Tatizo la vijana waliosomea mafuta na gesi kuzagaa mtaani wakati kila siku tunasikia miradi ya mafuta na gesi inazungumziwa na Serikali

Kwa nini wahitimu wanajifunga Tanzania tu wakati fani hizi zinahitaji wahitimu wa kuzifanyia kazi dunia nzima?

Wahitimu wetu wamejiandaaje kushindana katika soko la ajira la kimataifa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…