makedonia
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 4,171
- 3,461
HONGERA MASUD MASUD kwa kurejea TBC......sasa tunaburudika na kupata historia ya muziki
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kuna tatizo?Mnapata wapi ujasiri wa kutazama TBC?
Naogopa hasara ya kupasua tv yangu mwenyewe.Kwani kuna tatizo?
Sasa mbona mnashindwa kuwa na vipindi vye kuelimisha umma vizuri kama wenzenu Star tv? Angalia kipindi kama Tuongee asubuhi ,jarida maridhawa na vingine vingi tu.
Kwani kuna tatizo?
TBC bado ubunifu wenu uko chini. Mnazidiwa na Azam TV ya juzi tu ? Hivi hamwoni wenzenu kama SABC, ABC na hata BBC ? Mnashindwa hata kujifunza kutoka kwao ?Kumekuwepo na malalamiko mengi kutoka kwa wananchi na hata hapa JF kuhusiana na changamoto ya vipindi vya Televisheni ya Taifa (TBC1). Malalamiko hayo yameegemea zaidi katika eneo la ubora wa picha na ubunifu wa vipindi.
Kweli . . . ile art ya uandishi wa habari bado hatuioniwatangazaji hawana swagga wanavaa utafikiri nini sjui... ovyo kabisa
sureinakera sana hasa kuonyesha mambo ya ccm muda wote, yani mtabaki mnaangalia wenyewe
kweli kabisaTBC hata mkipewa CNN muiendeshe ndani ya wiki 2 tu itakuwa haina watamazaji.
Muulizeni Tido Mhando alikuwa akifanyaje? Ondoeni upupu wenu humu.
nadhani wakizima hata miezi miwili watakuja na kitu kipyaUshaur wangu mzime tu hilo litakataka lenu, yan hata mjirekebishe vp hatutaangalia uchafu huo
duuuuhTBC ipige nyimbo za CCM tu kwa wingi zaidi.
Njia nzuri ni kufumua kabisa organizational hierarchy ya TBCMalalamiko hayakwepeki TBC inaliabisha taifa kabisa ningekuwa Raisi ningefumua mfumo mzima nakukaribisha wazoefu wanaoendana na kasi ya karne ya 21.
Lakini lengo la Uzi huu sio kutema nyongo..
Zipo nyuzi lukuki za TBC ambazo zimebeba kero na malalamiko. Hapa tunataka tupate solutions kupitia constructive ideas zitakazotolewa..
Lete idea kama unayo, sio nyongo.
Acheni watu tuteme nyongo zetu, mnakera sana sana na tabia yenu ya kujifanya watetezi wa ccm
Idara yao ya masoko ifumuliwe upya. Atafutwe mtu ambaye ni mtaalamu wa digital marketing apewe kitengo na performance targetsKila mtu angetoa maoni kwa mtindo huo basi mpaka sasa tungeshapata ya kutosha na kufikia lengo la mnakasha huu.