Tayari nimepata mwanamke wa kuoa ila kuna vitu sijaelewa wakuu. Nishaurini tafadhali

Tayari nimepata mwanamke wa kuoa ila kuna vitu sijaelewa wakuu. Nishaurini tafadhali

Achana nae bado mtoto huyo atakusumbua kwa haraka haraka haraka kamaliza o level 2019 huyo ni makamo ya mdogo wangu wa 2003 yupo chuo mwaka wa kwnza naye alimaliza mwaka 2019.

Itoshe kusema achana nae na kosa ulilolifanya ni kukubali ombi lake la kitoto la kutokusuguliwa wakati naamini anasuguliwa kwa sababu kama angekuwa asuguluwi trust me asingefeli.

Nyie CCM wajinga sana hadi kwenye Mapenzi
 
Wakuu leo naandika nikiwa na mawazo mengi sana. Mara nyingi nimekuwa nikileta nyuzi za masuala ya kitaifa ila leo huu uzi ni wa ishu yangu binafsi. Mimi kada mtiifu wa CCM kwa sasa kuna mambo nimeshindwa kuelewa kabisa kwa huyu mwanamke ambaye nimetangaza nia ya kumuoa. Nataka ushauri wenu.

Baada ya harakati za hapa na pale kutafuta soulmate ndo mwaka 2022 nikabahatika kukutana na msichana mrembo aliyekuwa akimalizia diploma yake ya Nursing. Ingawa hakuwa mwanachama wa CCM nikapiga moyo konde kwamba fresh tu kwasababu ndo sio siasa. Wakati tumeanza mahusiano akanipa sharti la kutomtafuna hadi ndoa. Alisema yeye ni bikra.

Nilishtuka ila nikaona labda kwasababu anataka awe bize na masomo kwa sababu ndo alikuwa akimalizia diploma yake. Hili sharti lake nikasema acha nilivumilie kwasababu kama ni papuchi zipo nyingi nikizidiwa nitajipooza kwingine. Huyu ni wa ndoa.

Siku zikaenda akahitimu masomo yake. Tukakubaliana tuanze taratibu za kuelekea ndoa baada ya graduation yake. Bahati mbaya matokeo yalivyotoka kuna masomo akawa amefeli. Ikabidi arudie mwaka. Nikavumilia tena na kusubiri bila kutuma mshenga wal kufanya lolote hadi alipofanya mitihani yake ya mwisho mwezi May.

Baada ya mitihani nikamwambia inabidi sasa nianze mchakato. Kilichonishtua hadi kuandika uzi huu ni msichana kukataa kabisa hata kutuma mshenga na angalau uchumba kuwa rasmi hadi matokeo yake ya mitihani itoke. Kiukweli hii kwangu mimi naona imenilemea kuliko hata lile sharti la kutofanya mapenzi hadi ndoa. Nimejiuliza inakuwaje matokeo yake ya mitihani yamzuie hata mshenga kupeleka ujumbe wakati nikiwa chuo watu walikuwa wanaoana kabisa wakiwa bado wanafunzi?

JF kwa sasa ni kama familia yangu hivyo nawakaribisha wanafamilia kwa ushauri. Nimeandika nikiwa na ukame mkali sana.

Ushauri mwepesi ni tafuta maandiko yangu usome. Kisha uwe kama Mimi. Hakuna mambo ya kitoto na kijinga yatakayokusumbua.
 
Wakuu leo naandika nikiwa na mawazo mengi sana. Mara nyingi nimekuwa nikileta nyuzi za masuala ya kitaifa ila leo huu uzi ni wa ishu yangu binafsi. Mimi kada mtiifu wa CCM kwa sasa kuna mambo nimeshindwa kuelewa kabisa kwa huyu mwanamke ambaye nimetangaza nia ya kumuoa. Nataka ushauri wenu.

Baada ya harakati za hapa na pale kutafuta soulmate ndo mwaka 2022 nikabahatika kukutana na msichana mrembo aliyekuwa akimalizia diploma yake ya Nursing. Ingawa hakuwa mwanachama wa CCM nikapiga moyo konde kwamba fresh tu kwasababu ndo sio siasa. Wakati tumeanza mahusiano akanipa sharti la kutomtafuna hadi ndoa. Alisema yeye ni bikra.

Nilishtuka ila nikaona labda kwasababu anataka awe bize na masomo kwa sababu ndo alikuwa akimalizia diploma yake. Hili sharti lake nikasema acha nilivumilie kwasababu kama ni papuchi zipo nyingi nikizidiwa nitajipooza kwingine. Huyu ni wa ndoa.

Siku zikaenda akahitimu masomo yake. Tukakubaliana tuanze taratibu za kuelekea ndoa baada ya graduation yake. Bahati mbaya matokeo yalivyotoka kuna masomo akawa amefeli. Ikabidi arudie mwaka. Nikavumilia tena na kusubiri bila kutuma mshenga wal kufanya lolote hadi alipofanya mitihani yake ya mwisho mwezi May.

Baada ya mitihani nikamwambia inabidi sasa nianze mchakato. Kilichonishtua hadi kuandika uzi huu ni msichana kukataa kabisa hata kutuma mshenga na angalau uchumba kuwa rasmi hadi matokeo yake ya mitihani itoke. Kiukweli hii kwangu mimi naona imenilemea kuliko hata lile sharti la kutofanya mapenzi hadi ndoa. Nimejiuliza inakuwaje matokeo yake ya mitihani yamzuie hata mshenga kupeleka ujumbe wakati nikiwa chuo watu walikuwa wanaoana kabisa wakiwa bado wanafunzi?

