MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
- Thread starter
- #41
Ndiyo.Anajua kama wewe ni CCM??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo.Anajua kama wewe ni CCM??
Bas hii ndio shida......pole sana tafuta kada mwenzakoNdiyo.
SitakiWakuu leo naandika nikiwa na mawazo mengi sana. Mara nyingi nimekuwa nikileta nyuzi za masuala ya kitaifa ila leo huu uzi ni wa ishu yangu binafsi. Mimi kada mtiifu wa CCM kwa sasa kuna mambo nimeshindwa kuelewa kabisa kwa huyu mwanamke ambaye nimetangaza nia ya kumuoa. Nataka ushauri wenu.
Baada ya harakati za hapa na pale kutafuta soulmate ndo mwaka 2022 nikabahatika kukutana na msichana mrembo aliyekuwa akimalizia diploma yake ya Nursing. Ingawa hakuwa mwanachama wa CCM nikapiga moyo konde kwamba fresh tu kwasababu ndo sio siasa. Wakati tumeanza mahusiano akanipa sharti la kutomtafuna hadi ndoa.
Nilishtuka ila nikaona labda kwasababu anataka awe bize na masomo kwa sababu ndo alikuwa akimalizia diploma yake. Hili sharti lake nikasema acha nilivumilie kwasababu kama ni papuchi zipo nyingi nikizidiwa nitajipooza kwingine. Huyu ni wa ndoa.
Siku zikaenda akahitimu masomo yake. Tukakubaliana tuanze taratibu za kuelekea ndoa baada ya graduation yake. Bahati mbaya matokeo yalivyotoka kuna masomo akawa amefeli. Ikabidi arudie mwaka. Nikavumilia tena na kusubiri bila kutuma mshenga wal kufanya lolote hadi alipofanya mitihani yake ya mwisho mwezi May.
Baada ya mitihani nikamwambia inabidi sasa nianze mchakato. Kilichonishtua hadi kuandika uzi huu ni msichana kukataa kabisa hata kutuma mshenga na angalau uchumba kuwa rasmi hadi matokeo yake ya mitihani itoke. Kiukweli hii kwangu mimi naona imenilemea kuliko hata lile sharti la kutofanya mapenzi hadi ndoa. Nimejiuliza inakuwaje matokeo yake ya mitihani yamzuie hata mshenga kupeleka ujumbe wakati nikiwa chuo watu walikuwa wanaoana kabisa wakiwa bado wanafunzi?
JF kwa sasa ni kama familia yangu hivyo nawakaribisha wanafamilia kwa ushauri. Nimeandika nikiwa na ukame mkali sana.
Samia 2025 chaliWakuu leo naandika nikiwa na mawazo mengi sana. Mara nyingi nimekuwa nikileta nyuzi za masuala ya kitaifa ila leo huu uzi ni wa ishu yangu binafsi. Mimi kada mtiifu wa CCM kwa sasa kuna mambo nimeshindwa kuelewa kabisa kwa huyu mwanamke ambaye nimetangaza nia ya kumuoa. Nataka ushauri wenu.
Baada ya harakati za hapa na pale kutafuta soulmate ndo mwaka 2022 nikabahatika kukutana na msichana mrembo aliyekuwa akimalizia diploma yake ya Nursing. Ingawa hakuwa mwanachama wa CCM nikapiga moyo konde kwamba fresh tu kwasababu ndo sio siasa. Wakati tumeanza mahusiano akanipa sharti la kutomtafuna hadi ndoa.
Nilishtuka ila nikaona labda kwasababu anataka awe bize na masomo kwa sababu ndo alikuwa akimalizia diploma yake. Hili sharti lake nikasema acha nilivumilie kwasababu kama ni papuchi zipo nyingi nikizidiwa nitajipooza kwingine. Huyu ni wa ndoa.
Siku zikaenda akahitimu masomo yake. Tukakubaliana tuanze taratibu za kuelekea ndoa baada ya graduation yake. Bahati mbaya matokeo yalivyotoka kuna masomo akawa amefeli. Ikabidi arudie mwaka. Nikavumilia tena na kusubiri bila kutuma mshenga wal kufanya lolote hadi alipofanya mitihani yake ya mwisho mwezi May.
Baada ya mitihani nikamwambia inabidi sasa nianze mchakato. Kilichonishtua hadi kuandika uzi huu ni msichana kukataa kabisa hata kutuma mshenga na angalau uchumba kuwa rasmi hadi matokeo yake ya mitihani itoke. Kiukweli hii kwangu mimi naona imenilemea kuliko hata lile sharti la kutofanya mapenzi hadi ndoa. Nimejiuliza inakuwaje matokeo yake ya mitihani yamzuie hata mshenga kupeleka ujumbe wakati nikiwa chuo watu walikuwa wanaoana kabisa wakiwa bado wanafunzi?
