Tazama hapa makato ya kutuma na kutoa pesa kwa Vodacom (M-Pesa) kuanzia Julai 15, 2021

Tazama hapa makato ya kutuma na kutoa pesa kwa Vodacom (M-Pesa) kuanzia Julai 15, 2021

Ungejikita kwenye agenda iliyopo mezani ingependeza zaidi, sasa mambo ya udini yanaingia vipi hapa? Acha kufikiri kijima mkuu, yaani mahali kukiwa na ratio hata ya 4/10 Muslim katika uteuzi wa nafasi yyt ni shida nchi hii sababu ilishazoeleka ratio ya 9/10 au 10/10 Christian huko nyuma?.

Suala la msingi unapaswa kutambua ni kuwa suala la waislam kuwa nyuma kielimu miaka ya nyuma ni la kihistoria, limeanza enzi za ukoloni na likaja mpaka miaka ya mwishoni ya 90, lakini baada ya Y2K muamko umekuwa mkubwa sana, Kuna waislam wengi sana wamesoma na wengi wanaendelea kupata fursa za elimu,tuseme kwasasa sy issue tena, sema mifumo ilikuwa inawabana huko nyuma, walikuwa hawapati nafasi.

Lakini la muhimu ni kuwa mtu anachaguliwa kwa kukidhi vigezo vya nafasi husika na siyo dini, ndy maana zamani tulikuwa hatuna tatizo hata kama 100/100 ya wateuliwa walikuwa wanatoka dini moja.

Cheki ile list ya advisor wake niambie mwenye CV ya maana nani pale?Think critically hata km ni wapagani CV ndio inayomata brother!sioni km uweledi na expirience alivizingatia zaidi ya udini!
Angalia maraisi waliotangulia pia! Sasa mkiona unatoa laki2 kwa 20k unamlaumu nani?
 
Cheki ile list ya advisor wake niambie mwenye CV ya maana nani pale?Think critically hata km ni wapagani CV ndio inayomata brother!sioni km uweledi na expirience alivizingatia zaidi ya udini!
Angalia maraisi waliotangulia pia! Sasa mkiona unatoa laki2 kwa 20k unamlaumu nani?
Walikwambia kuwa ili CV iwe ya maana ilitakiwa iwe na nini?
 
View attachment 1853406
View attachment 1853410
View attachment 1853411
View attachment 1853412
View attachment 1853415

KUMBUKA
• Hakuna makato yoyote unapoweka pesa kwenye akaunti yako kupitia wakala wa M-Pesa
• Hakikisha taarifa zako za M-Pesa ni sahihi vinginevyo fika katika duka la Vodacom lililopo karibu nawe kuhakiki taarifa zako
• Unaweza kutuma hadi Tshs 5m kwa siku au kuwa na hadi Tshs 10m kwenye akaunti yako ya M-Pesa wakati wowote ukikamilisha usajili wako
• Hakikisha kama umesajiliwa kikamilifu kwa kupiga *106#
• Unapotuma pesa, siku zote kumbuka kuhakikisha namba ya mpokeaji kuepuka usumbufu
• Unapofanya muamala kwa wakala utahitajika kuonyesha kitambu-lisho chako
• Baada ya ku swap namba yako ya Vodacom, unaweza kuanza kutumia M-Pesa baada ya masaa 48
• Kupata vigezo na masharti ya kutumia M-Pesa tembelea duka la Vodacom lililopo karibu nawe au www.vodacom.co.tz
• M-Pesa huonyesha salio kwenye SMS ya kila muamala BURE. Endapo utafanya muamala wa kuangalia salio, utatozwa gharama ya Tsh 60
• Unapofanya malipo kwa wafanyabiashara waliosajiliwa na huduma ya LIPA KWA SIMU kupitia M-Pesa, utatozwa gharama za kawaida za kutuma pesa kwa wateja waliosajiliwa
• Ada za M-Pesa zilizoainishwa zimejumuisha ushuru wa serikali (Excise duty)
• PIN yako ya M-Pesa ni SIRI yako. Usimpatie mtu yeyote, hata kama ni wakala wa M-Pesa au mfanyakazi wa Vodacom
• Kwa msaada zaidi wasiliana na huduma kwa wateja kwa kupiga
SUA.

UDSM

MZUMBE

UDOM

IFM

TIA

CBE

TIA

NIT
 
Sjaona kilichobadilika walai nama hana nia njema na watu wa kipato cha chini ni maumiv makubwa leo nimejikongoja nimtumie mother kule kijijini yaan unaneza nate yanakwama maana unaona kias ulichozoea kumtumia akitoa tozo ni zima moto dah mungu atende tu
 
Back
Top Bottom