Tazama picha ya gari lililotengenezwa na wanafunzi wa UDSM

Tazama picha ya gari lililotengenezwa na wanafunzi wa UDSM

Samaleko!

Hii ni picha ya gari lililotegenezwa na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha UDSM. Vipi maoni yako kuhusu huu ubunifu tutawafikia Wachina, Wajapani na German huko mbeleni au tuendelee na huu ubunifu uliojaa utundu.

View attachment 2590712View attachment 2590729
Wamejitahidi Sana,tusiwakatishe tamaa.

Kikubwa wawekeze katika finishing. Wachina hapo ndipo walipofanikiwa kututeka. Bidhaa feki Ila zinavutia machoni.
 
Wajikite kutengeza engine yao.. mambo huwa mdogo mdogo.. sio kununua engine huko.. hizo hata vijana waliosoma darsa sifuri wanaweza kufanya tena zaidi ya hicho kidude
Wamejitahidi Sana,tusiwakatishe tamaa.

Kikubwa wawekeze katika finishing. Wachina hapo ndipo walipofanikiwa kututeka. Bidhaa feki Ila zinavutia machoni.
 
Tatizo sio kuunda bodi la Gari.
Tatizo ni kulifanya Gari liende hapo ndio muziki munene


Sio kufanya gari liende ndio mziki!!, gari linaweza kwenda tu kwani mtu anaweza kununua Engine, akatafuta Gear box na diff na akaviunganisha kwenye Work shop na kisha akatengeneza chassis na akanunua hubs, axles na vitu vingine na hatimaye akaunda body na gari ikawaka na kutembea, hiyo ni kazi rahisi sana kwa Mechanical/motor vehicle engineers, Jambo kubwa ambalo linahitaji sifa kwa Enginers wetu ni kujiuliza; Je hiyo Engine ya hilo gari wameibuni na kuitengeneza wao from the scratch??, kubuni na kutengeneza Engine ndio jambo kubwa sana la kujivunia katika Mechanical/motor vehicle Enginering, hata kama sio kubuni (designing) basi hata kuiunda (manufacturing) engine ambayo ni designed na mainjinia wengine hiyo bado itakuwa ni credit kwa hao jamaa.

Kumbuka sio jambo la chance "Engineer" akaitwa hivyo ni kwasababu ya UMUHIMU wa kitu kinachoitwa "ENGINE", Engine==Engineer.
 
Thubutui!!! Viti tu venyewe inaonekana ni vya toyota, yaani hata fundi cherehani tu bado imeshindikana kundesign seats from scratch
Taa za parking na indicator kama ni za land rover, bado sana!!


Walichofanya ni Cloning. hata hivyo sio haba, bado ni hatua moja kwenda mbele tuwatie moyo.
 
Walichofanya ni Cloning. hata hivyo sio haba, bado ni hatua moja kwenda mbele tuwatie moyo.
Binafsi naona ni haba. Kama tunataka kuunda magari wapelekwe huko kwenye hivyo viwanda ambapo Toyota, Suzuki wanaunda magari yao na serikali ifanye huo uwekezaji hapa hata kama ni kwa kiwango kidogo.
 
Binafsi naona ni haba. Kama tunataka kuunda magari wapelekwe huko kwenye hivyo viwanda ambapo Toyota, Suzuki wanaunda magari yao na serikali ifanye huo uwekezaji hapa hata kama ni kwa kiwango kidogo.


Loo mkuu, hivyo viwanda ni technologically advanced kiasi kwamba sio rahisi mtu aende kujifunza huko na apate matokeo mazuri, labda waende kujifunza Nigeria au Ghana ambao nao wamepiga hatua katika kuunda magari locally kwa muda sasa wao nadhani technology zao sio advanced sana kama huko Ulaya na Japan.
 
Tatizo sio kuunda gari, tatizo hizo components zilizotumika kuunda hiyo gari (engine, gear box, propeller shaft, diff, excels, steering system, braking system, etc), je, ni design yao? Wakiweza hivyo, safari yao imefika mahala pazuri, hayo mambo ya mabodi ni madogo sana.
 
Back
Top Bottom