Kosa ni kukubali kukaa na mwanamke bila kumnyandua apo ndo kakuona boya
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapanamkuu ulimsomesha?
Alisema yeye ni bikraKosa ni kukubali kukaa na mwanamke bila kumnyandua apo ndo kakuona boya
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Wakuu leo naandika nikiwa na mawazo mengi sana. Mara nyingi nimekuwa nikileta nyuzi za masuala ya kitaifa ila leo huu uzi ni wa ishu yangu binafsi. Mimi kada mtiifu wa CCM kwa sasa kuna mambo nimeshindwa kuelewa kabisa kwa huyu mwanamke ambaye nimetangaza nia ya kumuoa. Nataka ushauri wenu.
Baada ya harakati za hapa na pale kutafuta soulmate ndo mwaka 2022 nikabahatika kukutana na msichana mrembo aliyekuwa akimalizia diploma yake ya Nursing. Ingawa hakuwa mwanachama wa CCM nikapiga moyo konde kwamba fresh tu kwasababu ndo sio siasa. Wakati tumeanza mahusiano akanipa sharti la kutomtafuna hadi ndoa. Alisema yeye ni bikra.
Nilishtuka ila nikaona labda kwasababu anataka awe bize na masomo kwa sababu ndo alikuwa akimalizia diploma yake. Hili sharti lake nikasema acha nilivumilie kwasababu kama ni papuchi zipo nyingi nikizidiwa nitajipooza kwingine. Huyu ni wa ndoa.
Siku zikaenda akahitimu masomo yake. Tukakubaliana tuanze taratibu za kuelekea ndoa baada ya graduation yake. Bahati mbaya matokeo yalivyotoka kuna masomo akawa amefeli. Ikabidi arudie mwaka. Nikavumilia tena na kusubiri bila kutuma mshenga wal kufanya lolote hadi alipofanya mitihani yake ya mwisho mwezi May.
Baada ya mitihani nikamwambia inabidi sasa nianze mchakato. Kilichonishtua hadi kuandika uzi huu ni msichana kukataa kabisa hata kutuma mshenga na angalau uchumba kuwa rasmi hadi matokeo yake ya mitihani itoke. Kiukweli hii kwangu mimi naona imenilemea kuliko hata lile sharti la kutofanya mapenzi hadi ndoa. Nimejiuliza inakuwaje matokeo yake ya mitihani yamzuie hata mshenga kupeleka ujumbe wakati nikiwa chuo watu walikuwa wanaoana kabisa wakiwa bado wanafunzi?
JF kwa sasa ni kama familia yangu hivyo nawakaribisha wanafamilia kwa ushauri. Nimeandika nikiwa na ukame mkali sana.
Kwanza Pole......... japo umeanza kwa kuji declare mambo ya chama na mmi sipo hko na wala haikuwa na sababu yeyote ....any way ...... mmi naona nikama una panda mbegu kwenye udongo mkavu na kame sana sina hakika kama huo mmea uta stawi na kutoa maua ukayafurahia ..... kwanini usitulize akili uka oata mtu sahihi? Hilo swala la bikra ni geresha tu sina hakika kama ni kweli ..... ukiweka akili sana kwake kuna mambo uta feli just move on niwakati mgumu lakini mbele ni kuzuri zaidi ..........kuna wakati MUNGU anakunyima baadhi ya vitu coz you deserve more ..... zakupewa changanya na zako [emoji125][emoji125][emoji125]Wakuu leo naandika nikiwa na mawazo mengi sana. Mara nyingi nimekuwa nikileta nyuzi za masuala ya kitaifa ila leo huu uzi ni wa ishu yangu binafsi. Mimi kada mtiifu wa CCM kwa sasa kuna mambo nimeshindwa kuelewa kabisa kwa huyu mwanamke ambaye nimetangaza nia ya kumuoa. Nataka ushauri wenu.
Baada ya harakati za hapa na pale kutafuta soulmate ndo mwaka 2022 nikabahatika kukutana na msichana mrembo aliyekuwa akimalizia diploma yake ya Nursing. Ingawa hakuwa mwanachama wa CCM nikapiga moyo konde kwamba fresh tu kwasababu ndo sio siasa. Wakati tumeanza mahusiano akanipa sharti la kutomtafuna hadi ndoa. Alisema yeye ni bikra.
Nilishtuka ila nikaona labda kwasababu anataka awe bize na masomo kwa sababu ndo alikuwa akimalizia diploma yake. Hili sharti lake nikasema acha nilivumilie kwasababu kama ni papuchi zipo nyingi nikizidiwa nitajipooza kwingine. Huyu ni wa ndoa.
Siku zikaenda akahitimu masomo yake. Tukakubaliana tuanze taratibu za kuelekea ndoa baada ya graduation yake. Bahati mbaya matokeo yalivyotoka kuna masomo akawa amefeli. Ikabidi arudie mwaka. Nikavumilia tena na kusubiri bila kutuma mshenga wal kufanya lolote hadi alipofanya mitihani yake ya mwisho mwezi May.
