Tazama Baadhi Ya Picha: Kutawazwa kwa Mfalme Charles III

Na harry kagombana na familia nzima kisa mwanamke au viugomvi vya Meghan na Catherine wanaume inabidi muwe smart wanawake viugomvi vyetu Huwa vya mambo ya hovyo na wewe mwanaume ukiingia kichwa kichwa inakula kwako
We are emotions in decision making
Ni mwanaume mpumbavu tu ndio atagombana na familia kisa mkewe. Kwa hawa wanawake wa kizazi cha nyoka, tena mmarekani ambaye ndoa ya kwanza ilishamshinda. Harry amesacrifice familia yake kwa mwanamke asiyejielewa. Sidhani kama ndoa yao itakuwa na maisha marefu.
 
kawaida tu, anajua nini anafanya........ni mtu mzima, yupo huru kiimani na kifikra.
 
Kwamba Meghan akiondoka atakosa replacement, usimfananishe Harry na mtoto wa kapuku hapa tandale.
Don't rush!sijaongelea kwamba atakosa mtu,Dunia nzima wanawake Wana wish kuwa nae,nachoongelea Mimi ni vile alivyojitoa Kwa Meghan mpaka akajitoa kwenye ufalme halafu Meghan aje kudai talaka haitokaa sawa Kwa upande wa Harry
 
Ni kweli kabisa unagombanaje na familia kisa mwanamke anahisi mara hapendwi na mbaya zaidi ana force kujitenga na familia zipi watu Huwa hawatofautiani na huyo Meghan hapatani hata na familia ya baba yake na nduguze. In short Meghan ni toxic mno and bitter
 
Don't rush!sijaongelea kwamba atakosa mtu,Dunia nzima wanawake Wana wish kuwa nae,nachoongelea Mimi ni vile alivyojitoa Kwa Meghan mpaka akajitoa kwenye ufalme halafu Meghan aje kudai talaka haitokaa sawa Kwa upande wa Harry
Atakuwa kampiga teke chura, ataenda kuoa mzungu pure sasa.......sema wazungu wana maadili fulani strict kuhusu mahusiano. Kwa ngozi nyeusi ukiona mwanamke anamwangaisha mwanaume, ni kwamba huyo mwanaume hana pesa, maana replacement zipo za kutosha.
 
Na atajuta kweli hasa ukichangia Meghan yule alifata umaarufu na ndoa ya kifalme baada ya kupata alichotaka akaanza visa naomba tu Mungu wadumu Hadi uzeeni bila hivo ikitokea talaka haraka anaweza jinyonga hivi hivi ukichangia na kule Kwa familia aliondoka kiugomvi.
I think na familia washampuuza na mambo yake apambane na pendo lake hata BBC au CNN sikuona hata wakimzumu.
 
Atakuwa kampiga teke chura, ataenda kuoa mzungu pure sasa.......sema wazungu wana maadili fulani strict kuhusu mahusiano. Kwa ngozi nyeusi ukiona mwanamke anamwangaisha mwanaume, ni kwamba huyo mwanaume hana pesa, maana replacement zipo za kutosha.
Sijui hata unaongea Nini.
 
🤣🤣🤣Yaani Hadi kina chaumbea BBC na CNN wamemdharau?Meghan asimfanyie ubaya mwenzie,ikatokea Harry akipewa talaka Hali yake itakuwa mbaya sana na zile nywele zitazidi chachamaa.... Maana pale keshaharibu reputation yake kuanzia ngazi ya familia mpaka ngazi ya taifa,Meghan amsitiri tu mwenzie
 
Sijui nyie mnamchukuliaje Harry, huyo kijana ana misimamo na anajiamini kupita maelezo, msimchukulie kama ni mtu wa kulialia au kuyumba yumba.
 
Ndo hivyo, ukiondoka ataingia mwingine na maisha yataendelea kama kawaida......
Maisha sio rahisi Kama unavyoyachukulia....usione watu wanapata msongo wa mawazo Kuna mengi kwenye Maisha ukikua utaelewa ninchomaanisha
 
Yani CNN, BBC hawaja mu zoom hata kidogo wamemsusa na hawaja mwonyesha hata akiondoka wamempuuza tu. Sasa Meghan Hadi ugomvi wao na Kate kugombania hereni za princess Diana na Kate Middleton kuzivaa zikaleta ugomvi mkubwa, mara Meghan alimwamgalia vibaya princess Charlotte kwenye harusi ya Meghan [emoji2][emoji2] in short ni viugomvi vya wanawake Harry naye kachukia eti. Ila Meghan Harry ana mpenda na kumsikiliza asingetumia hyo chance kumtenga na familia yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…