Uchaguzi 2020 Tazama hii video ya kivuko alichozuiwa kupanda ndugu Tundu Lissu kwa madai kuwa ni kibovu kikiwa Mwibara kisha soma ufafanuzi wa yaliyotokea

Uchaguzi 2020 Tazama hii video ya kivuko alichozuiwa kupanda ndugu Tundu Lissu kwa madai kuwa ni kibovu kikiwa Mwibara kisha soma ufafanuzi wa yaliyotokea

Kwenye video hapa chini kinaonekana kivuko ambacho kipo upande wa Mwibara. Kilitoka Ukerewe kwenda Mwibara ambapo kimemuacha ndugu Lissu akiwa Ukerewe kwenye mkutano. Yani Lissu amefika Ukerewe na kivuko kikatoka Ukerewe (Na tuliambiwa kuwa ni kibovu)

Tazama mbele ya kivuko yanaonekana magari. Magari haya ni pamoja na gari la Tundu Lissu (Prado nyeupe) na magari mengine ya msafara wa Lissu ambayo walitaka kuyavusha kwa kutumia kivuko hicho kutoka Mwibara kwenda Ukerewe. Sasa kwa kuwa waliambiwa kuwa kivuko ni kibovu, wakamua kuyaacha magari yao hapo (kama yanavyoonekana) kisha wakaenda zao Ukerewe kwa kutumia Mtumbwi.

Sasa ajabu kivuko kimetoka Ukerewe kimefika Mwibara hatimaye wameshindwa kushusha mizigo na mabasi waliyopaki ndani ya kivuko kwa kuwa magari ya msafara wa Lissu yaliachwa hapo na madereva wote wameenda Ukerewe pamoja na Lissu (Yame block njia).Sasa wanalazimika kusubiri hadi atoke Ukerewe ndipo waje watoe hayo magari ili kivuko kiweze kushusha mizigo na hayo mabasi.

Swali, hapo nani kacheza kitoto?
View attachment 1599922
Mnyaturu habari nyingine aisee,akili nyingi sana huyu jamaa
 
Kha!!,,, mbona rahisi tu.nguvukazi itumike hapo kuyasukumia pembeni hayo magari,alafu wenye magari wakija wasiyatoe mpaka walipe faini.
 
Ni kukipia cost of loss wasipolipa magari yatashikiliwa had I walipe au yatapigwa mnada na madalali wa mahakama.

Ila gharama watatakiwa kulipa si kwa wamiliki kivuko tu Bali na wenye magari binafsi

Ofisi ya dereva yeyote ni kwenye gari hao madereva was Lisu waliondokaje na kuachia ofisi zao au magari yao kwa kivuko? Wenye kivuko andaeni invoice haraka wakija tu hapo loss yote walipe na wenye magari binafsi blocked daini fidia
Hilo tu, tutachangia mengine.
Uhuru na haki vina thamani kubwa kuliko magari.
Uzeni tu

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Kwenye video hapa chini kinaonekana kivuko ambacho kipo upande wa Mwibara. Kilitoka Ukerewe kwenda Mwibara ambapo kimemuacha ndugu Lissu akiwa Ukerewe kwenye mkutano. Yani Lissu amefika Ukerewe na kivuko kikatoka Ukerewe (Na tuliambiwa kuwa ni kibovu)

Tazama mbele ya kivuko yanaonekana magari. Magari haya ni pamoja na gari la Tundu Lissu (Prado nyeupe) na magari mengine ya msafara wa Lissu ambayo walitaka kuyavusha kwa kutumia kivuko hicho kutoka Mwibara kwenda Ukerewe. Sasa kwa kuwa waliambiwa kuwa kivuko ni kibovu, wakamua kuyaacha magari yao hapo (kama yanavyoonekana) kisha wakaenda zao Ukerewe kwa kutumia Mtumbwi.

Sasa ajabu kivuko kimetoka Ukerewe kimefika Mwibara hatimaye wameshindwa kushusha mizigo na mabasi waliyopaki ndani ya kivuko kwa kuwa magari ya msafara wa Lissu yaliachwa hapo na madereva wote wameenda Ukerewe pamoja na Lissu (Yame block njia).Sasa wanalazimika kusubiri hadi atoke Ukerewe ndipo waje watoe hayo magari ili kivuko kiweze kushusha mizigo na hayo mabasi.

Swali, hapo nani kacheza kitoto?
View attachment 1599922
Ni jambo la kipuuzi sana hili, wapinzani wanajiona wao ndo wenye nchi hii peke yao. Kwani kivuko kuwa kibovu ina maana hakitatengenezwa ili kipone na kiendelee na shughuli za kijamii. Mambo mengine sijui wapinzani wanafikiria kwa kutumia nini?
 
