Si vyote visivyoweza kuthibitisha havipo.
Lakini wewe unajuaje hiki hakiwezi kuthibitishwa kwa sababu hakipo na hiki hakiwezi kuthibitishwa lakini kipo?
Mathalani, unajuaje Mungu yupo, hawezi kuthibitishwa tu?
Umeshawahi kufikiri kwamba pengine Mungu hawezi kuthibitishwa kwa sababu hayupo, ni hadithi za kutungwa na watu tu?
Siyo tu Mungu huyu hawezi kuthibitishwa kuwepo, bali pia uwepo wake unakuwa contradicted na hali halisi kwa namna ambayo inaonesha hayupo.
Unaambiwa Mungu ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.
Aliweza kuumba dunia isiyo na kifo, mabaya, magonjwa, etc.
Lakini hakuumba hiyo, akaumba hii ya ma pandemic na matetemekonya ardhi na ma tsunami.
Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote awe mkatili hivyo kwa viumbe wake?