Ni aibu Sana tunashindwa hata kuunda mabody tu ya mabus, daladala na kuingia gharama kubwa Sana kununua daladala japan na mabus toka China.
Hatuna wabunifu wa kuunda mabody nchini.
Wenzetu Asia ya Kati na chini wanaunda mabus yao quality tena chini ya muembe
Hatuna wabunifu wa kuunda mabody nchini.
Wenzetu Asia ya Kati na chini wanaunda mabus yao quality tena chini ya muembe