Tazama picha ya gari lililotengenezwa na wanafunzi wa UDSM

Tazama picha ya gari lililotengenezwa na wanafunzi wa UDSM

Umeandika vizuri kabisa ila umeharibu kuchanganya r na l. Ni mteRemko, sio mtelemko. Leo fanya mazoezi ya ra re ri ro ru. Kesho la le li lo lu, rudia wiki nzima utabadilika.
R na L ni ugonjwa wa Watu wengi sana hapa jukwaani. Chukulia kawaida tu 😅😅😅
 
Ni mteremko na sio mtelemko

Angalia hapo na ujifunze👇🏻

Screenshot_20230417-123744.png
 
Alitaka watu wajadili taarifa isiyojulikana kuhusu hiyo gari.
Na watu wameingia kichwa kichwa ndio ujue Jamii Forums sio wote great thinkers wako wengine vichwani hamna kitu
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kweli unaweza kunifundisha kiswahili katika maneno mengine lakini sio kwa hili neno:- " "mteLemko" eti usahihi ni "mteRemko" !!🤤
Aliyeweka hiyo "mtelemko" kwenye google naye yupo km wewe.
Neno sahihi ni "mteremko"
 
Daah kuna shida sana hao wanafunzi na supervisor wao bado wana mawazo ya kijamaaa " BIG MISTAKE". ingekuwa enzi za mwalimu io gari ndo ingekomaliwa watanzania watumie- komba angeimbia hadi nyimbo. Alafu bungeni wabunge uchwala wangetunga sheria hamna magari ya mtumba kuingia bongo ili watanzania wanunue io gari pekee, sababu wangekuambia kulinda kiwanda chetu cha gari.

Sasa kweli kipindi hiki kulivyo na ushindani mkali wa kiutandawazi, mwanafunzi anatengeneza gari yenye body hioo... Watu saa hivi wanapress body cover kwa hydraulic fluid. Hivi hao wanafunzi kuchagua .... Niishie hapa
[emoji38]
 
Aliyeweka hiyo "mtelemko" kwenye google naye yupo km wewe.
Neno sahihi ni "mteremko"


Angalau mimi nimejitahidi kutafuta ukweli kupitia Google na Inaonekana mimi na Google tuaafikiana juu ya hilo neno, sasa wewe umejitahidi kwa lipi ili kuthibitisha kwamba sio "Mtelemko ni Mteremko" i.e Slope in English??!!

Weka muziki/Mziki hapa na sio maneno matupu.🤣🤣
 
Alitaka watu wajadili taarifa isiyojulikana kuhusu hiyo gari.
UDSM kitengo cha kozi za degree za Engineering cha COET husajili wanafunzi wenye performance na akili nyingi mno kupata nafasi COET unatakiwa kufaulu hasa hasa hawaangalii tu pass ulipata form six form lazima waangalie pia wanataka mwenye akili consistent sio za hapa na pale na selection zao huonyesha O level ulipata nini na A level ulipata nini na ku rank
Sasa huyo kapost picha tu ya gari kapost kupima akili za watu humu.jamii forums kuwa zimo au hazimo kwa kupost picha tu for discussion

Kama lengo lao lilikuwa kujua wachangia mafa hiyo picha zimo au hazimo zimo au hazimo picha yao na response walizopata humu kwa hiyo picha watakuwa wameelewa tatizo la nchi hii watu IQ ndogo pia inachangia nchi kuwa maskini

Mtu aweza ona kivuko picha yake akasema kinunuliwe bila kupata specifications kikija kinakufa kabla kuanza safari


Comments nyingi humu zime ignore specification na wengine humu utakuta ndio watoa maamuzi kipi kinunuliwe au waelimishaji nk

Inaumiza.kujadili picha badala ya specification binafsi nimeumia

Mungu atusaidie watanzania
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Hahaha Da Bado Tunayo Safari
Haswa, angalau ni mwanzo mzuri.
Ila tutafika ulimi ukiwa nje mithili ya mbwa.
Ukweli kuhusu mbwa, ni kuwa ni mnyama mwenye akili sana. Ni mwerevu pia. Ulimi kuwa nje ina maana ameridhika. Au ulikuwa unataka kutuaminisha nini mkuu?

