TBC MPYA: Ushauri, Maoni na Mapendekezo ya ubora wa vipindi (Television Content)

TBC MPYA: Ushauri, Maoni na Mapendekezo ya ubora wa vipindi (Television Content)

Huu ni zaidi ya uhujumu uchumi kwa taifa rais wetu anahutubia taifa katika kipindi kama hiki matangazo yanakatwa Youtube ya ikulu hakuna kinachoendelea, Twitter hakuna update hivi mnaajiriwa kufanya kazi gani kama hotuba ya rais kipindi kigumu kama leo rais wa nchi anaongea na umma bila kuonekana. nashauri watu wachukuliwe hatua haraka sana.
 
usilaumu labda ni muendelezo wa zile bongo movie , jiulize ana jambo gani la kusema wakati ameshasema msimamo wake toka mwanzo kwamba ka ugonjwa ni kadogo
 
Huu ni zaidi ya uhujumu uchumi kwa taifa rais wetu anahutubia taifa katika kipindi kama hiki matangazo yanakatwa Youtube ya ikulu hakuna kinachoendelea, Twitter hakuna update hivi mnaajiriwa kufanya kazi gani kama hotuba ya rais kipindi kigumu kama leo rais wa nchi anaongea na umma bila kuonekana. nashauri watu wachukuliwe hatua haraka sana.

Tokea lini Ndugu umewahi Kuona / Kushuhudia Mambo yetu nchini Tanzania yakawa yanaenda Kiutaratibu kama Nchi zingine?
 
Huu ni zaidi ya uhujumu uchumi kwa taifa rais wetu anahutubia taifa katika kipindi kama hiki matangazo yanakatwa Youtube ya ikulu hakuna kinachoendelea, Twitter hakuna update hivi mnaajiriwa kufanya kazi gani kama hotuba ya rais kipindi kigumu kama leo rais wa nchi anaongea na umma bila kuonekana. nashauri watu wachukuliwe hatua haraka sana.
Kwili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasikia kasema anavipongeza vyombo vya ulinzi na usalama kwa kazi kubwa waliyofanya kipindi cha janga hili.

...mengine sijui
 
Unaleta taarifa kama mtoto mdogo! Je rais alikuwa tayari anahutubia kisha matangazo yakakatishwa? Au nawe umeleta mihemko tu kisa uliona kuna taarifa kwamba atahutubia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni zaidi ya uhujumu uchumi kwa taifa rais wetu anahutubia taifa katika kipindi kama hiki matangazo yanakatwa Youtube ya ikulu hakuna kinachoendelea, Twitter hakuna update hivi mnaajiriwa kufanya kazi gani kama hotuba ya rais kipindi kigumu kama leo rais wa nchi anaongea na umma bila kuonekana. nashauri watu wachukuliwe hatua haraka sana.
Wamerudi mtazame
 
Tusiende mbali, Kenya tu kabla rais hajatoa hotuba mitambo inaungwa, kunakua na backup kibao, security inaangaliwa, wengine wanakaa kulinda mitambo kabisa, internet ikifail ya cable wanahamishia nyingine, ikifail wanahamishia wireless, ikifail wanahamishia satellite, yote ni kuonyesha wapo serious kwenye mambo ya muhimu. Tanzania jiwe anaongea tena kipindi critical kama hichi cha korona wanaweza mitambo ya kijinga, hata live yenyewe haikua live ilikua ni audio tu. Ila yeye naye kafata nini chato huko hata miundombinu hakuna? Mzee si akae dar apambane na hali? ye wengine wanaumia anenda kwenye mapumziko? hahaha huyu mzee bna
 
Ni aibu kubwa Leo ni 2020 Television ya Taifa imeshindwa kurusha live mkutano wa Mkuu wa nchi.
TBC hovyo kabisa sijutii kutokuiangalia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
..ni laana ya kuhujumu viongozi wa vyama vya upinzani.
Mkutano wa Mbowe na waandishi wa habari, sababu ya kuuzima ni huu wa Chato.