Anazidi kutengeneza chuki kwa watu.

Tusiendelee na ratiba zetu kisa mtu mmoja na interest zake?

Haiingii akilini.

Police au askari wakiamua kuvunja vioo vya magari na kuamua ku unlock hizo gari then wa park pembeni ili shughuli ziendelee kawaida utasikia poliCCM au askaliCCM.Kumbe wanayataka wenyewe.

Hii ni aibu kwa msafara unaoongozwa mwanasheria kublock public way⚠.

Nakiri kusema jeshi la polisi wanatakiwa kuwa na busara sana katika wakati huu. but wakiaamua kutumia sheria Lissu anaenda kukiponza chama cha chadema pakubwa sana na hata kufutwa kabisa.
Taarifa alizoambiwa kuwa ferr ni mbovu ,hivyo packing ni useless, akaacha vitu vyake hapo akaenda .
Kosa lipo kwake au kwa aliemdanganya?
 
Unafikiri ni kwanini ccm na serikali yake isitumie busara kidogo tu kumtendea haki Lissu kuliko hivi wanavyomfanyia?
Kivuko ni mali ya mtu?
Kwanini kila wakati wamfanyie figisu?
Unafikiri Lissu avumilie hadi lini?


Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
May it was true hiki kivuko kimeharibika or not.

Lakini angalia haya madhara anayaleta kwa CCM au kwa wananchi wasio na hatia ambao may be waliplan kumchagua october 28th. Hapa ndipo kosa lilipoanzia.

Ila angetumia hiki anachokiami kutushawishi kuwa hii serikali ina mambo hayo ambayo anayaamini lakini sio kututesa wananchi.

This guy is not Smart et all.
 
Taarifa alizoambiwa kuwa ferr ni mbovu ,hivyo packing ni useless, akaacha vitu vyake hapo akaenda .
Kosa lipo kwake au kwa aliemdanganya?
Kwani ubovu wa kitu ni kifo??

Hivi vitu vijatengenezwa na wakati wowote vinaweza fanya kazi kama Mwanzo/kawaida.
 
What if hao raia hapo nao wakaamua kumwaga mchuzi hapo kwenye hayo Magari!
Unafikri raia walioko hapo hawajaona alichotendewa Lissu? Hakuna raia mjinga kama mawazo yako wote walionesha kuguswa na uongo alioambiwa Lissu! Sasa wamsubiri amalize mkutano ndio washushe magari na kupakia tena kwa safari ya kwenda Ukerewe!
 
Kwenye video hapa chini kinaonekana kivuko ambacho kipo upande wa Mwibara. Kilitoka Ukerewe kwenda Mwibara ambapo kimemuacha ndugu Lissu akiwa Ukerewe kwenye mkutano. Yani Lissu amefika Ukerewe na kivuko kikatoka Ukerewe (Na tuliambiwa kuwa ni kibovu)

Tazama mbele ya kivuko yanaonekana magari. Magari haya ni pamoja na gari la Tundu Lissu (Prado nyeupe) na magari mengine ya msafara wa Lissu ambayo walitaka kuyavusha kwa kutumia kivuko hicho kutoka Mwibara kwenda Ukerewe. Sasa kwa kuwa waliambiwa kuwa kivuko ni kibovu, wakamua kuyaacha magari yao hapo (kama yanavyoonekana) kisha wakaenda zao Ukerewe kwa kutumia Mtumbwi.

Sasa ajabu kivuko kimetoka Ukerewe kimefika Mwibara hatimaye wameshindwa kushusha mizigo na mabasi waliyopaki ndani ya kivuko kwa kuwa magari ya msafara wa Lissu yaliachwa hapo na madereva wote wameenda Ukerewe pamoja na Lissu (Yame block njia).Sasa wanalazimika kusubiri hadi atoke Ukerewe ndipo waje watoe hayo magari ili kivuko kiweze kushusha mizigo na hayo mabasi.

Swali, hapo nani kacheza kitoto?
View attachment 1599922
Ukitaka kufanya ligi na Lisu hasira zako weka pembeni kwanza na tuliza akili .Vinginevyo utapata ugonjwa wa moyo asubuhi kweupe.Sijui alijifunzia wapi huyu jamaa jinsi ya ku-deal na watu wenye hila.sasa hapo utaanzaje kumlaumu kwamba amesababisha usumbufu wakati mlimwambia kivuko hakipo ni kibovu
 
Unafikri raia walioko hapo hawajaona alichotendewa Lissu? Hakuna raia mjinga kama mawazo yako wote walionesha kuguswa na uongo alioambiwa Lissu! Sasa wamsubiri amalize mkutano ndio washushe magari na kupakia tena kwa safari ya kwenda Ukerewe!
Jidanganye hivo hivo
 
Back
Top Bottom