vyuo vingine mbalimbali, REA. Sidhani kama kuingia kwenye hizo taasisi unahitaji hivyo vyeti. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
mbona wao wazungu wanaajiri wazungu wenzao wasiokuwa na uzoefu. punguza mihemko huna unachokijua kwenye hii sekta
 
Wajaribu Msumbiji
 
mwenye uhitaji wa contact za Wakurugenzi Wakuu PURA(Eng.Charles Sangweni)EWURA-Eng.Modestus Lumato na TPDC Eng.Mataragio aje inbox nimpe amuombe msaada,acheni kulialia mitandaoni,connection ni kumtafuta boss moja kwa moja na kumuomba msaada wa kazi
 
mwenye uhitaji wa contact za Wakurugenzi Wakuu PURA(Eng.Charles Sangweni)EWURA-Eng.Modestus Lumato na TPDC Eng.Mataragio aje inbox nimpe amuombe msaada,acheni kulialia mitandaoni,connection ni kumtafuta boss moja kwa moja na kumuomba msaada wa kazi
Boss unajua kazi za mitandao?? Hatujitaji connection za watu. Tupo hapa kuueleza umma ili tatizo lipate kutatuliwa kwa umma sio mtu mmoja mmoja. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Hizo connection sio haja,
 
Kwa taarifa yako deposit kubwa ipo baharini ,na kwa sababu zilizo wazi.
 
Astaghafirurah!!!!!

Aliyeamua UDSM iwe kama "chuo cha kata" alifanya uamuzi wa kijinga mno na utakaoligharimu taifa miaka mingi ijayo.
Hakika naamini tuna "extended high school" badala ya Chuo Kikuu.
Kuna dogo jirani yangu anasomea petroleum engineering field chuo kiliwapeleka karakana ya tazara wakawa wanafanyishwa kazi za kuosha train
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…