Tazama picha ya gari lililotengenezwa na wanafunzi wa UDSM

Tazama picha ya gari lililotengenezwa na wanafunzi wa UDSM

Wewe ndiye mjinga, kwani specification ya gari ndio inahusikanaje na Workmanship yake ??

Wengi hapa tumejadili Workmanship and designing (the art of manufacturing ya hilo gari) ambacho ndicho kitu cha msingi sana kuliko hizo Specifications zako.

Hata hiyo gari iwe na uwezo wa kubeba tani 2000, sisi tunataka kujua, je ni purely designed and manufactured by our Engineers au sio cloning??
Alitaka watu wajadili taarifa isiyojulikana kuhusu hiyo gari.
 
Samaleko!

Hii ni picha ya gari lililotegenezwa na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha UDSM. Vipi maoni yako kuhusu huu ubunifu tutawafikia Wachina, Wajapani na German huko mbeleni au tuendelee na huu ubunifu uliojaa utundu.

Naona wengi wanakebehi lakini naomba nitumie tu neno Moja tu kuwa ni WAJUHA Kwa kuwa hawajui nguvu ya TRIAL and ERROR kwenye creative.VIVA UDSM
 
Nimesoma comments humu asilimia kubwa nadhani akili hazimo

Mleta mada hajotoa sifa za hiyo gari ikoje

Watu tayari.wameanza kukosoa bila kuwa na specification za gari

Cha kwanza kwa mwenye akili alitakiwa aombe specification zake kwanza ndio ajadili

Asante mleta mada umetusaidia kujua wajinga waliomo humu jamii forums Kwa.kupitia tu hiyo picha ya gari uliyorusha
Body inajionyesha nani apoteze mda kuomba specification , utashangaa kwa utopolo huo wanaomba ruzuku serikalini watu wanagawana af wanachikichia
 
Wewe ndiye mjinga, kwani specification ya gari ndio inahusikanaje na Workmanship yake ??

Wengi hapa tumejadili Workmanship and designing (the art of manufacturing ya hilo gari) ambacho ndicho kitu cha msingi sana kuliko hizo Specifications zako.

Hata hiyo gari iwe na uwezo wa kubeba tani 2000, sisi tunataka kujua, je ni purely designed and manufactured by our Engineers au sio cloning??
Specifications muhimu design ya nje sio kitu cha maana ni kipengele cha mwisho

Magari ya Umeme ya Tesla yana design nzuri lakini wanunuzi wachache

Hununui design
 
Mzee Kapalata wa sido vingunguti kaanza kutengeneza gari kama hili miaka kumi iliyopita.

Saba saba lilikuwa kinakuwepo kwenye maonesho na sido lipo.

Huyo mzee kapalata hata elimu ya shule ya msingi hajawai kusoma. Ila ametengeneza gari kama hilo kitambo sana.

Udsm wanafanya leo huku watu ambao hawajaenda shule wamefanya miaka 10 iliyopita.

Na inawezekana gari la mzee kapalata kawauzia hao wanafunzi wa udsm ili nao wauze sura
Kutokusoma ni ujinga wake Kwani hakupelekwa shule

Baada ya miaka 10 tueleze alipofikia
 
Sio kufanya gari liende ndio mziki!!, gari linaweza kwenda tu kwani mtu anaweza kununua Engine, akatafuta Gear box na diff na akaviunganisha kwenye Work shop na kisha akatengeneza chassis na akanunua hubs, axles na vitu vingine na hatimaye akaunda body na gari ikawaka na kutembea, hiyo ni kazi rahisi sana kwa Mechanical/motor vehicle engineers, Jambo kubwa ambalo linahitaji sifa kwa Enginers wetu ni kujiuliza; Je hiyo Engine ya hilo gari wameibuni na kuitengeneza wao from the scratch??, kubuni na kutengeneza Engine ndio jambo kubwa sana la kujivunia katika Mechanical/motor vehicle Enginering, hata kama sio kubuni (designing) basi hata kuiunda (manufacturing) engine ambayo ni designed na mainjinia wengine hiyo bado itakuwa ni credit kwa hao jamaa.

