Tatizo na Nyumba Ndogo...

ni kweli mamy sio vizuri kumcontrol na kummanage mwanaume,kwanza utakufa siku si zako.jamaa hawachungiki hawa.mshukuru mungu kwa kukupamoyo huo.wanandoa wengi wanagombana kwa sababu ya assumption tu sometimes.haina maana kugombana ndani kwa sababuya kitu ambacho hakipo.sometimes kipo ushahidi hamna yaani full vurugu.
So mimi naona una kitu special ndani yako.kuwa na moyowenye amani na ulio huru ni jambo kubwasana kwa dunia hii ya sasa.
Naomba mumeo nimtoe out jioni ya leo
 

He he..Smile mbona unata kuchukulia advantage moyo wa Mwanajamii1??

Pia asante kwa kunifafanulia lile swali langu hapo nyuma. Haya mambo magumu lakini..! Anyway, mimi kuanzia hata hapo nilivyo kwenye mahusiano naamini sipo mwenyewe na hii inanifanya nitulize akili kwahiyo hata kwenye ndoa sidhani nitakuwa mwenyewe maana wanaume wenyewe wale wale.

Kuna mtu kachangia mwanzo kuwa inahitaji kumjulia mwanaume uweze kuishi nae!!
 

Belinda kwanza tambua uwezo wa kuijenga au kuibomoa ndoa/mahusiano mara nyingi kama si zote upo kwako na mwenzi wako....you two can be whatever you want to

Sasa kisa cha kuogopa kuolewa ni nini? Nyumba ndogo?
Mie naamini hivi mafanikio ya ndoa A haywezi kuwa mafanikio ya ndoa/mahusiano yango...
Failures za ndoa B haziwezi kuwa za ndoa yangu...
mahusiano yangu/ndoa yangu na mwenza wangu ni yetu sisi na itatu,suit sisi, sasa habari za kuishi kwa kuangalia fulani na fulani hivi kwa hiyo na mimi na msukuma itakuwa hivi, hapana.
Simaanishi kuwa sijifunzi kutokana na observation za namba hiyo...Naah! Ila hayo hayawezi kusimamia mahusiano/ndoa yangu.
 
mbu ebu tupe ushuhuda wako kuhusu nyumba ndogo.

Hapa naona unataka kumkimbiza soulmate wangu bana, yeye hana uzoefu huko wala experience mi ndo nyumba yake ndogo na kubwa na ya kati lol

Hahahaha Smile, ningelikuwa naye bado mbona ningekupa tu mpenzi?! maana kwa vile vyake vituko ilifikia wakati nikawa ninapiga goti kumwombea apate nyumba ndogo aisee! mbona ningekupa kwa moyo mweupe tena ningekuomba ukae naye japo wiki! hahahahahaha
 
Kweli wanaume ni ngumu sana kuwajulia wewe ukiwa nae jitahidi kujiamini tumia iyo oppornunitykumuonyesha wewe ni mwanamke bora kulikowote humu duniani,kumbuka upo kwenye competition.
Mimi mpenzi wangu sijui kama nipo mwenyewe lakini as longamenipa usukani huwa siitumii hiyo nafasi vibaya sifanyi mistake,hata kama nikimpoteza nisijejilaumu.
Who knows naweza kuwa the lucky girl kwa
 
Mbona sikuelewi? Kwani hayupo kwenye maisha yako? Sikuelewi
 

...kama unapenda na unaniamini, wivu wa nini?
Kupenda bila kuniamini ni "gonjwa sugu" kuliko UKIMWI.
 
...kama unapenda na unaniamini, wivu wa nini?
Kupenda bila kuniamini ni "gonjwa sugu" kuliko UKIMWI.

At least naanza kuamini kuwa niko normal.................. thanx swirry
 
Ahahaaa bee kweli umenichoka mie ndo wa kupewa msukulesio? Aya bwana ngoja nilog off

Hahhaaa huwezijua Smile mnaweza ku click na msukule...lol
 
mbu ebu tupe ushuhuda wako kuhusu nyumba ndogo.

...hasara tupu. Sijasikia mwenye nyumba ndogo isiyoishia na 'msiba!'
Na hii haijalishi nyumba ndogo ni mw'mke anayelelewa na suga-dadi,
au mw'ume anayefadhiliwa na cougar...

Nyumba ndogo ni xtra-effort, shida ya kujibebesha kabati la matatizo...
ushuhuda ni mrefu, nikiendelea nitakuwa siutendei haki unyuzi huu wa mwj1,
kuhusiana na masuala ya wivu.

:focus:
 

Kweli mamii hapa tuko pamoja na kama alivyosema Kaunga wengi wetu tunalitreat hili kama halipo wakati lipo. Nyumba ndogo hazikubaliki ingawaje zipo. Ukweli huu wengi wetu tunaukwepa na kubakia kuishi maisha ya kutegeana kwa kuvizia uone mabadiliko ya tabia ya mwenzi wako ndo uanza kuhamaki. Yaani wengi tunasubiri mwenzi keshaonjeshwa asali anataka kuchonga mzinga ndo tunakuja na slogani zetu za oh asali ni chungu, ni sumu wakati mwenzio alishajua ladha yake. Matokeo yake inakuwa too late.
 
I agree with you 100%. Nyumba ndogo ni kujitesa tu kusiko na sababu. Hazina tija wala hazileti furaha ya moyo. I dont want nyumba ndogo. Kubwa niliyonayo inaniumiza kichwa.


Tangawizi,

Ndo maana immediately unahitaji kuwa na nyumba ndogo maana kubwa imekuwa 'kubwa' kweli inakushinda kumanage... usivae kiatu kinakubana muda wote hadi miguu itoke malenge lenge...tafutapo na makubaz ya saizi yako....
 
MJ1....naomba nirudie tena kwamba 'umekua'

Msikilize sana FP na Chauro.....wanaonekana kuwa na uzoefu....

Hapa hii habari ya 'kujifanya mbuni' ipo kote kote...
 
MJ1, umepata penzi jipya dear?:tongue:

Kaizer!! unaishi dunia ya wapi jamani? Yaani hata hujui kuwa Mbu ni shemeji yako? Hebu mtambue rasmi aisee. wewe ndo utankabidhi ujue!

:focus: Hii thread inahusu wivu kwa nyumba ndogo lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…