Juma chief
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 2,764
- 2,366
aksanteh mkuu....[emoji120] [emoji120] [emoji120]Kama ni kisogoni basi tumia Sonaderm cream!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aksanteh mkuu....[emoji120] [emoji120] [emoji120]Kama ni kisogoni basi tumia Sonaderm cream!
nashkuru sana mkuu....nitafanya hivyo..Nenda Hubert Kairuku kuna specialist wa ngozi. Huwa anakuwepo jmosi kuanzia saa tisa mchana. Vinatibika kabisa hivyo havinaga shida
daahh.....sasa kaka minywele tikatika...si nitakuwa kituko....??..Pole sana ndugu;usiforce kunyoa.Kama vip achana na kunyoa.
ok..!.ila mpenzi wa kunyoa ndogondogo sana.mkuu...nitajaribu ushauri wako......ila mpaka nichemke kwenye tiba....Usinyoe zote uwe unapunguza tu
Ata ukinyoa sio lazima kutumia viwembe,ukitumia tu mikasi juu kwa juu bila shaka haitadhuru.daahh.....sasa kaka minywele tikatika...si nitakuwa kituko....??..
na shughuri zangu....muda wa kuhusika na kitana/shanuo sinaga.......
wacha nihangaike na tiba lakini sio kuacha kunyoa....[emoji1]
Kama una connection na mtu anaishi USA Muombe akutafutie after shave razor bump inaitwa TEND SKIN kichupa cha blue, Nilikuwa na shida ya razor bump kila dawa ilishindikana, nikapata mfadhili wa hiyo kitu ikawa tiba. Sasa hivi natumia spirit za kawaida saloon na nipo powa.msaada tafadhari nimekuwa nikisumbuka na aina ya vipere ambavyo uniwasha sana baada ya kunyoa nywele,na nahisi vinaongezeka kadri ninyoavyo....wataalamu ngozi .....tusaidiane ushauri..![]()
Jina Wa Leo.nimecheka sana huyu jamaa ni bonge LA MTU sasa kwa kichogo ana nyamanyamaKisogo gani kina nywele kwenye mfereji wa Ikweta??!!!!
Pole sana...ushaur Wang nenda hospital wakachukue specimen kwenye usaha/pus wafanyee utafit yan culture/sensitivity + gram stain kujuwa ni jamii gan ya bacteria/fungal aliyepo apo maranyingi bacteria tunaye mpata baada ya utafit ni (staphylococcus aureus) inaonekana ni superficial infection.....pia watakupa na antibiotic za kutumia after culture/sensitivity +gram stain....utumiee kwa muda Wa week moja then uonee kama Luna maendeleo yoyotee.msaada tafadhari nimekuwa nikisumbuka na aina ya vipere ambavyo uniwasha sana baada ya kunyoa nywele,na nahisi vinaongezeka kadri ninyoavyo. Wataalamu ngozi tusaidiane ushauri.![]()
Nina tatizo kama lako pia. Hujapata suluhisho?Wataalamu watupatie walau Maelezo.Mimi kidevu kinawasha sana ndevu zinapoanza kuota na vipele Kama hivyo hutokea
Au unaongelea ile ya wachina ITERNAL iko pale karibu na TanescoKuna clinic moja jina limenitoka. Iko baada ya hospital ya TMJ kama unaenda kawe. Nahisi yale maeneo yanaitwa kwa warioba. Kuna mtaalam wa ngozi anatibu iyo kitu simple kabisa. Nikikumbuka jina nitakuambia.
Inaitwa sanitaris clinic.. Iko ktk jengo la baraka tower. Ukipata TMJ. Maarufu kwa warioba. Ndugu zangu wawili walitibiwa pale wako poa. Mtaalam alidai ni matatizo ya tabia ya ngozi na sio bacteria.Au unaongelea ile ya wachina ITERNAL iko pale karibu na Tanesco