Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kila kitu lazima ujue nyingine potezea tuKivipi?
Pamoja boss umeapply moja ktk hizoSawa boss kubwa umesomeka
Maelezo yalikutaka ku apply moja hata kama una qualify zote chagua mojaZote mkuu
TM inakuaje Ni nyepesi wkt Ina mambo mengi/complicated kulinganisha na custom ambacho Ni kitopic tu kwny TM.Tax management n nyepesi sana ht kazini . Custom km mtu anataka kula kijanja janja sana custom inamhusu ila ina risk sana
Kuna tangazo la trc waliwahi kusisitiza hivyo me nikaomba mbili na nikaitwa.Maelezo yalikutaka ku apply moja hata kama una qualify zote chagua moja
Custom mitihani yake sio migumu....ni ishu tu za imports na exportsKwema wakuu?
Kuuliza sio ujinga.hivi kati ya Tax management officer ii vs custom officer ii
1. Ipi ina mitihani ya mchujo migumu?
2. Ipi ni nzuri kufanyia kazi.
3. Kuna tofauti yoyote ya kimaslahi?
4. Ipi yenye changamoto nyingi?
Kama Ni kitopic, mbona mnafeli mitihani ya Customs? Customs Ni pana Sana kawaulize watu wa ITATM inakuaje Ni nyepesi wkt Ina mambo mengi/complicated kulinganisha na custom ambacho Ni kitopic tu kwny TM.
Tuma salamu kwa watu watatu.Kama Ni kitopic, mbona mnafeli mitihani ya Customs? Customs Ni pana Sana kawaulize watu wa ITA
Faida za Tax Management Officer
1. Nafasi ni nyingi
2. Kwenye maslahi Tax Management Officer wako vizuri
3. Ukiajiliwa kwa cheo cha Tax Management Officer/or Assistant unafanya kazi idara nyingi za TRA na sehemu nyingi (kama Makao Makuu, Ofisi za Mikoa, Ofisi za Wilaya, Ofisi Maalumu; na ofisi zote hizi ziko mijini) tofauti na ukiajiliwa kwa cheo cha Custom Officer/or Assistant ambapo kituo cha kazi ni mipakani na mashambani huko (kama Sirari, Mtukula, Rusumo, Kabanga, nakadhalika)
4. Mwisho ukisikia watumishi wa TRA wanasumbua town (Kariakoo au hata kwenye bata batani) jua ni Tax Management Officers/or Assistants
Kwenye rushwa nyingi Ni Forodha (Customs) hicho kitengo ndiyo kinaongoza kwa Rushwa na Kinaongoza kwa Mapato Mengi, kasome Ripoti ya Tume ya Warioba ya Corruption and State.Faida za Tax Management Officer
1. Nafasi ni nyingi
2. Kwenye maslahi Tax Management Officer wako vizuri
3. Ukiajiliwa kwa cheo cha Tax Management Officer/or Assistant unafanya kazi idara nyingi za TRA na sehemu nyingi (kama Makao Makuu, Ofisi za Mikoa, Ofisi za Wilaya, Ofisi Maalumu; na ofisi zote hizi ziko mijini) tofauti na ukiajiliwa kwa cheo cha Custom Officer/or Assistant ambapo kituo cha kazi ni mipakani na mashambani huko (kama Sirari, Mtukula, Rusumo, Kabanga, nakadhalika)
4. Mwisho ukisikia watumishi wa TRA wanasumbua town (Kariakoo au hata kwenye bata batani) jua ni Tax Management Officers/or Assistants
Bila ya kumsahau Tiagi Masamaki alikuwa Kamishna wa Forodha na ushuru wa bidhaa TRA, jamaa alikuwa na nyumba 70 nasikiaAfisa Msaidizi wa Forodha wa TRA apandishwa kizimbani kuelezea utajiri wake usioendana na kipato chake
Ofisa Msaidizi wa Forodha kutoka Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), Godfrey Mapuga amefikishwa katika Mahakama ya Kisutu kujibu shtaka la kumiliki mali zenye thamani ya Sh721 milioni ambazo haziendani na kipato chake. Sent using Jamii Forums mobile appwww.jamiiforums.com
Afisa msaidizi wa Forodha TRA, Jennifer Mushi afikishwa Mahakamani kwa kumiliki magari 19 na kuishi maisha ya kifahari
Afisa Msaidizi wa Forodha wa TRA Jennifer Mushi kafikishwa Mahakamani, anadaiwa kumiliki mali, kuishi kifahari kinyume na mshahara wake ----- AFISA MSAIDIZI WA FORODHA ALIYEISHI KIFAHARI, KAFIKISHWA MAHAKAMANI. Afisa msaidizi wa Forodha wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Jennifer Mushi...www.jamiiforums.com