TB Joshua hakuwahi kubatizwa wala kumpokea Yesu! Nimeshangaa sana

TB Joshua hakuwahi kubatizwa wala kumpokea Yesu! Nimeshangaa sana

Nimekuwa nikifuatilia kifo cha gwiji huyu wa gospo tangu kilipotokea.

Jana nilishangaa hoja ambazo Jumuia ya makanisa ya kikristo ya Nigeria na Jumuia ya makanisa ya kipentekoste kumkataa kabisa TB Joshua kama Mkristo mwenzao.

Alipoulizwa sababu ya kumkataa, mwenyekiti mmoja wa jumuia hiyo aliwahi kusema.

TB hajawahi kubatizwa, au kuonyesha alimpokea Yesu lini na wapi na kwa pastor yupi. Hawakubaliani na agenda yake kuwa yeye Yesu alimalizana naye tangu akiwa tumboni mwa mama yake mimba ambayo ilikaa miezi 15.

Kwa kanuni za kikristo na Kibiblia mtu akiwa na akili timamu ndio anatakiwa amchague Yesu sio tumboni. Lakini pia kwa wengine akiwa mtoto hubatizwa. Lkn sio tumboni na angalau aonyeshe ushahidi wao hawatapata shida kabisa.

Huyu ndiye Gwiji wa injili aliyekuza sekta ya utalii nigeria kwa njia ya injili. Kuna mwaka ulifika ndege ikitua na wazungu 10 nigeria zaidi ya sita wote walikuwa wanaenda SCOAN kulamba upako.
Mimi siamini kama ubatizo wa maji ndio wokovu kwani ingekuwa hivyo wote walio batizwa wangeokoka ref. Yuda iskariote ni mmoja wao waliobatizwa.
Ubatizi wa maji ni dhamira safi kwa watu kwamba umemwamini Kristo ila sii uthibitisho maana Kristo mwenyewe ndie humpa/batiza mwaminiyo kama uthibitisho wa kuikubali imani yake.
Wala hili la kuongoza mtu sala ya toba kwa kumkaririsha kurudia kile unachomwambia sii la kimaandiko. Hakuna mahali mitume wala wanafunzi wa Yesu mwanzoni walipowahi kufanya hivyo zaidi ya kwamba walilihubiri neno na wale waliolisikia wakaliamini walibatizwa.

Sent from my Infinix X622 using JamiiForums mobile app
 
HUna mpya wewe tumeshakudharau na kukupuuza humu. Tunajua u mganga na umejificha kwenye logic na rhyotorics zako. Unatupotosha.
Zimekusumbua kiasi umejaribu kuzipinga bila kuonesha makosa yake.

Zako zimekufa zaidi.
 
Mwizi Msalabani hakubatizwa kwa sababu hakupewa nafasi au muda wa kuishi.Na hii hutokea kwa watu ambao muda mfupi ameongozwa sala ya Toba harafu akafa! Mtu wa jinsi hiyo Toba yake inatosha kumwokoa.
Lakini akipewa nafasi ya kuishi ni LAZIMA kubatizwa ili kukamilisha Wokovu baada ya Toba kama Kristo alivyoagiza,
Marko16:15-17,Matendo 2:38
Kama TB alikataa kubatizwa kwa Maji tele kwa visingizio vyake,huyo hesabu alikuwa akipita Njia pana na Mlango Mpana,(Mathayo7:13-14)
Kama alienda na sababu zake huenda alipewa Majibu kama haya,
(Mathayo7:22-23)
Mmesema Vyema; Hoja ya kubatizwa msingi wake ni ishara ya kuzika utu wa kale (Wa dhambi) na kuvaa Utu upya!

Na hapo ndipo hoja ya Yohana inanzia, kwamba yeye ubatizo wake huashiria toba (machoni pa watu) si rohoni, lakini kwa Yesu Kristo ni zaidi!

Tendo hili huanza ndani (rohoni) kisha nje kama ushuhuda, ndio maana JC unasema si tendo la wokovu!

Nataka kumanisha pia, Ubatizo ni Muhim sababu ni ishara ya kukubali mauti ya Kristo/kufa na kufufuka kutoka dhambini lakini si tendo la wokovu/kuokolewa.





Sawa kabisa. Ila kumbuka huyo mwizi alikufa palepale hakuwahi kutumika au kumtumikia Mungu. Ubatizo wa maji ni takwa kuu la utumishi na sio wokovu. Kama mtumishi lazima ubatizwe tena ubatizo wa maji mengi mtoni kama Kristo Yesu. Sauti haikutoka mbinguni mpaka alipozamishwa na kuibuka ndio mbingu zikasema "huyu ni mwanangu mpendwa niliyependezwa naye".
 
