Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Vyombo vya moto ni neno generalize ambalo ndani yake lina matawi yake
Hicho chombo nacho ni tawi miongoni mwa vyombo vya moto, ukiite Vyovyote bado kinabaki kuwa gari "outomobile/vehicle"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyombo vya moto ni neno generalize ambalo ndani yake lina matawi yake
Nimempa maua yake mwamba.daah. kaka punguza madharau 😂😂
Neno gundua /kungundua Lina maana ya kufanya Jambo ambalo yawekana likawa na muonekano mpya kwenda mbele kama unaludia unapoteza sifa ya kua mgunduzi neno Sahi ni kuigizaHuo ni ugunduzi mkuu na ni sahihi.
Hakiwezi kuwa gari kwasababu magari tunayajua.Hicho chombo nacho ni tawi miongoni mwa vyombo vya moto, ukiite Vyovyote bado kinabaki kuwa gari "outomobile/vehicle"
Hakiwezi kuwa gari kwasababu magari tunayajua.
We kama ni injinia wa hicho kidude sisi tutakupa sifa kwa kutubunia kitu kipya ambacho mwanzoni hatukuwahi kukiona.
Ebu fikiria mwenyewe kampuni ya Toyota ikisikia kuna machuma yameungwa ungwa yakaweka na siti afu watu wakasema gari, watajiskiaje?
Watu wanatumia akili kubwa kutengeneza magari afu we unakuja na kidude chako unasema gari, kweli?
Pitia Google halafu utafute jamiiforumsHilo gari mnaliona nyinyi tu jamani mbona mi silioni?
Kwa sasa watu hawaanzii nyuma, wanaanzia wenzao walipofika kwenda mbele. Hilo gari linafanana na 1930s na baada ya hapo ni store. Yule jamaa ambaye hakuwa kasoma miaka kadhaa zi alitengeneza gari likaonyeshwa analipiga misele hadi likawa maonyesho ya sabasaba.
Ni dunia ya mashindano lazima ulete vitu vyenye ushindani.
Ndio maana nimesema kwa tafsiri yako wewe kila kitu ni gariUnajua hata ule ungo anaosafiria bibi yako usiku ni gari ??🤣🤣
Google nasachi vipi?Pitia Google halafu utafute jamiiforums
Mweee....Samaleko!
Hii ni picha ya gari lililotegenezwa na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha UDSM. Vipi maoni yako kuhusu huu ubunifu tutawafikia Wachina, Wajapani na German huko mbeleni au tuendelee na huu ubunifu uliojaa utundu.
View attachment 2590712to re
Ndio maana nimesema kwa tafsiri yako wewe kila kitu ni gari
Hata mtu anayeendesha kwa kuharisha utasema nayo hiyo ni driving fani na hicho kinachoeneshwa ni gari
Samaleko!
Hii ni picha ya gari lililotegenezwa na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha UDSM. Vipi maoni yako kuhusu huu ubunifu tutawafikia Wachina, Wajapani na German huko mbeleni au tuendelee na huu ubunifu uliojaa utundu.
Tayari ushataja drone hiyo ni kitu kingine sio gariHapa hatuzungumzii "kuendesha" tunazungumzia "gari", drone yenyewe inaitwa UAV, hiyo "V" hapo stands for Vehicle.
Sishindani na wewe ila kasome kamusi ya kiswahili kama kuna neno mtelemko wewe kama huwez tamka r poleLete ushahidi wewe!!, we unadhani unaweza kushindana na mimi katika kiswahili??.
Hao wote walioandika "Mtelemko" ni wajinga??, wewe tu ndio mjuaji bila kuleta ushahidi!!.
Lugha ni matumizi ya maneno yaliyokubalika na sio matumizi ya maneno kulingana na matakwa na raha au urahisi wako binafsi katika matamshi, wewe unaona raha na umezoea kutamka "re" badala ya "le" na unataka kulazimisha iwe hivyo.
Mwanzo mzuri sana tena sana....kikubwa kuna combination zinatakiwa kufanikisha ubora zaidi ikihusisha watu hawaSamaleko!
Hii ni picha ya gari lililotegenezwa na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha UDSM. Vipi maoni yako kuhusu huu ubunifu tutawafikia Wachina, Wajapani na German huko mbeleni au tuendelee na huu ubunifu uliojaa utundu.
Mwanzo mzuri gani bana, mwanzo wa kindezi. Wakati Kenya wanarusha Satelite sisi tunatengeneza toy car ya maonyesho halafu tunajisifu?! Kwanza hiyo ni ya dizel au petrol?! https://jamii.app/JFUserGuide Politics!Ni mwanzo mzuri. Hata hao wengine walipoanza hazikuwa za kupendeza
Watu walikua wanachukua chase za scania wanatengeneza mabasi sasa hivi hawafanyi sana sababu kuna makampuni ya china yanatengeneza bodi kama yutong, zhongtong n.kwameunganisha bodi tu. Kuna kampuni tayari tanzania za kuunganisha body zipo Arusha na kampuni za mabasi. Yaani hata kuunganisha body wameshidwa. Hakuna hata kimoja wametengeza