SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Wamekusikia mkuu. Ukumbuke utakuwa na wanao Chuoni siku moja.Hakuna kitu walichofanya hao wanafunzi wa udsm ni kichekesho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamekusikia mkuu. Ukumbuke utakuwa na wanao Chuoni siku moja.Hakuna kitu walichofanya hao wanafunzi wa udsm ni kichekesho
Hata kama ni wanangu nitawaambia ukweli ili niwasaidie wafikiri kisasa na sio kizamanWamekusikia mkuu. Ukumbuke utakuwa na wanao Chuoni siku moja.
[emoji23]Wangelitembeza hadi kibaha tuone kama yaliyomo yamo.
Wanazingua sana tatizo hakuna mtu wa kuwaambia ukweliHivi hawaonagi aibu kuitangazia dunia utopolo kama huo!
[emoji1787]Hivi hawaonagi aibu kuitangazia dunia utopolo kama huo!
Specification hajaweka boss.UDSM kitengo cha kozi za degree za Engineering cha COET husajili wanafunzi wenye performance na akili nyingi mno kupata nafasi COET unatakiwa kufaulu hasa hasa hawaangalii tu pass ulipata form six form lazima waangalie pia wanataka mwenye akili consistent sio za hapa na pale na selection zao huonyesha O level ulipata nini na A level ulipata nini na ku rank
Sasa huyo kapost picha tu ya gari kapost kupima akili za watu humu.jamii forums kuwa zimo au hazimo kwa kupost picha tu for discussion
Kama lengo lao lilikuwa kujua wachangia mafa hiyo picha zimo au hazimo zimo au hazimo picha yao na response walizopata humu kwa hiyo picha watakuwa wameelewa tatizo la nchi hii watu IQ ndogo pia inachangia nchi kuwa maskini
Mtu aweza ona kivuko picha yake akasema kinunuliwe bila kupata specifications kikija kinakufa kabla kuanza safari
Comments nyingi humu zime ignore specification na wengine humu utakuta ndio watoa maamuzi kipi kinunuliwe au waelimishaji nk
Inaumiza.kujadili picha badala ya specification binafsi nimeumia
Mungu atusaidie watanzania
You can't say more than this. ThanksSwali muhimu kabisa ni: je wameweza kuunda engine yake from the scratch ??
Nauliza swali hilo kwani gari hasa ni Engine, ukiweza kuunda Engine basi vyote vilivyobakia ni mtelemko tu, kuunda Engine ndio elimu ya ma-engineers.
Hawez weka sababu ni copy and pasteSpecification hajaweka boss.
HUMU WADAU WAO NDIYO WANAJUA KILA KITU MKUUNimesoma comments humu asilimia kubwa nadhani akili hazimo
Mleta mada hajotoa sifa za hiyo gari ikoje
Watu tayari.wameanza kukosoa bila kuwa na specification za gari
Cha kwanza kwa mwenye akili alitakiwa aombe specification zake kwanza ndio ajadili
Asante mleta mada umetusaidia kujua wajinga waliomo humu jamii forums Kwa.kupitia tu hiyo picha ya gari uliyorusha
Sawa, hata hao unaodhani ni "kichekesho" nina uhakika nao walipata ushauri mzuri tu au Ukweli kuhusu hali halisi kutoka kwa Wazazi wao(what makes you special ndugu?)Hata kama ni wanangu nitawaambia ukweli ili niwasaidie wafikiri kisasa na sio kizaman
Kwa misingi ipi hiyo? Wanaotengeneza magari ndio kina nani hao? Wazungu, Wahindi, Wachina, Waafrika au wakina Rioni?Wanaotengeneza magari wakiona watacheka sana