Tazama hapa makato ya kutuma na kutoa pesa kwa Vodacom (M-Pesa) kuanzia Julai 15, 2021


Cheki ile list ya advisor wake niambie mwenye CV ya maana nani pale?Think critically hata km ni wapagani CV ndio inayomata brother!sioni km uweledi na expirience alivizingatia zaidi ya udini!
Angalia maraisi waliotangulia pia! Sasa mkiona unatoa laki2 kwa 20k unamlaumu nani?
 
Walikwambia kuwa ili CV iwe ya maana ilitakiwa iwe na nini?
 
SUA.

UDSM

MZUMBE

UDOM

IFM

TIA

CBE

TIA

NIT
 
Sjaona kilichobadilika walai nama hana nia njema na watu wa kipato cha chini ni maumiv makubwa leo nimejikongoja nimtumie mother kule kijijini yaan unaneza nate yanakwama maana unaona kias ulichozoea kumtumia akitoa tozo ni zima moto dah mungu atende tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…