Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umezoea story za sugu na mkewe mara Mbowe na mkewe wanaachana unaona kawaida huwezi kuwa na akili za kuona ndoa ni jambo la msingiKweli ulevi haufai popote pale duniani.
Tazameni mkuu wa mkoa anawalazimisha wananchi wenye ndoa wasiachane .
Hivi huu ulevi ameutoa wapi au kwa sheria ipi anayotumia kuingilia ndoa za watu?
Hakika nchi hii ni ngumu sana kuishi bila kucheka.View attachment 2624573
Tofautisha kushauri na kulazimishaWewe umezoea story za sugu na mkewe mara Mbowe na mkewe wanaachana unaona kawaida huwezi kuwa na akili za kuona ndoa ni jambo la msingi
Watu wengi wangekuwa hawashauriwi kukaa pamoja na kuombana misamaha ndoa nyingi zisingekuwepo
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda yalimkuta ndio maanaUmeonaeeeeeee?
Na kweli MkuuUkifuatilia wengi wao hao wakubwa hawana ndoa
Sasa wewe walazimishe waachane! Mpuuzi mmojaKweli ulevi haufai popote pale duniani.
Tazameni mkuu wa mkoa anawalazimisha wananchi wenye ndoa wasiachane .
Hivi huu ulevi ameutoa wapi au kwa sheria ipi anayotumia kuingilia ndoa za watu?
Hakika nchi hii ni ngumu sana kuishi bila kucheka.View attachment 2624573
Ndg. Mbona hupoagi?Wewe umezoea story za sugu na mkewe mara Mbowe na mkewe wanaachana unaona kawaida huwezi kuwa na akili za kuona ndoa ni jambo la msingi
Watu wengi wangekuwa hawashauriwi kukaa pamoja na kuombana misamaha ndoa nyingi zisingekuwepo
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wewe watu wakiachana unapata faida gani!Kweli ulevi haufai popote pale duniani.
Tazameni Mkuu wa Mkoa anawalazimisha wananchi wenye ndoa wasiachane.
Hivi huu ulevi ameutoa wapi au kwa sheria ipi anayotumia kuingilia ndoa za watu?
Hakika nchi hii ni ngumu sana kuishi bila kucheka.
View attachment 2624573
Ndoa ni msingi wa familia na uendelevu wa maisha Duniani!Inasikitisha sana na sijui kama kabla ya kutoa hayo matamko huwa wanajiuliza kwanza mapokeo yake?