Kumbuka sio jambo la chance "Engineer" akaitwa hivyo ni kwasababu ya UMUHIMU wa kitu kinachoitwa "ENGINE", Engine==Engineer.

Umesema kweli
Kwa hiyo hata Mimi naweza unda Gari kazi yangu ni kupachika vifaa tuu sio?😀😀
 
Specifications muhimu design ya nje sio kitu cha maana ni.kipengele cha mwusho

Magari ya Umeme ya Tesla yana design nzuri lakini wanunuzi wachache

Hununui design


The Subject matter which stole the show is; "Wanafunzi wa UDSM watengeneza gari" basi, na sisi tumejadili hapo tu,hayo mengine ya specificans, bei, spidi, inabeba watu wangapi, bei yake, Hp ya Engine etc, come next.
 
Naona wengi wanakebehi lakini naomba nitumie tu neno Moja tu kuwa ni WAJUHA Kwa kuwa hawajui nguvu ya TRIAL and ERROR kwenye creative.VIVA UDSM
Nguvu ya trial and error ina variables kama time and demand. Ugunduzi ndo una trial and error, huwezi sema utapoteza muda kwenye trial and error katika uzalishaji ambao wengine wanaufanya kwa usahihi na teknolojia ya juu.

Ndo maana watu wanaunda mpaka helkopta ila serikali haisumbuki nao sana sababu inajua iwapo nchi itataka kuunda helkopta sio suala la trial and error tena, ni suala la elimu ya kuiunda kutoka kwa waliofanya trial and error miaka mingi nyuma na sasa wanaunda helkopta za kisasa.
images (30).jpeg
 
Kama tunataka kuunda magari hatua ya kwanza ni kuifahamu teknolojia ya sasa ya uundaji magari na kuwekeza huko. Hii ya kuanzia mwanzo kama vile dunia ndo inagundua magari ni kupoteza muda.
Ni sawa na kurudi zama za ujima
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Umesema kweli
Kwa hiyo hata Mimi naweza unda Gari kazi yangu ni kupachika vifaa tuu sio?😀😀


Kabisa, tena hiyo inaitwa Cloning technology, inafanyika sana kwenye uundaji wa Kompyuta, mtu anaokoteza vifaa mbalimbali vya kompyuta kutoka huko na huko kisha anaunda Kompyuta na inafanya kazi na hata anaweza kuziuza.
 
The Subject matter which stole the show is; "Wanafunzi wa UDSM watengeneza gari" basi, na sisi tumejadili hapo tu,hayo mengine ya specificans, bei, spidi, inabeba watu wangapi, bei yake, Hp ya Engine etc, come next.
Labda mtu uwe hukusoma au hata kama ulisoma hukuelewa ulichosoma

Kanuni za discussion au debate ili kujenga hoja vizuri ungetaka specifications kwanza

Lakini kulipuka tu ni ulayman ni kujadili.tu kama mtu wa mtaani ambaye hajawahi kanyaga hata darasa moja

Uzuri mleta mada anaonyesha ana akili nyingi sana katupia picha tu aone huko nje jamii ina uelewa wa kiwango gani

Kwa waliosoma saikolojia hiyo picha na response za watu humu ni kipimo tosha Cha IQ test ya waliojadili hiyo picha kujua zimo au hazimo
 
Daah kuna shida sana hao wanafunzi na supervisor wao bado wana mawazo ya kijamaaa " BIG MISTAKE". ingekuwa enzi za mwalimu io gari ndo ingekomaliwa watanzania watumie- komba angeimbia hadi nyimbo. Alafu bungeni wabunge uchwala wangetunga sheria hamna magari ya mtumba kuingia bongo ili watanzania wanunue io gari pekee, sababu wangekuambia kulinda kiwanda chetu cha gari.

Sasa kweli kipindi hiki kulivyo na ushindani mkali wa kiutandawazi, mwanafunzi anatengeneza gari yenye body hioo... Watu saa hivi wanapress body cover kwa hydraulic fluid. Hivi hao wanafunzi kuchagua .... Niishie hapa
Sehemu tunayotaka kupita wenzetu walishapita miaka 100 iliyopita ni ngumu sana mambo tunayofanya yanatia aibu sana
 
Back
Top Bottom