Tax Management Officer II vs Custom Officer II

Tax Management Officer II vs Custom Officer II

Kwenye rushwa nyingi Ni Forodha (Customs) hicho kitengo ndiyo kinaongoza kwa Rushwa na Kinaongoza kwa Mapato Mengi, kasome Ripoti ya Tume ya Warioba ya Corruption and State.
We ng'ang'ania tuu Customs, ila habari ya mjini (cheo kinachol_p_) TRA ni Tax Management Officer zamani kidogo kilijulikana kama Tax Officer

Kuthibitisha hilo ni lundo la watumishi wa TRA walioajiliwa kwa vyeo vingine kukimbilia Tax Management Officer through recategorization (kubadilishwa kada)

Yaani mtu aliajiliwa kama Custom Officer, Accountant, Economist (lakini hawa sio sana) anaomba kubadilishwa kada kuwa Tax Management Officer
 
We ng'ang'ania tuu Customs, ila habari ya mjini (cheo kinachol_p_) TRA ni Tax Management Officer zamani kidogo kilijulikana kama Tax Officer

Kuthibitisha hilo ni lundo la watumishi wa TRA walioajiliwa kwa vyeo vingine kukimbilia Tax Management Officer through recategorization (kubadilishwa kada)

Yaani mtu aliajiliwa kama Custom Officer, Accountant, Economist (lakini hawa sio sana) anaomba kubadilishwa kada kuwa Tax Management Officer
  • unasomaga magazeti lakini? Au story za kuambiwa?
  • kaangalie hata kesi zilizo mahakamani za Rushwa/ kumiliki Mali zilizozidi kipato kwa staff wa TRA, utakuta Watuhumiwa wengi Ni wa Customs,
-
 
Tax Management unatakiwa kujuwa Sheria kuu mbili ambazo ni ITA na Tax Administration Act
 
Tax Management unatakiwa kujuwa Sheria kuu mbili ambazo ni ITA na Tax Administration Act
Sio hizo yaan sheria nyingi mno na hata VAT Act, Excise duty ila Customs unatakiwa ujue hasha EACCMA
 
Faida za Tax Management Officer

1. Nafasi ni nyingi

2. Kwenye maslahi Tax Management Officer wako vizuri

3. Ukiajiliwa kwa cheo cha Tax Management Officer/or Assistant unafanya kazi idara nyingi za TRA na sehemu nyingi (kama Makao Makuu, Ofisi za Mikoa, Ofisi za Wilaya, Ofisi Maalumu; na ofisi zote hizi ziko mijini) tofauti na ukiajiliwa kwa cheo cha Custom Officer/or Assistant ambapo kituo cha kazi ni mipakani na mashambani huko (kama Sirari, Mtukula, Rusumo, Kabanga, nakadhalika)

4. Mwisho ukisikia watumishi wa TRA wanasumbua town (Kariakoo au hata kwenye bata batani) jua ni Tax Management Officers/or Assistants
Kwanye kazi hizi za Serikali kupitia utumishi Bora uombe yenye nafasi nyingi ili iwe na wigo mpana kwenye competition.. Usijari mambo za mishahara kabisa.. kikubwa mtu aingie Serikalini kwanza apate checkNo
 
Alafu scale ya mshahara ni moja..labda utifauti wa marupurupu, lakini kwenye huu mjadala nimegundua watanzania wengi tunapenda kupiga madili[emoji1787] kwa sababu mifano iyo ya watu wa custom waliopelekwa mahakamani ndo ushahidi kutetea maslahi ni mazuri kwa iyo customs[emoji2957]
 
Hv kule utumishi siku ya interview Kitambulicho Cha kura Huwa wanaassess picha kama inafanana.. Au wanafananisha majina ya Kitambulicho Cha kura na majina ya kwenye vyeti..
Na kama jina moja la kwenye KITAMBULISHO likikosewa inakuwaje..?
Kuna mshikaji wangu hapa kaitwa Usaili Ila kakutana na hyo changamoto
 
Hv kule utumishi siku ya interview Kitambulicho Cha kura Huwa wanaassess picha kama inafanana.. Au wanafananisha majina ya Kitambulicho Cha kura na majina ya kwenye vyeti..
Na kama jina moja la kwenye KITAMBULISHO likikosewa inakuwaje..?
Kuna mshikaji wangu hapa kaitwa Usaili Ila kakutana na hyo changamoto
Mwambie issue ya majina kwenye kitambulisho kutofautiana na vyeti aimalize kabla ya kwenda kwenye usaili. Utumishi hawacheki na kima watamtoa nduki bila kupepesa macho.
 
Hv kule utumishi siku ya interview Kitambulicho Cha kura Huwa wanaassess picha kama inafanana.. Au wanafananisha majina ya Kitambulicho Cha kura na majina ya kwenye vyeti..
Na kama jina moja la kwenye KITAMBULISHO likikosewa inakuwaje..?
Kuna mshikaji wangu hapa kaitwa Usaili Ila kakutana na hyo changamoto
Mpe pole
 
Embu Kwanza naomben maswali yalikuaje ktk ule mtiani wajuz mwezi wa tatu kwenye kada ya customs officer. II

Mnk nimeyaona baadh ya TMA ILA C.o cjapata kuona ilikuwaje na waliuliza ktk angle gani

Plz sharing is caring
 
Embu Kwanza naomben maswali yalikuaje ktk ule mtiani wajuz mwezi wa tatu kwenye kada ya customs officer. II

Mnk nimeyaona baadh ya TMA ILA C.o cjapata kuona ilikuwaje na waliuliza ktk angle gani

Plz sharing is caring
Naomba ushare nasi uliyoyaona kwenye TMA ndugu
 
Back
Top Bottom