RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,788
- 4,401
Vyombo vyetu vinafanya kazi kubwa sana, yapo mambo makubwa ambayo yanahitaji hadi Rais ashirikishwe kufanya maamuzi lakini mambo mengi hupuuzwa.
Kwa sababu Katiba imempa mamlaka makubwa mkuu wa nchi hasa kwenye teuzi na mambo mengine ndiyo maana anapoona unaenda kinyume naye utaishia kutumbuliwa na wengine kuendelea.
Nchi yetu viongozi wengi wanateuliwa na Rais, humwabudu Rais kama mungu wao hata akikosea NI vigumu sana kumkosoa na hata kumshauri maana huamini kuwa endapo watamshauri wanaamini kuwa wanaweza kukosea na kutumbuliwa!
Haya tunayaona kwenye ngazi za wilaya, mkoa na taifa kwa ujumla wengi wetu tunatetea ugali wetu ili watoto wasiende kwenye shule za walimu wawili watoto 300 na ndiyo maana ukiwasikiliza waliowengi kauli yao ni "Fanya kazi uondoke watakuja wengine"!
Maneno kama haya ndiyo yanafumaza maendeleo ya nchi yetu kwa kuwa na katiba mbovu.
Kwa sababu Katiba imempa mamlaka makubwa mkuu wa nchi hasa kwenye teuzi na mambo mengine ndiyo maana anapoona unaenda kinyume naye utaishia kutumbuliwa na wengine kuendelea.
Nchi yetu viongozi wengi wanateuliwa na Rais, humwabudu Rais kama mungu wao hata akikosea NI vigumu sana kumkosoa na hata kumshauri maana huamini kuwa endapo watamshauri wanaamini kuwa wanaweza kukosea na kutumbuliwa!
Haya tunayaona kwenye ngazi za wilaya, mkoa na taifa kwa ujumla wengi wetu tunatetea ugali wetu ili watoto wasiende kwenye shule za walimu wawili watoto 300 na ndiyo maana ukiwasikiliza waliowengi kauli yao ni "Fanya kazi uondoke watakuja wengine"!
Maneno kama haya ndiyo yanafumaza maendeleo ya nchi yetu kwa kuwa na katiba mbovu.