Hussein Massanza
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 1,016
- 2,195
- Thread starter
-
- #81
1.Acheni u ccm unawezaje kurusha ziara,mikutano ya ccm halafu bunge usionyeshe live?
2.Mbona habari za vyama,viongozi wa upinzani hamzionyeshi?
3.Kuwe na taarifa ya habari za uchunguzi wa kero za wananchi siyo kuonyesha mikutano ya viongozi.
4.Taarifa za Habari ziwe kwa kiingereza na kiswahili.
5.Mipira michezo jitahidini sana kuonyesha live
6.Kuwe na vipindi vya kilimo cha kisasa teknolojia mpya uzalishaji katika viwanda kero zao
TBC mpaka iwe mpya sio rahisi.
1. Mwandaaji na aina ya vipindi ni vya kizee mno. Ubunifu ni zero.
2. Mnavaa kama madereva na sio watangazaji. Mnekukula mmenenepeana haswa wanawake ni vipipa. Hao rudisha nyuma kuandaa na kuongoza vipindi. Eleweni kutangaza kwenye tv ni zaidi ya kazi ya PR. Muonekano ndio branding. Get people with best voice and appearence plus brains. WAPO TELE.
3. Hamjaweza tumia teknologia ipasavyo. Quality ya video zenu inasikitisha. TV ya Taifa? No way. Mnashindwaje na madogo kama ayo, itv nk ?
4. Wekeni channels tofauti. Say TBC 1 huko wekeni watu wa serikali na programme za kuisifu serikali. Fine. TBC 2 ya biashara na programme zilizochangamka za vijana, kisasa, nk
TBC 3 say International hii ni ya utalii na kwa kiingereza. Huko unaiuza Tanzania duniani na sera ya viwanda na ipatikane free duniani kote na balozi zetu na airport zote na portal zote kubwa. Weka vivutio, mahoteli, mbuga, na quality ya picha iwe ya kimataifa.
5. Hiyo serikali mtandao ionekane kimataifa. Mambo ya passport, viza, uwekezaji na fursa. Wawepo watu wanaojua lugha na sio kiingereza cha kihaya.[emoji2][emoji1]
1. Mimi kuanzia kimuonekano, rangi zenu sio nzuri. Yaani hata nikiiangalia tbc ktk king'amuzi cha dstv bado muonekano haivutii.
2. Jaribuni kuvuta watu kwa kuonyesha vipindi vya michezo hasa mpira wa miguu na mieleka. Ikiwezekana wwe tena sio mechi za zamani na pia ligi tofauti kama za Tz, uk, spain, italy etc.
3. Habari kwa upande wa watangazaji wanaume mmajitahidi, wanaume wamechangamka wanapotangaza habari. Wanawake wengi wamezubaa maana unakuta mtangazaji mwanaume anajaribu kumu-engage mtangazaji mwanamke kwenye mazungumzo ya kuchangamsha habari ila unakuta mwitikio ni mbovu. Wamezubaa wengi.
3. Kingine nafikiri kinawaangusha ila hamna namna ya kukizuia ni KUAJIRI vyeti badala ya vipaji. Ni bahati mbaya ila hamna namna. Kuna vijana wana vipaji na ubunifu wa hali ya juu ktk mambo ya journalism ila vyeti ndio 'taizo'.
4. Watengenezaji wenu wa documentaries za hapa kwetu wawe na ubunifu. Documentaries zimezubaa ma kupooza.
Kwa hiyo, Anzeni na muonekano wa tv yenu. Kweli Rangi imepooza sana. Hamna ule uHD.
Nawapa pongezi pia kwa kuwa na nia ya kutaka kubadilika na kuomba mawazo ya watu. Kwa ujumla, mjikite ktk quality amd contents ya vipindi na muonekano wenu.
Mnajitahidi.
Hapo naomba kutofautiana na wewe. Kwa Rais aliepo madarakani swala ni kujenga hoja baada ya kujitathmini. Taasisi kama TBC imezeeka kimuundo na kimfumo. Kwa kutizama tu vipindi vyao unajua jinsi wanavyoplan. In incremental. Ya mwaka ujao ni ya mwaka jana badilisha hapa na pale ...maisha yasonge. TBC inahitaji total overthaul. Unapotafuta mkuu wa taasisi na vitengo unatafuta mtu mwenye vision na uwezo wa kusimamia vision. Nani asieikumbuka National Housing ilivyobadilika baada ya kupata viongozi sahihi? CRDB Je, nk. Taasisi zimekuwa tamu mpaka watu wameanza kupigana vikumbo kwa fitna.
Tubadili mbinu jinsi ya kutafuta CEOs na waachwe watekeleze vision zao. Political interference iwe pia tamed.
Utamlaumu Rais kama kweli anaingilia kazi nzuri. Lakini kama kazi ni mbaya unamtegemea akae kimya?
Tuwasaidie TBC kwa kuwaeleza njia na mbinu sahihi za kupitia watoke hapo walipo maana kweli wana hali mbaya.
Its too sad to see our cash cow being mismanaged.
Ng'ombe huyo alipaswa kutoa lita 20 lakini anayoa lita 5 japo anakula majani yaleyale.
3. Mechi za Team ya taifa anzeni kuonyesha hyo ruzuku mnayopewa kaz yake nn unganeni hata na ZBC 2
4. Wekeni vipind vinavyoendana na dunia ya sasa sio kla siku vipind vya wazee tu unategemea nan ataangalia
Constructive [emoji106]TBC mpaka iwe mpya sio rahisi.
1. Mwandaaji na aina ya vipindi ni vya kizee mno. Ubunifu ni zero.
2. Mnavaa kama madereva na sio watangazaji. Mnekukula mmenenepeana haswa wanawake ni vipipa. Hao rudisha nyuma kuandaa na kuongoza vipindi. Eleweni kutangaza kwenye tv ni zaidi ya kazi ya PR. Muonekano ndio branding. Get people with best voice and appearence plus brains. WAPO TELE.
3. Hamjaweza tumia teknologia ipasavyo. Quality ya video zenu inasikitisha. TV ya Taifa? No way. Mnashindwaje na madogo kama ayo, itv nk ?
4. Wekeni channels tofauti. Say TBC 1 huko wekeni watu wa serikali na programme za kuisifu serikali. Fine. TBC 2 ya biashara na programme zilizochangamka za vijana, kisasa, nk
TBC 3 say International hii ni ya utalii na kwa kiingereza. Huko unaiuza Tanzania duniani na sera ya viwanda na ipatikane free duniani kote na balozi zetu na airport zote na portal zote kubwa. Weka vivutio, mahoteli, mbuga, na quality ya picha iwe ya kimataifa.
5. Hiyo serikali mtandao ionekane kimataifa. Mambo ya passport, viza, uwekezaji na fursa. Wawepo watu wanaojua lugha na sio kiingereza cha kihaya.[emoji2][emoji1]
Labda tupate uzoefu wa watu kama BBC, najua hatuwezi kuwa kama wao by 100%, but we can emulate a few things from them.
Kuna BBC One- Hii ni flagship channel
BBC Two- Kwa ajili ya habari za michezo na current affairs.
BBC Four Kwa ajili ya serious issues na documentary
BBC News- Habari zinazotokea na live coverage.
Zipo za bunge, international affairs, lugha zingine, watoto, art, nk. Wamegusa almost kila kitu.
Sisi muhimu ni Habari, Michezo, Home affairs, International affairs, Arts, Utalii, Watoto nk
Ubora wa mitambo ni kitu muhimu.
Go for talented, presentable and charming news anchors, tafuteni talents kama ambavyo mnaangalia vyeti.