Baada ya mitihani nikamwambia inabidi sasa nianze mchakato. Kilichonishtua hadi kuandika uzi huu ni msichana kukataa kabisa hata kutuma mshenga na angalau uchumba kuwa rasmi hadi matokeo yake ya mitihani itoke. Kiukweli hii kwangu mimi naona imenilemea kuliko hata lile sharti la kutofanya mapenzi hadi ndoa. Nimejiuliza inakuwaje matokeo yake ya mitihani yamzuie hata mshenga kupeleka ujumbe wakati nikiwa chuo watu walikuwa wanaoana kabisa wakiwa bado wanafunzi?
JF kwa sasa ni kama familia yangu hivyo nawakaribisha wanafamilia kwa ushauri. Nimeandika nikiwa na ukame mkali sana.
Ni msichana mrembo mithili ya Tulia AksonMkuu ukisema mrembo tunataka tuone picha ili tukushauri vizuri,isije ikawa pisi yenyewe mbovu halafu unatusumbua sumbua tu humu.
Hawezi kuwa kama wewe,sababu Hana akili huyu kiaziUshauri mwepesi ni tafuta maandiko yangu usome. Kisha uwe kama Mimi. Hakuna mambo ya kitoto na kijinga yatakayokusumbua.
PumbavuNi msichana mrembo mithili ya Tulia Akson
Mpumbavu sanaPumbavu
Maskini weeh sijui nani alikushauri kaka mwanamke akitamani aolewe na mwanaume anaye mpenda mara nyingi yeye ndio huwa anaforci ndoa....itoshe kusema tafuta kada mwenzako uoe huyo fanya mchakato uweke utembee atakusumbua[emoji846][emoji846][emoji846]
Ukishakuwa CCM juaMimi kada mtiifu wa CCM kwa sasa kuna mambo nimeshindwa kuelewa kabisa kwa huyu mwanamke
Awe bikra asiwe bikra ukiona unaletewa nyodo na mwabamke kwenye kumuoa jua wazi kua wewe ni zoba, zumbukuku na mshamba wa mapenzi.Mwanamke asiye bikira ndiye hu-force mambo kwa vile keshatumika, ila bikira lazima awe na nyodo.
Aise mimi nikiwa na uhakika ninayemuoa ni bikira, nitasubiri hadi basi maana mwanamke kunitunuku ubikira wake hiyo ni heshima kubwa sana.
Acha kwanza kuongelea Taifa, maliza hii issue ndogo.Wakuu leo naandika nikiwa na mawazo mengi sana. Mara nyingi nimekuwa nikileta nyuzi za masuala ya kitaifa ila leo huu uzi ni wa ishu yangu binafsi. Mimi kada mtiifu wa CCM kwa sasa kuna mambo nimeshindwa kuelewa kabisa kwa huyu mwanamke ambaye nimetangaza nia ya kumuoa. Nataka ushauri wenu.
Baada ya harakati za hapa na pale kutafuta soulmate ndo mwaka 2022 nikabahatika kukutana na msichana mrembo aliyekuwa akimalizia diploma yake ya Nursing. Ingawa hakuwa mwanachama wa CCM nikapiga moyo konde kwamba fresh tu kwasababu ndo sio siasa. Wakati tumeanza mahusiano akanipa sharti la kutomtafuna hadi ndoa. Alisema yeye ni bikra.
Nilishtuka ila nikaona labda kwasababu anataka awe bize na masomo kwa sababu ndo alikuwa akimalizia diploma yake. Hili sharti lake nikasema acha nilivumilie kwasababu kama ni papuchi zipo nyingi nikizidiwa nitajipooza kwingine. Huyu ni wa ndoa.
Siku zikaenda akahitimu masomo yake. Tukakubaliana tuanze taratibu za kuelekea ndoa baada ya graduation yake. Bahati mbaya matokeo yalivyotoka kuna masomo akawa amefeli. Ikabidi arudie mwaka. Nikavumilia tena na kusubiri bila kutuma mshenga wal kufanya lolote hadi alipofanya mitihani yake ya mwisho mwezi May.
Baada ya mitihani nikamwambia inabidi sasa nianze mchakato. Kilichonishtua hadi kuandika uzi huu ni msichana kukataa kabisa hata kutuma mshenga na angalau uchumba kuwa rasmi hadi matokeo yake ya mitihani itoke. Kiukweli hii kwangu mimi naona imenilemea kuliko hata lile sharti la kutofanya mapenzi hadi ndoa. Nimejiuliza inakuwaje matokeo yake ya mitihani yamzuie hata mshenga kupeleka ujumbe wakati nikiwa chuo watu walikuwa wanaoana kabisa wakiwa bado wanafunzi?
JF kwa sasa ni kama familia yangu hivyo nawakaribisha wanafamilia kwa ushauri. Nimeandika nikiwa na ukame mkali sana.