Hakuna jipya hapo wala ugunduzi.
Jipya ni.... Vijana wa leo wameonyesha nia nzuri. Wapongezwe na sio kubezwa! Hata wale unaofikiri kuwa ndio wagunduzi, nao pia waliboresha tu 'ugunduzi'
hakuna haja ya kujisifu,
Kwanini tusijisifie, Mkuu unakitu unachojisifia kweli?
Nadhani kama nchi tungewekeza zaidi kwenye vijana wa IT, kilimo na ufugaji.
Kwanini iwe hivyo? Kwanini isiwe kwenye Engineering ya hivyo vitu badala ya kuwa Makarani, madereva, na walinzi wa wanyama?

Hilo gari hata kama linaweza tembea HALINUNULIKI.
Unafikiri kwa sababu gani Mamasamia2025?
bado sana!!
Wape moyo!
bado wana mawazo ya kijamaaa
Hapo Ujamaa umeingiaje? Duh

enzi za mwalimu io gari ndo ingekomaliwa watanzania watumie
Taja hata gari moja lilokomaliwa enzi za mwalimu! Sidhani unalijua gari lelote lililotengenezwa enzi "io" na likakomaliwa! Unabisha?
 
Haswa, angalau ni mwanzo mzuri.

Ukweli kuhusu mbwa, ni kuwa ni mnyama mwenye akili sana. Ni mwerevu pia. Ulimi kuwa nje ina maana ameridhika. Au ulikuwa unataka kutuaminisha nini mkuu?


Jipya ni.... Vijana wa leo wameonyesha nia nzuri. Wapongezwe na sio kubezwa! Hata wale unaofikiri kuwa ndio wagunduzi, nao pia waliboresha tu 'ugunduzi'

Kwanini tusijisifie, Mkuu unakitu unachojisifia kweli?

Kwanini iwe hivyo? Kwanini isiwe kwenye Engineering ya hivyo vitu badala ya kuwa Makarani, madereva, na walinzi wa wanyama?


Unafikiri kwa sababu gani Mamasamia2025?

Wape moyo!

Hapo Ujamaa umeingiaje? Duh


Taja hata gari moja lilokomaliwa enzi za mwalimu! Sidhani unalijua gari lelote lililotengenezwa enzi "io" na likakomaliwa! Unabisha?
Kwa sasa watu hawaanzii nyuma, wanaanzia wenzao walipofika kwenda mbele. Hilo gari linafanana na 1930s na baada ya hapo ni store. Yule jamaa ambaye hakuwa kasoma miaka kadhaa zi alitengeneza gari likaonyeshwa analipiga misele hadi likawa maonyesho ya sabasaba.
Ni dunia ya mashindano lazima ulete vitu vyenye ushindani.
 
UDSM kitengo cha kozi za degree za Engineering cha COET husajili wanafunzi wenye performance na akili nyingi mno kupata nafasi COET unatakiwa kufaulu hasa hasa hawaangalii tu pass ulipata form six form lazima waangalie pia wanataka mwenye akili consistent sio za hapa na pale na selection zao huonyesha O level ulipata nini na A level ulipata nini na ku rank
Sasa huyo kapost picha tu ya gari kapost kupima akili za watu humu.jamii forums kuwa zimo au hazimo kwa kupost picha tu for discussion

Kama lengo lao lilikuwa kujua wachangia mafa hiyo picha zimo au hazimo zimo au hazimo picha yao na response walizopata humu kwa hiyo picha watakuwa wameelewa tatizo la nchi hii watu IQ ndogo pia inachangia nchi kuwa maskini

Mtu aweza ona kivuko picha yake akasema kinunuliwe bila kupata specifications kikija kinakufa kabla kuanza safari


Comments nyingi humu zime ignore specification na wengine humu utakuta ndio watoa maamuzi kipi kinunuliwe au waelimishaji nk

Inaumiza.kujadili picha badala ya specification binafsi nimeumia

Mungu atusaidie watanzania
Mkuu, naungana na wewe hapa kwa mtazamo huo.

Inasikitisha. Ila naelewa wapo wengi humu jamvini sikuhizi ambao hata Tanzania hawajawi kukanyaga. Isistoshe, mihemeko mingi ni ya U'kimbari.

