Uchaguzi 2020 Tazama hii video ya kivuko alichozuiwa kupanda ndugu Tundu Lissu kwa madai kuwa ni kibovu kikiwa Mwibara kisha soma ufafanuzi wa yaliyotokea

Uchaguzi 2020 Tazama hii video ya kivuko alichozuiwa kupanda ndugu Tundu Lissu kwa madai kuwa ni kibovu kikiwa Mwibara kisha soma ufafanuzi wa yaliyotokea

Na hao watu wakiamua wawe Wapumbavu Kama yete unajua Nini kitatokea kwenye hayo Magari.Halafu eti huyu ndiye anaomba awe Rais, wakati vitu vidogo Kama hivi anashindwa kuonyesha uvumilivu wake na Busara zake. Pumba....vu kabisa huyu jamaa
Unapodili na maharamia kama ccm, hiyo ndiyo lugha pekee wanayoweza kuielewa. Busara dhidi ya kichaa huwa ni tofauti na dhidi ya mwenye akili timamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Okay Let's Wait and Sees kila Msilalamike kwa Sheria za Barbara zitakapochukua mkondo walipiweka magari sio parking Kivuko kiwe kizima ua Kibovu huna mamlaka ya kuzuia njiaa

Hiyo hoja nyingine sasa na haina mashiko.

Wameyaacha mle ili kivuko kikipona kiyavushe ili kiwapelekee, na hatimaye kweli wamewapelekea, kwani shida iko wapi?

Si wamelipia kuyavusha?
Basi kiwape huduma waliyoilipia
 
Nan kawaambia lissu aliziba barabara ,mnajadili video ya sekunde 30 blia kuwa na fact,mwambien aliyeituma atume nyingine baada ya kivuko kiufika kabsa na abiria wakaanza kushuka
 
That is still a public space isitoshe yeye sio sehemu ya management kujua muda kivuko kitaanza kazi.

Hivi ukiwa mfuasi wa Lissu ata commonsense tu inapotea.
Mngekuwa mnatoka na kukemea ujinga wa Magufuli wala tusingefika huku.

Tulieni kama mnakunya
 
Kwanini Lisdu afunge njia?? Haoni kuwa anawakwamisha watu! Inawezekana kweli kivuko kilikuwa kibovu lakini kimetengamaa baada ya kutengenezwa
KAULI ZA VITISHO ndiyo MSINGI WA VURUGU ZA KILA AINA YA UHALIFU.

Kama kivuko kilikuwa kibovu na kwamba kinarekebishwa,

LUGHA ya UKWELI WENYEWE ingetosha kuwaaminisha wote waliokuwepo hapo.

Lakini ikumbukwe muda wa kufanya mikutano UNALINDWA.

BUSARA ITUMIKE NA SIYO UONGO NA MABAVU.
 
Sasa kama akina Lisu waliambiwa kibovu ikitakiwa washushe magari yao.Kwa nini waliyaacha kwenye ferry? Inahoonekana yalipoingia magari wao wkasepa kutafuta kick vyombo vya habari

Tuashukuru vyombo vingi vya habari kugoma kurusha kick zao feki
Haingii akilini! Iweje waambiwe kivuko ni kibovu halafu waache magari yao humo?
 
Na hao watu wakiamua wawe Wapumbavu Kama yete unajua Nini kitatokea kwenye hayo Magari.Halafu eti huyu ndiye anaomba awe Rais, wakati vitu vidogo Kama hivi anashindwa kuonyesha uvumilivu wake na Busara zake. Pumba....vu kabisa huyu jamaa
mpuuzi ni yule kenge aliyedanganya hakuna kivuko leo
 
Hivi unajua Lissu anagombea Urais na anataka awe Rais wa Jamhuri. Hiki alichofanya ni ujinga na amethibitisha Hana Busara hata kidogo. Sasa hapo amemkomoa nani Kama siyo hao Wananchi ambao anataka wampigie kura awaongoze
Unazijua taratibu za kwenye vivuko KE ng.e wewe?
 
Hapana ni sehemu ya kudai fidia kwa hasara aliyoiletea kampuni kwa maamuzi yake ya kipuuzi.

Get Lissu psychological help.
Wewe acha ujinga, kwenye kivuko anaye agiza gari weka hapa au pale ni wahudumu wa eneo la kivuko sio kuwa unaingiza tuu gari na kupaki.
Usichojua ni kuwa wamewaambia wapaki hapo Ila kivuko hakiwezi kupona Leo hadi kesho.
Sasa ulitegemea madereva waache kazi zingine walale kwenye magari?
Hapo wameondoka na magari lazima wameyakabidhi kwao, kwa akili yako gari unaweza kuiacha hovyo?
Shida ni kuwa amri ya kusema kivuko kiwe kibovu imetoka kwa watu wasio kuwepo hapo site
 
Na hao watu wakiamua wawe Wapumbavu Kama yete unajua Nini kitatokea kwenye hayo Magari.Halafu eti huyu ndiye anaomba awe Rais, wakati vitu vidogo Kama hivi anashindwa kuonyesha uvumilivu wake na Busara zake. Pumba....vu kabisa huyu jamaa
Aliye toa maelezo ya ubovu wa kivuko ndiye PUMBA..........VU KABISA.
 
1602684069225.png
 
Hivi unajua Lissu anagombea Urais na anataka awe Rais wa Jamhuri. Hiki alichofanya ni ujinga na amethibitisha Hana Busara hata kidogo. Sasa hapo amemkomoa nani Kama siyo hao Wananchi ambao anataka wampigie kura awaongoze
Dada tumia sehemu ndogo t ya akili yako kufikiria. Wewe umeambiwa kivuko hakitafanya kazi siku nzima, ingekuwa wewe ungefanyaje?
 
Back
Top Bottom