Tumekubali kama nchi kumkabidhi mtu mmoja afanye chochote anachojisikia kukifanya bila kuhojiwa, basi na tuwe wavumilivu hadi hapo atakapoamua kuturuhusu kutokuwa mateka wake.
 
Tanzania jiwe anaongea tena kipindi critical kama hichi cha korona wanaweza mitambo ya kijinga, hata live yenyewe haikua live ilikua ni audio tu. Ila yeye naye kafata nini chato huko hata miundombinu hakuna? Mzee si akae dar apambane na hali? ye wengine wanaumia anenda kwenye mapumziko? hahaha huyu mzee bna
Wewe sasa ndio unatibua kabisa, na kutusababishia gharama nyingine. Uwanja wa ndege tumejenga, sasa unahimiza tukaweke mitambo kabisa ya kutangaza habari tokea huko kijijini?

Nakusihi urudi hapa JF baada ya miaka miwili utueleze kama hilo tatizo litakuwepo tena wakati huo!
 
Huu ni zaidi ya uhujumu uchumi kwa taifa rais wetu anahutubia taifa katika kipindi kama hiki matangazo yanakatwa Youtube ya ikulu hakuna kinachoendelea, Twitter hakuna update hivi mnaajiriwa kufanya kazi gani kama hotuba ya rais kipindi kigumu kama leo rais wa nchi anaongea na umma bila kuonekana. nashauri watu wachukuliwe hatua haraka sana.
Nahisi ni mawingu na hali ya hewa ndio maana matangazo yalikuwa yana katikakatika. Usilaumu sana jamaa siku hizi wameimprovu kiduchu. Japokukuwa kwenye live broadcasting bado.
 
Wewe sasa ndio unatibua kabisa, na kutusababishia gharama nyingine. Uwanja wa ndege tumejenga, sasa unahimiza tukaweke mitambo kabisa ya kutangaza habari tokea huko kijijini?

Nakusihi urudi hapa JF baada ya miaka miwili utueleze kama hilo tatizo litakuwepo tena wakati huo!
Nasema arudi dar, hakuna sababu ya kuendeleza chato sasa hivi, chato haina umuhimu mkubwa nchini kuzidi sehemu kama Arusha, Mwanza, tunapeleka investment vijijini kisa kazaliwa huko, wtf?
 
mkuu hata mi nimeshangaa sana, tena wakati wa vita kama huu...
Huu ni zaidi ya uhujumu uchumi kwa taifa rais wetu anahutubia taifa katika kipindi kama hiki matangazo yanakatwa Youtube ya ikulu hakuna kinachoendelea, Twitter hakuna update hivi mnaajiriwa kufanya kazi gani kama hotuba ya rais kipindi kigumu kama leo rais wa nchi anaongea na umma bila kuonekana. nashauri watu wachukuliwe hatua haraka sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni zaidi ya uhujumu uchumi kwa taifa rais wetu anahutubia taifa katika kipindi kama hiki matangazo yanakatwa Youtube ya ikulu hakuna kinachoendelea, Twitter hakuna update hivi mnaajiriwa kufanya kazi gani kama hotuba ya rais kipindi kigumu kama leo rais wa nchi anaongea na umma bila kuonekana. nashauri watu wachukuliwe hatua haraka sana.
Conov effect

Jr[emoji769]
 
Nasema arudi dar, hakuna sababu ya kuendeleza chato sasa hivi, chato haina umuhimu mkubwa nchini kuzidi sehemu kama Arusha, Mwanza, tunapeleka investment vijijini kisa kazaliwa huko, wtf?
Mkuu, wewe ni mmoja kati ya wachache ndani ya nchi hii mnaong'ang'ania mbaki na akili zenu timamu?

Na katika miaka hiyo miwili niliyokuomba urudi hapa JF, bado utakuwa unayo akili timamu?
 
Back
Top Bottom