HUna mpya wewe tumeshakudharau na kukupuuza humu. Tunajua u mganga na umejificha kwenye logic na rhyotorics zako. Unatupotosha.
Umenidharau na kunipuuza wakati huwezi hata kujizuia usinijibu?

Sina mpya wakati zangu za zamani umeshindwa kuzijibu, mpya nikupe za nini wakati za zamani huziwezi?
 
Nimekuwa nikifuatilia kifo cha gwiji huyu wa gospo tangu kilipotokea.

Jana nilishangaa hoja ambazo Jumuia ya makanisa ya kikristo ya Nigeria na Jumuia ya makanisa ya kipentekoste kumkataa kabisa TB Joshua kama Mkristo mwenzao.

Alipoulizwa sababu ya kumkataa, mwenyekiti mmoja wa jumuia hiyo aliwahi kusema.

TB hajawahi kubatizwa, au kuonyesha alimpokea Yesu lini na wapi na kwa pastor yupi. Hawakubaliani na agenda yake kuwa yeye Yesu alimalizana naye tangu akiwa tumboni mwa mama yake mimba ambayo ilikaa miezi 15.

Kwa kanuni za kikristo na Kibiblia mtu akiwa na akili timamu ndio anatakiwa amchague Yesu sio tumboni. Lakini pia kwa wengine akiwa mtoto hubatizwa. Lkn sio tumboni na angalau aonyeshe ushahidi wao hawatapata shida kabisa.

Huyu ndiye Gwiji wa injili aliyekuza sekta ya utalii nigeria kwa njia ya injili. Kuna mwaka ulifika ndege ikitua na wazungu 10 nigeria zaidi ya sita wote walikuwa wanaenda SCOAN kulamba upako.
Natumai mkuu hukushangaa maneno ya Mwenyekiti.

Maandishi yaliyopo kwenye Biblia yanatanabaisha kwamba mafarisayo (PhD holders wa Old Testament) hawakumkubali Yesu. Sababu ni zile zile za kumpinga TB Joshua kwamba hakuwa na Baba mlezi wa kiroho aliyemtambulisha kiimani.

Tukibaki kwenye suala la Imani, wakongwe wa Imani (mafarisayo) wanapenda kuona yeyote anayeimba Bible mlezi wake wa Imani anajulikana. Kinyume chake lazima wampe jina baya ikiwezekana watamsulubisha.

Ikitokea Leo hii mkuu umepata nuru ya Mungu, "mafarisayo" watakupinga sanaaa
 
Natumai mkuu hukushangaa maneno ya Mwenyekiti.

Maandishi yaliyopo kwenye Biblia yanatanabaisha kwamba mafarisayo (PhD holders wa Old Testament) hawakumkubali Yesu. Sababu ni zile zile za kumpinga TB Joshua kwamba hakuwa na Baba mlezi wa kiroho aliyemtambulisha kiimani.

Tukibaki kwenye suala la Imani, wakongwe wa Imani (mafarisayo) wanapenda kuona yeyote anayeimba Bible mlezi wake wa Imani anajulikana. Kinyume chake lazima wampe jina baya ikiwezekana watamsulubisha.

Ikitokea Leo hii mkuu umepata nuru ya Mungu, "mafarisayo" watakupinga sanaaa
LAKIni mkuu hoja za mafarisayo kama zina mashiko kwa mbaali.

Hata Yesu bin Mariam alisema tuyafuate maneno ya mafarisayo ila tusienende ktk matendo yao
 
Ukipata muda naomba umchunguze na baba askofu Gwajima Kama amempokea yesu na kubatizwa ili nijue sadaka yangu jumapil naipeleka kwake au nitombeee tu

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Nimekuwa nikifuatilia kifo cha gwiji huyu wa gospo tangu kilipotokea.

Jana nilishangaa hoja ambazo Jumuia ya makanisa ya kikristo ya Nigeria na Jumuia ya makanisa ya kipentekoste kumkataa kabisa TB Joshua kama Mkristo mwenzao.

Alipoulizwa sababu ya kumkataa, mwenyekiti mmoja wa jumuia hiyo aliwahi kusema.

