Tazama picha ya gari lililotengenezwa na wanafunzi wa UDSM

Tazama picha ya gari lililotengenezwa na wanafunzi wa UDSM

Hizi watanzania kibao wanatengeneza Wapo mafundi Wa kuchomelea wanunda mpaka hiace za kuchonga magari kibao ya mkoa yanachongwa body hapa hapa bongo zinachomelewa ngoma inakaa road kusema kijana katengeneza gari naona ni ujinga fulani wakati huku mtaani watu wanachonga mabasi na yanapiga masafa dar arusha dar mwanza famasihala ww
 
Hizi watanzania kibao wanatengeneza Wapo mafundi Wa kuchomelea wanunda mpaka hiace za kuchonga magari kibao ya mkoa yanachongwa body hapa hapa bongo zinachomelewa ngoma inakaa road kusema kijana katengeneza gari naona ni ujinga fulani wakati huku mtaani watu wanachonga mabasi na yanapiga masafa dar arusha dar mwanza famasihala ww
Kama wasomi ndo wanafanya hivi tunasafari ndefu sana na hii inaonyesha hawako serious
 
Kama wasomi ndo wanafanya hivi tunasafari ndefu sana
Tena sio kidogo maana wanazidiwa na mafundi wetu wa mtaani na wanazidiwa na ujuzi kwa umbali mrefu sana imagine mtu anaunda bus kuanzia chases inaposimama mpka ngoma inatemebea road na inakaguliwa iko njema kila mifumo na mtu huyo ukimuuliza kaishia la 7 au form 4 kazama garage mambo yanaenda. Kazi ipo tutafika tunatembea kama viwete
 
Kila aliyeyejadili hiyo picha ya gari kwa kuisifu au kuiponda bila kuomba apewe specification ya hiyo gari ajihesabu kuwa hana akili au ana akili ndogo mno tena mno hahitqji mtu wa kumwambua huna akili

Yeyote kabla kujadili alitakiwa kuomba apewe Specification ya hiyo gari iliyoko kwenye picha
Wewe una kipimo cha kupima Akili?
 
Bongo tunajuaga kukosoa tu ila ajabu wakosoaji hawana walichowahi unda hata kwa kujaribu

Vyema tukawapa pongezi kwakuwa wamedanyakile ambacho wengine hatujaweza ubora ni ishu ya badaye muonekano ni swala la baadaye pia

Mwanzo mzuri vijana
Huwezi jua mkuu,labda washawahi unda mavituz

Ova
 
Nacheka sana... Na imagine Engineer wa Volkswagen kapita huko kaona hii takataka.. Sijui atatuonaje sisi kama Nchi.
 
Kila aliyeyejadili hiyo picha ya gari kwa kuisifu au kuiponda bila kuomba apewe specification ya hiyo gari ajihesabu kuwa hana akili au ana akili ndogo mno tena mno hahitqji mtu wa kumwambua huna akili

Yeyote kabla kujadili alitakiwa kuomba apewe Specification ya hiyo gari iliyoko kwenye picha
Hakuna cha specs hapo.

Hiyo ni TAKATAKA.

1-wheel base ipo low mnoo hakuna maajabu ktk specs hata nikiomba

2- Hizo Taa ukimulika na uhakika mita 20 huoni.

3- Unataka kusema hako kapang'ang'a kana 4wd? Heheh

4- Injini tu.. Nahisi kana Injini ya Pikipiki zile Bm150 hapo hakuna cc 500+ I bet.

5- Cooling system mbovu ukichek vzr hapo hiyo gari itakuw inachemsha hakuna mfano.

Yaaan by default hapo hakuna specs za kushtua ni Pikiki yenye milango na siti
 
Hivi hawa wabunifu wanatutafuta nini watanzania? Si bora wangeacha tu siku zipite???
Yaan wamezidiwa na kipanya?
 
ja lilokomaliwa enzi za mwalimu! Sidhani unalijua gari lelote lililotengenezwa enzi "io" na likakomaliwa! Unabisha?
Ni mfano, ni mfano huo Ulizaa wazee wa zamani kama kweli walikuwa wanapendaa kuvaa mabatiki, au kusubiria sukari madukani
 
Gari nzuri,ila maelezo hayajitoshelezi. Uelezee kama ni la mafuta au umeme, au ni umeme na mafuta? Spidi,uwezo wa kubeba mzigo, na engine imetengenezwa na nani
 
ENGINE umetengeneza mwenyewe? au umeunganisha tu vitu vya watu! kama umetengene system ya engene na matairi, big up! ila kama umenyofoa kwingene, tafuta vitu vya kufanya
Kiwanda cha magari kinachozalisha magari kinanunua matairi kiwanda kingine na baadhi hata engine wananunua toyota hat3ngenezi kila kitu
 
Back
Top Bottom