Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
nawaombea kila la kheri wahusika na washiriki wa uchaguzi muhimu sana uliosalia kwa maendeleo ya ushindani wa ndani ya vyama vya siasa, na ustawi wa demokrasia nchini.
Mwenyezi Mungu awaepushe na kila hila na shari ilopangwa dhidi ya maisha ya mshiriki au muhusika yeyote kwenye masuala haya ya uchaguzi vyamani, serikali za mitaa au ule uchaguzi mkuu..
Mungu asinamie vyema sehemu ya uchaguzi iliyobaki, imalizike kwa salama na amani. Dar es Salaam ipumue na Tanzania ibaki na Amani..🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Mwenyezi Mungu awaepushe na kila hila na shari ilopangwa dhidi ya maisha ya mshiriki au muhusika yeyote kwenye masuala haya ya uchaguzi vyamani, serikali za mitaa au ule uchaguzi mkuu..
Mungu asinamie vyema sehemu ya uchaguzi iliyobaki, imalizike kwa salama na amani. Dar es Salaam ipumue na Tanzania ibaki na Amani..🐒
Mungu Ibariki Tanzania