TB hajawahi kubatizwa, au kuonyesha alimpokea Yesu lini na wapi na kwa pastor yupi. Hawakubaliani na agenda yake kuwa yeye Yesu alimalizana naye tangu akiwa tumboni mwa mama yake mimba ambayo ilikaa miezi 15.

Kwa kanuni za kikristo na Kibiblia mtu akiwa na akili timamu ndio anatakiwa amchague Yesu sio tumboni. Lakini pia kwa wengine akiwa mtoto hubatizwa. Lkn sio tumboni na angalau aonyeshe ushahidi wao hawatapata shida kabisa.

Huyu ndiye Gwiji wa injili aliyekuza sekta ya utalii nigeria kwa njia ya injili. Kuna mwaka ulifika ndege ikitua na wazungu 10 nigeria zaidi ya sita wote walikuwa wanaenda SCOAN kulamba upako.
Mkristo yeyote asiyekubali ubatizo lazima uwe na mashaka naye.
Ubatizo ni kiapo
 
Hizi dini uongo mtupu mwanzo mwisho.

Hakuna hata mmoja anayeweza kuthibitisha huyo Mungu yupo.
Wejamaa wewe iko siku jibu litapatikana humu jf, jiandae na ugonjwa wa sonona.
 
Wejamaa wewe iko siku jibu litapatikana humu jf, jiandae na ugonjwa wa sonona.
Siku gani, hebu taja tarehe turudi hapa kuhakiki.

Unaelewa hata kuwepo kwa ugonjwa unaousema kunathibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo?
 
Nimekuwa nikifuatilia kifo cha gwiji huyu wa gospo tangu kilipotokea.

Jana nilishangaa hoja ambazo Jumuia ya makanisa ya kikristo ya Nigeria na Jumuia ya makanisa ya kipentekoste kumkataa kabisa TB Joshua kama Mkristo mwenzao.

Alipoulizwa sababu ya kumkataa, mwenyekiti mmoja wa jumuia hiyo aliwahi kusema.

TB hajawahi kubatizwa, au kuonyesha alimpokea Yesu lini na wapi na kwa pastor yupi. Hawakubaliani na agenda yake kuwa yeye Yesu alimalizana naye tangu akiwa tumboni mwa mama yake mimba ambayo ilikaa miezi 15.

Kwa kanuni za kikristo na Kibiblia mtu akiwa na akili timamu ndio anatakiwa amchague Yesu sio tumboni. Lakini pia kwa wengine akiwa mtoto hubatizwa. Lkn sio tumboni na angalau aonyeshe ushahidi wao hawatapata shida kabisa.

Huyu ndiye Gwiji wa injili aliyekuza sekta ya utalii nigeria kwa njia ya injili. Kuna mwaka ulifika ndege ikitua na wazungu 10 nigeria zaidi ya sita wote walikuwa wanaenda SCOAN kulamba upako.
Maneno ya kuambiwa 😂😂
 
Nimekuwa nikifuatilia kifo cha gwiji huyu wa gospo tangu kilipotokea.

Jana nilishangaa hoja ambazo Jumuia ya makanisa ya kikristo ya Nigeria na Jumuia ya makanisa ya kipentekoste kumkataa kabisa TB Joshua kama Mkristo mwenzao.

Alipoulizwa sababu ya kumkataa, mwenyekiti mmoja wa jumuia hiyo aliwahi kusema.

TB hajawahi kubatizwa, au kuonyesha alimpokea Yesu lini na wapi na kwa pastor yupi. Hawakubaliani na agenda yake kuwa yeye Yesu alimalizana naye tangu akiwa tumboni mwa mama yake mimba ambayo ilikaa miezi 15.

Kwa kanuni za kikristo na Kibiblia mtu akiwa na akili timamu ndio anatakiwa amchague Yesu sio tumboni. Lakini pia kwa wengine akiwa mtoto hubatizwa. Lkn sio tumboni na angalau aonyeshe ushahidi wao hawatapata shida kabisa.

Huyu ndiye Gwiji wa injili aliyekuza sekta ya utalii nigeria kwa njia ya injili. Kuna mwaka ulifika ndege ikitua na wazungu 10 nigeria zaidi ya sita wote walikuwa wanaenda SCOAN kulamba upako.
Ni kweli. Wamefanya vizuri kumkataa. Hakuwa mkristo bali tapeli aliyetumia ukristo kama bidhaa ya kutengezea utajri tokana na ujinga wa waafrika wengi wanaondelea kuamini kwenye miujiza badala ya kutumia akili kutatua akili zao.
 
Back
Top Bottom