macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Hatujachelewa iwapo plan, nia na uongozi bora upo. Hatutakiwi kuunda tena hii design ya 1920. Tuibe technolojia kwa kupeleka wanafunzi nje, wasome na kufanya kazi kwenye viwanda vya magari. Wakirudi huku wanachanganya mawazo kwa pamoja na kutoka na kitu. Mbona China anaiba?Nadhani kama nchi tungewekeza zaidi kwenye vijana wa IT, kilimo na ufugaji. Haya mambo ya kutengeneza magari tumeshachelewa sana. Hilo gari hata kama linaweza tembea HALINUNULIKI. Hapo naona faida itakayopatikana ni kijana kujulikana na kupata ajira kwenye viwanda vinavyohusika na alichosomea lakini pia itategemea na GPA yake. Ifike sehemu tujiambie tu ukweli