Aluta Continua
 
UDSM kitengo cha kozi za degree za Engineering cha COET husajili wanafunzi wenye performance na akili nyingi mno kupata nafasi COET unatakiwa kufaulu hasa hasa hawaangalii tu pass ulipata form six form lazima waangalie pia wanataka mwenye akili consistent sio za hapa na pale na selection zao huonyesha O level ulipata nini na A level ulipata nini na ku rank
Sasa huyo kapost picha tu ya gari kapost kupima akili za watu humu.jamii forums kuwa zimo au hazimo kwa kupost picha tu for discussion

Kama lengo lao lilikuwa kujua wachangia mafa hiyo picha zimo au hazimo zimo au hazimo picha yao na response walizopata humu kwa hiyo picha watakuwa wameelewa tatizo la nchi hii watu IQ ndogo pia inachangia nchi kuwa maskini

Mtu aweza ona kivuko picha yake akasema kinunuliwe bila kupata specifications kikija kinakufa kabla kuanza safari


Comments nyingi humu zime ignore specification na wengine humu utakuta ndio watoa maamuzi kipi kinunuliwe au waelimishaji nk

Inaumiza.kujadili picha badala ya specification binafsi nimeumia

Mungu atusaidie watanzania


Mkuu Yehodaya, Inaonekana hujui usemacho na Mungu atakusamehe kwa hilo.

Ni hivi; Watanzania kuunda gari ni jambo kubwa na la kushangaza katika zama hizi, nchi kama Ghana na Nigeria au SA wao kuunda gari sio kitu cha ajabu kwani wamekuwa wakiunda kwa miaka sasa na tayari magari yao yapo sokoni huko kwao, sasa kwa wao linapotengenezwa gari jipya (new model) hapo ndipo mambo ya SPECIFICATIONS ya hilo toleo jipya ni muhimu ili kulinganisha na matoleo ya nyuma, Sisi ni tofauti mtu ahitaji Specifications kwanza kwa gari moja lililotengenezwa na Wanafunzi kama njia ya kujifundishia na kupima ujuzi wao (practical training), ni kitu kilichopo kwenye preliminary level, level ya "Ugunduzi" na ndio maana maoni mengi kuhusu hilo gari yamejikita katika upande huo na sio upande wa specifications, hilo gari haliko Sokoni kiasi kwamba mtu ahitaji specifications kwa ajili ya kununua.
Nadhani unapaswa kuangalia kitu hicho in that line of thinking.
 
Kwa sasa watu hawaanzii nyuma, wanaanzia wenzao walipofika kwenda mbele.
Kikubwa kinachoonekana ni kuwa wameunda gari. Kwani sehemu dunia ilipofika katika utengenezaji wa magari vitu vinaunganishwa tu.
Hilo gari linafanana na 1930s na baada ya hapo ni store.
Sawa, Ila wameunda gari, kwa sasa hao jamaa hata wakitaka kazi Rolls Royce wanapata kazi.
Yule jamaa ambaye hakuwa kasoma miaka kadhaa zi alitengeneza gari likaonyeshwa analipiga misele hadi likawa maonyesho ya sabasaba.
Kudos zake.
Ni dunia ya mashindano lazima ulete vitu vyenye ushindani.
Sehemu tuliyofikia ya Udikteta za mabepari, tunabidi tuwe wakorofi kufanya hivyo.....hata majibu/comments zinazoonekana zimelala upande wa kumezeshwa na itikadi za Ubepari au niseme Ubepari wa kibeberu....hawataki tushindane. Mfano mzuri kwa leo ni ile ndege ya china ya C919 sasa baada ya kuleta ushindani wao, Wamarekani wanataka washindane kortini tena. Huo ni Udikteta na ukandamizaji
 
Kikubwa kinachoonekana ni kuwa wameunda gari. Kwani sehemu dunia ilipofika katika utengenezaji wa magari vitu vinaunganishwa tu.

Sawa, Ila wameunda gari, kwa sasa hao jamaa hata wakitaka kazi Rolls Royce wanapata kazi.

Kudos zake.

Sehemu tuliyofikia ya Udikteta za mabepari, tunabidi tuwe wakorofi kufanya hivyo.....hata majibu/comments zinazoonekana zimelala upande wa kumezeshwa na itikadi za Ubepari au niseme Ubepari wa kibeberu....hawataki tushindane. Mfano mzuri kwa leo ni ile ndege ya china ya C919 sasa baada ya kuleta ushindani wao, Wamarekani wanataka washindane kortini tena. Huo ni Udikteta na ukandamizaji
Hakuna kitu walichofanya hao wanafunzi wa udsm ni kichekesho
 
Back
Top Bottom