JF kwa sasa ni kama familia yangu hivyo nawakaribisha wanafamilia kwa ushauri. Nimeandika nikiwa na ukame mkali sana.
Kwanza Pole......... japo umeanza kwa kuji declare mambo ya chama na mmi sipo hko na wala haikuwa na sababu yeyote ....any way ...... mmi naona nikama una panda mbegu kwenye udongo mkavu na kame sana sina hakika kama huo mmea uta stawi na kutoa maua ukayafurahia ..... kwanini usitulize akili uka oata mtu sahihi? Hilo swala la bikra ni geresha tu sina hakika kama ni kweli ..... ukiweka akili sana kwake kuna mambo uta feli just move on niwakati mgumu lakini mbele ni kuzuri zaidi ..........kuna wakati MUNGU anakunyima baadhi ya vitu coz you deserve more ..... zakupewa changanya na zako [emoji125][emoji125][emoji125]
 
Mkuu ukisema mrembo tunataka tuone picha ili tukushauri vizuri,isije ikawa pisi yenyewe mbovu halafu unatusumbua sumbua tu humu.
 
Kitendo cha kuanza kuambiwa usubiri ndoa ndio umchakate ndio hapo cha kwanza hakupendi

Uyu ana mtu wake anajipimia tu

Cha pili mwanafunzi wa diploma kufeli mpaka kurudia mwaka ni kilaza pro max. Angekua CO labda. Interwise amefeli mtihani wa leseni

Cha tatu mwanaume huwa halilii ndoa, kama anakuhitaji uyo ndo angeku fosi wewe na hata kubeba ujauzito wako

HAUPENDWI
 
Maskini weeh sijui nani alikushauri kaka mwanamke akitamani aolewe na mwanaume anaye mpenda mara nyingi yeye ndio huwa anaforci ndoa....itoshe kusema tafuta kada mwenzako uoe huyo fanya mchakato uweke utembee atakusumbua[emoji846][emoji846][emoji846]

Mwanamke asiye bikira ndiye hu-force mambo kwa vile keshatumika, ila bikira lazima awe na nyodo.
Aise mimi nikiwa na uhakika ninayemuoa ni bikira, nitasubiri hadi basi maana mwanamke kunitunuku ubikira wake hiyo ni heshima kubwa sana.
 
Huwa nashangaa sana kuona mwanaume akipapalika na kubembeleza kuoa.

Mwanamke ndo anatakiwa awaze unamuoa lini, sio wewe uwaze mwanamke atakubali lini umuoe.

We kweli kada wa ccm
 
Mwanamke asiye bikira ndiye hu-force mambo kwa vile keshatumika, ila bikira lazima awe na nyodo.
Aise mimi nikiwa na uhakika ninayemuoa ni bikira, nitasubiri hadi basi maana mwanamke kunitunuku ubikira wake hiyo ni heshima kubwa sana.
Awe bikra asiwe bikra ukiona unaletewa nyodo na mwabamke kwenye kumuoa jua wazi kua wewe ni zoba, zumbukuku na mshamba wa mapenzi.
 
Wakuu leo naandika nikiwa na mawazo mengi sana. Mara nyingi nimekuwa nikileta nyuzi za masuala ya kitaifa ila leo huu uzi ni wa ishu yangu binafsi. Mimi kada mtiifu wa CCM kwa sasa kuna mambo nimeshindwa kuelewa kabisa kwa huyu mwanamke ambaye nimetangaza nia ya kumuoa. Nataka ushauri wenu.

Baada ya harakati za hapa na pale kutafuta soulmate ndo mwaka 2022 nikabahatika kukutana na msichana mrembo aliyekuwa akimalizia diploma yake ya Nursing. Ingawa hakuwa mwanachama wa CCM nikapiga moyo konde kwamba fresh tu kwasababu ndo sio siasa. Wakati tumeanza mahusiano akanipa sharti la kutomtafuna hadi ndoa. Alisema yeye ni bikra.

Nilishtuka ila nikaona labda kwasababu anataka awe bize na masomo kwa sababu ndo alikuwa akimalizia diploma yake. Hili sharti lake nikasema acha nilivumilie kwasababu kama ni papuchi zipo nyingi nikizidiwa nitajipooza kwingine. Huyu ni wa ndoa.

Siku zikaenda akahitimu masomo yake. Tukakubaliana tuanze taratibu za kuelekea ndoa baada ya graduation yake. Bahati mbaya matokeo yalivyotoka kuna masomo akawa amefeli. Ikabidi arudie mwaka. Nikavumilia tena na kusubiri bila kutuma mshenga wal kufanya lolote hadi alipofanya mitihani yake ya mwisho mwezi May.

Baada ya mitihani nikamwambia inabidi sasa nianze mchakato. Kilichonishtua hadi kuandika uzi huu ni msichana kukataa kabisa hata kutuma mshenga na angalau uchumba kuwa rasmi hadi matokeo yake ya mitihani itoke. Kiukweli hii kwangu mimi naona imenilemea kuliko hata lile sharti la kutofanya mapenzi hadi ndoa. Nimejiuliza inakuwaje matokeo yake ya mitihani yamzuie hata mshenga kupeleka ujumbe wakati nikiwa chuo watu walikuwa wanaoana kabisa wakiwa bado wanafunzi?

JF kwa sasa ni kama familia yangu hivyo nawakaribisha wanafamilia kwa ushauri. Nimeandika nikiwa na ukame mkali sana.
Acha kwanza kuongelea Taifa, maliza hii issue ndogo.
Pia hakuna mtu hapo
 
Back
Top Bottom