JF kwa sasa ni kama familia yangu hivyo nawakaribisha wanafamilia kwa ushauri. Nimeandika nikiwa na ukame mkali sana.
Tatizo wewe ni ccm halafu chawaWakuu leo naandika nikiwa na mawazo mengi sana. Mara nyingi nimekuwa nikileta nyuzi za masuala ya kitaifa ila leo huu uzi ni wa ishu yangu binafsi. Mimi kada mtiifu wa CCM kwa sasa kuna mambo nimeshindwa kuelewa kabisa kwa huyu mwanamke ambaye nimetangaza nia ya kumuoa. Nataka ushauri wenu.
Baada ya harakati za hapa na pale kutafuta soulmate ndo mwaka 2022 nikabahatika kukutana na msichana mrembo aliyekuwa akimalizia diploma yake ya Nursing. Ingawa hakuwa mwanachama wa CCM nikapiga moyo konde kwamba fresh tu kwasababu ndo sio siasa. Wakati tumeanza mahusiano akanipa sharti la kutomtafuna hadi ndoa.
Nilishtuka ila nikaona labda kwasababu anataka awe bize na masomo kwa sababu ndo alikuwa akimalizia diploma yake. Hili sharti lake nikasema acha nilivumilie kwasababu kama ni papuchi zipo nyingi nikizidiwa nitajipooza kwingine. Huyu ni wa ndoa.
Siku zikaenda akahitimu masomo yake. Tukakubaliana tuanze taratibu za kuelekea ndoa baada ya graduation yake. Bahati mbaya matokeo yalivyotoka kuna masomo akawa amefeli. Ikabidi arudie mwaka. Nikavumilia tena na kusubiri bila kutuma mshenga wal kufanya lolote hadi alipofanya mitihani yake ya mwisho mwezi May.
Baada ya mitihani nikamwambia inabidi sasa nianze mchakato. Kilichonishtua hadi kuandika uzi huu ni msichana kukataa kabisa hata kutuma mshenga na angalau uchumba kuwa rasmi hadi matokeo yake ya mitihani itoke. Kiukweli hii kwangu mimi naona imenilemea kuliko hata lile sharti la kutofanya mapenzi hadi ndoa. Nimejiuliza inakuwaje matokeo yake ya mitihani yamzuie hata mshenga kupeleka ujumbe wakati nikiwa chuo watu walikuwa wanaoana kabisa wakiwa bado wanafunzi?
JF kwa sasa ni kama familia yangu hivyo nawakaribisha wanafamilia kwa ushauri. Nimeandika nikiwa na ukame mkali sana.
Huu sio uzi wa siasa. Mfuasi wa Mbowe (nyumbu) unakwama wapi?Tatizo wewe ni ccm halafu chawa
Mimi ni mfuasi wa Yesu.Huu sio uzi wa siasa. Mfuasi wa Mbowe (nyumbu) unakwama wapi?
Hana tatizo na msimamo wangu.Kwenye story zenu kuhusu swala la BANDARI msimamo wako ulikuwa nn ?? Maana unaweza Kuta ndio alikupima hapo 🤣🤣🤣. Any way...tafuta mwingine
Kumbe na wewe ulikuwa kwenye akili yangu pia 💪 MamaSamia2025 do the needful please.Maskini weeh sijui nani alikushauri kaka mwanamke akitamani aolewe na mwanaume anaye mpenda mara nyingi yeye ndio huwa anaforci ndoa....itoshe kusema tafuta kada mwenzako uoe huyo fanya mchakato uweke utembee atakusumbua[emoji846][emoji846][emoji846]
Sahihi kabisa kiongoziUtachukulia km utani Ila hili ndio JIBU sahihi hii nimeshuhudia sehemu mwanamke anamuendesha jamaa yaan jamaa anataka kumuoa Ila mwanamke anapiga kona Kona nyingine jamaa akaambiwa na mother yake huyo mwanamke hakupendi mwanamke akikupenda yeye ndio anaforce umuoe na sio vinginevyo ukiona mwanamke unataka umuoe alafu anapiga kona kona nyingi sio wa kwako huyo ukioa atakusumbua sana
Kwani mimi ndo napotezaga muda kwa nyumbu kama wewe?Siongeagi Wala sipotezi muda wangu kwa chawa kama wewe