Serikali lazima itumie busara, kuna baadhi ya madhehebu mafundisho na ibada zao yamejaa chuki na kashfa kwa dini/madhehebu mengine. Mfano ni wasabato ambao mafundisho yao yote ni dhidi ya ukatoliki nk.Lianza lalamiko kwanza kwa uongozi husika kabla ya kufika hatua hiyo
Ndipo ulipo ishia uwezo wako wa kufikiri🖕🏽🖕🏽🖕🏽🖕🏽
Wewe ni mpumbavu tu mnaanzisha makanisa yenu kama sacoss kwa sababu ya tamaa zenu za kutajirika kupitia watu waliomwasi Mungu kwa sababu tu ya elimu na ukwasi wa mali.Kumbuka kipindi TBC wanaanzishwa Roma Catholic na Waislam walikuwepo na ndio chanzo cha ukuaji wa hiyo taasisi.Usilaumu bali peleka muswada ili ombi lako likubaliwe usituke kutufanya wajinga.Binafsi kuna jambo sielewi kuhusu hii television ya umma/taifa- TBC
Hii ni television ya kutangaza dini ya Uislam na Ukristo kupitia ukatoliki au ni television ya umma isiyo na mafungano na dini yoyote ?
Nashindwa kuelewa kwamba hawa waislam na wakatoliki wamelipa pesa ili dini zao zitangazwe kupitia television ya umma au ni tabia ya kijinga tu ya uongozi wa TBC na serikali kulifungamanisha hili taifa na hizi dini mbili Uislam na Ukristo ?
Binafsi naomba kupewa muongozo ni nini kipo nyuma kwa TBC kwa utaratibu huu wa miaka nenda rudi kwa television ya umma kutangaza dini hizi mbili Uislam na Ukristo huku ikitambuliwa kama television ya umma wote ?
Na hawa waislam na wakristo kwani wao wenyewe hawana television zao binafsi za kurusha maudhui yao huko na sio kwenye television ya umma ?
Hayo maudhui yao warushe kwenye TV yao hakuna atakaye lalamaKanisa katoliki ndio linaitawala Tanzania kwa hivyo ni muhimu maudhui yake kurushwa kwenye televisheni ya taifa ili kuteka nyara fikra na kubadili mawazo ya wana wa nchi hii yawe katika mlengo wanaoutaka wao ni kama tu maudhui ya CCM yanavyopewa air time ya kutosha TBC
Tumsifu yesu Kristo @
Kwakuwa ni ya taifa maana yake uko bound kutazama?Ile ni television ya taifa. Mbona unauliza maswali ya kipumbavu
Kazi ya serikali sio kutangaza dini yoyote ile hiki wanacho fanya TBC ni upumbavu wa kiwango cha juuSerikali lazima itumie busara, kuna baadhi ya madhehebu mafundisho na ibada zao yamejaa chuki na kashfa kwa dini/madhehebu mengine. Mfano ni wasabato ambao mafundisho yao yote ni dhidi ya ukatoliki nk.
Ndio.Ni moja ila sio wote ?
Ndio Mimi ni mpumbavu ambae siwezi kukubali kuona kazi ya kutangaza dini inafanywa na serikali kupitia television ya taifaWewe ni mpumbavu tu mnaanzisha makanisa yenu kama sacoss kwa sababu ya tamaa zenu za kutajirika kupitia watu waliomwasi Mungu kwa sababu tu ya elimu na ukwasi wa mali.Kumbuka kipindi TBC wanaanzishwa Roma Catholic na Waislam walikuwepo na ndio chanzo cha ukuaji wa hiyo taasisi.Usilaumu bali peleka muswada ili ombi lako likubaliwe usituke kutufanya wajinga.
Ndipo ulipoanziaNdipo ulipo ishia uwezo wako wa kufikiri
Hao ni walutheri na wanarusha ibada zao tu, wengine kama kina katunzi wa EAGT wana vipindi vyao huko ila sio EAGT yoteNdio maana mmepewa Uhuru wa kua na TV yenu Upendo TV fungua kula tenzi za Rohoni siku iende kwani lazima ufungue TBC?
Hilo sio swaliKwakuwa ni ya taifa maana yake uko bound kutazama?
Kwa hio unatakaje? Mwamposa nae aruke live TBC?Ndio Mimi ni mpumbavu ambae siwezi kukubali kuona kazi ya kutangaza dini inafanywa na serikali kupitia television ya taifa
Hapo chuki yako kuubwaa ni uislamBinafsi kuna jambo sielewi kuhusu hii television ya umma/taifa- TBC
Hii ni television ya kutangaza dini ya Uislam na Ukristo kupitia ukatoliki au ni television ya umma isiyo na mafungano na dini yoyote ?
Nashindwa kuelewa kwamba hawa waislam na wakatoliki wamelipa pesa ili dini zao zitangazwe kupitia television ya umma au ni tabia ya kijinga tu ya uongozi wa TBC na serikali kulifungamanisha hili taifa na hizi dini mbili Uislam na Ukristo ?
Binafsi naomba kupewa muongozo ni nini kipo nyuma kwa TBC kwa utaratibu huu wa miaka nenda rudi kwa television ya umma kutangaza dini hizi mbili Uislam na Ukristo huku ikitambuliwa kama television ya umma wote ?
Na hawa waislam na wakristo kwani wao wenyewe hawana television zao binafsi za kurusha maudhui yao huko na sio kwenye television ya umma ?
Moja ya nyuzi zake humu jamvini Taifa linaloona Urais ni kupokezana vijiti baina ya wakristo na waislam ni taifa la wajingaWewe ni mpumbavu tu mnaanzisha makanisa yenu kama sacoss kwa sababu ya tamaa zenu za kutajirika kupitia watu waliomwasi Mungu kwa sababu tu ya elimu na ukwasi wa mali.Kumbuka kipindi TBC wanaanzishwa Roma Catholic na Waislam walikuwepo na ndio chanzo cha ukuaji wa hiyo taasisi.Usilaumu bali peleka muswada ili ombi lako likubaliwe usituke kutufanya wajinga.
Sasa unalia lia nini Mzee wangu? Idadi yenu ni ndogo wao hawawezi wakarusha kipindi kitazamwe na watu laki 1 kati ya million 60 huo ni upuuziHao ni walutheri na wanarusha ibada zao tu, wengine kama kina katunzi wa EAGT wana vipindi vyao huko ila sio EAGT yote
Sitaki dini yoyote ile hiyo sio kazi ya television ya taifa kutangaza dini za watu ziachiwe taasisi husikaKwa hio unatakaje? Mwamposa nae aruke live TBC?
Kama umeona hivyo sawa . Maana akili zinatofautianaHapo chuki yako kuubwaa ni uislam