Uchaguzi 2020 Tazama hii video ya kivuko alichozuiwa kupanda ndugu Tundu Lissu kwa madai kuwa ni kibovu kikiwa Mwibara kisha soma ufafanuzi wa yaliyotokea

Lissu ameambiwa yakua kivuko ni kibovu na hakuna safari ya Ukerewe leo yote.

MaCCM hovyo sana.
 
Ubovu wa kivuko cha Kisorya - Ukerewe
 
Kivuko kimelalamikiwa ubovu tangu kipindi hicho. Shukuruni tu Lissu hajahatarisha maisha yake. Je kingepinduka. Zengwe nyingine ni baraka ujue
Numbisa hii thread ni ya April 2020 haina uhusiano wowote na hali ya kivuko leo hii. Kivuko leo hii hakikuwa kibovu.
 
We lizombie umeelewa kilichotokea kweli?Naona unatoa maushuzi tu
 
Yawezekana wote Ni watoto, au mmoja wao Ni mtoto.
1. Wote Kama kivuko kilikua kizima halafu wakamdanganya kwamba HAKITA TENGEMAA LEO " Siku hiyo" ili asipate hiyo huduma.
Halafu yeye na watuwake wakajua Ni kizima Kisha wakaziba njia kwa makusudi.

2. Mamlaka Ni watoto Kama walisema leo hakifanyi kazi kwa sababu yeyote Ile ili tu asipate huduma.
Na yeye kwa kuona hivyo akaacha hapo magari. Sio kwa lengo la kufunga njia , ila kwasababu alijua haita itajika maana hamna huduma siku hiyo.

3. Na wajinga watakua wenye msafara na madereva wao Kama Ni kweli kilikua kibovu kwa mda huo. Ila huduma ilikua irejee mda wowote kikitengemaa. Nao walijua Hilo wakafunga njia kwa makusudi.
Kama ni hivyo kweli waombe msamaa wananchi walioathirika.

4. La hasha walijisahau na kuacha kwa kutojua Kama baadae njia ingehitajika Basi hiyo itakua bahati mbaya hata hivyo kiungwana bado waombe msamaha.

Ila kwa upande wa mamlaka , nna wasi wasi maana Kama walijua kwamba huduma ingerudi na Kama walikua hawana shida na msafara kufahamu Hilo, kwa nini wasingewaelekeza msafara waweke magari pembeni ili huduma ikirudi wasiathiri utaratibu wa kutoka kwenye kivuko.

Inanitiliashaka labda waliwalaghai.
Au labda na wao walijisahau.
Hivyo Mamlaka waombe radhi wanachi na waombe radhi msafara kwa kujisahau au kwa kutowapa maelekezo stahiki.
 
Numbisa hii thread ni ya April 2020 haina uhusiano wowote na hali ya kivuko leo hii. Kivuko leo hii hakikuwa kibovu.
Leo hii Kivuko kilikuwa kinafanya kazi na kama kiliruhusiwa kubeba Watanzania wengine leo hii basi kingeweza kabisa kumbeba Lissu na timu yake yote lakini kutokana na yule mbaguzi anayejiita MWENDAWAZIMU wafanyakazi wakaambiwa waseme uongo ili tu Lissu ashindwe kuvuka. Ubaguzi kama huo haukubaliki hata chembe. Lissu ni Mtanzania na pia ni mlipa kodi anastahili kutendewa haki popote pale ndani ya Nchi yetu.
Kivuko kimelalamikiwa ubovu tangu kipindi hicho. Shukuruni tu Lissu hajahatarisha maisha yake. Je kingepinduka. Zengwe nyingine ni baraka ujue
 
Nchi hii kila mtu akiamua anafunga njia maana naona wote wanafanya hivyo sasa. Kuanzia wale wa chama tawala na sasa wapinzani wanaanza.
Hao hata wazifunge tu maana ndo waliofanya maendeleo ya vitu! Shida ni hao wa maendeleo ya watu...
 
Hahahaaaa . good .kivuko kibovu Sasa kitakuwa kmebeba magari mabovu pia .so hayo magari bila Shaka hayahtaj kutembea barabaran yabaki kwenye kivuko tu
 
Walishaambiwa kuwa Lisu ni mbeba maono.
Kwa mini wanashindwa kusoma alama za nyakati
 
Kwanini Lisdu afunge njia?? Haoni kuwa anawakwamisha watu! Inawezekana kweli kivuko kilikuwa kibovu lakini kimetengamaa baada ya kutengenezwa
Kivuko si kilikuwa kibovu bro wakayaacha tu waliambiwa hakiponi leo
 
Hivi unajua Lissu anagombea Urais na anataka awe Rais wa Jamhuri. Hiki alichofanya ni ujinga na amethibitisha Hana Busara hata kidogo. Sasa hapo amemkomoa nani Kama siyo hao Wananchi ambao anataka wampigie kura awaongoze
Aliambiwa kivuko leo hakitokuwepo
 
Na hao watu wakiamua wawe Kama yeye unajua Nini kitatokea kwenye hayo Magari.Halafu eti huyu ndiye anaomba awe Rais, wakati vitu vidogo Kama hivi anashindwa kuonyesha uvumilivu wake na Busara zake.
Busara ipi kivuko kibovu hakitokuwepo week
 
Aliambiwa leo kivuko hamna hakifanyi kazi.
 
Walimwambia hakuna kivuko siku mbili.cost gani alipe?
 
Ni jambo la kipuuzi sana hili, wapinzani wanajiona wao ndo wenye nchi hii peke yao. Kwani kivuko kuwa kibovu ina maana hakitatengenezwa ili kipone na kiendelee na shughuli za kijamii. Mambo mengine sijui wapinzani wanafikiria kwa kutumia nini?
Guarantee ya siku 2 aliambiwa
 
Hivi unajua Lissu anagombea Urais na anataka awe Rais wa Jamhuri. Hiki alichofanya ni ujinga na amethibitisha Hana Busara hata kidogo. Sasa hapo amemkomoa nani Kama siyo hao Wananchi ambao anataka wampigie kura awaongoze
Waliokomesha wananchi ni hao ambao walisema kivuko ni kibovu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…