Huwa nakereka pale ninapomtembelea bi mkubwa nyumbani alafu tukiwa sebuleni hataki channel nyingine zaidi ya TBC. Ni mfanyakazi, ameathiriwa sana na mfumo wa uongozi wa mzee huyu lakini sijui kwanini hataki kusikia habari nyingine zaidi ya za CCM tu, eti oh nyinyi vijana hamjui lolote kuhusu siasa.
Ngoja niishie hapa kwanza.....
Hao machadema wanagombea kuangalia TBC! Ajabu.Kumbe kuna watu bado waangalia TBC? Mara ya mwisho nadhani niliangalia 2009
Na ndege ni za umma sio zake kapande burePale walifurushwa sabb walikuwa hawatangazi, walikuwa wanafanya UNAFIKI tu
Wewe hujui Kama ile ni TV ya umma, na wala siyo ya magufuli?!
Chadema wakiingia ikulu wataifuta TBC kuuza mitambo yao mpaka majengo na kuanzisha upya chombo kingine cha kitaifa chenye kuzingatia usawa pasipo kupendelea chama TawalaMatangazo ya TBC hususani kampeni za Uchaguzi Mkuu ni utopolo mtupu uliokosa weledi na busara za kiutangazaji kama chombo cha umma kinachogharamiwa na kodi za wananchi wote.
Tumevumilia sana, sasa tumechoka. Ni ujinga, hata kama mnalazimishwa, kuitangaza CCM pekee na Wagombea wake kuanzia Asubuhi mpaka jioni kana kwamba ndiyo chama pekee.
Hili limezua hasira kuu, chuki mbaya, na kimsingi badala ya kuieneza CCM mmeiua kabisa CCM kwenye mioyo ya wananchi. Badilikeni haraka, la sivyo, mnachokitafuta, kwa ujinga wenu, mtakipata.
Watangazaji wa TBC ni bora wavae nguo za ccm kuliko kuvaa nguo zao wakati ni makada wa ccmTBC ni mali ya CCM. Over
Kufungiwa kwa shinikizo la ccm ni ushujaaUtawafanyaje Kwani Zaidi Ya Kuwashitaki JF hahaha Sasa Ulitaka Atangazwe Nani Tundu Lissu Mzee Wa Faragha Kafungiwa
Vipi Chauma mzee wa ubwabwa Nate aliwafukuza?
Mbona hawamrushi
Haki huinua TAIFA
Mwambieni mwenyekiti wa freemedia afungue station yake, kuliko Kulialia hapa huku mwenye chama akihonga ruzuku zenu, michango yenu kwa vitumaalum wake. Moja ya chama hovyo kabisa kuwahi Kutokea Tanzania, mtakula kwa mabeberu na vibaraka wenu. JPM tano tena.Matangazo ya TBC hususani kampeni za Uchaguzi Mkuu ni utopolo mtupu uliokosa weledi na busara za kiutangazaji kama chombo cha umma kinachogharamiwa na kodi za wananchi wote.
Tumevumilia sana, sasa tumechoka. Ni ujinga, hata kama mnalazimishwa, kuitangaza CCM pekee na Wagombea wake kuanzia Asubuhi mpaka jioni kana kwamba ndiyo chama pekee.
Hili limezua hasira kuu, chuki mbaya, na kimsingi badala ya kuieneza CCM mmeiua kabisa CCM kwenye mioyo ya wananchi. Badilikeni haraka, la sivyo, mnachokitafuta, kwa ujinga wenu, mtakipata.
TV ya hovyo kwa sababu haitangazi zezeta wenu right?. Mbona Mbowe hana hiyo hata ya hovyo?. Ninyi mapunguani wa Ufipa mpaka mtwangwe kwenye kinu ndio ujinga uwatoke. Mbowe hana cha kuwapa watanzania, mlaghai na mjanja mjanja tu. Oct 28, ndio mnaungana na TLP rasmi. Hongereni sana wazee wa faru John.TBC yaweza kuwa ndiyo TV ya hovyo kuliko zote Duniani kwa sasa , hata watangazaji wake 80% ni washamba washamba fulani hivi, wenye Akili ni wachache tena wale wa michezo yule mzee mchambuzi wa soka na wengine wachache
Haya ni mawazo yako pumbavu wewe.Mliwafukuza mbele ya macho ya watanzani kwa ajili ya kutaka sifa tu sasa unataka wawafanyie nini.Matangazo ya TBC hususani kampeni za Uchaguzi Mkuu ni utopolo mtupu uliokosa weledi na busara za kiutangazaji kama chombo cha umma kinachogharamiwa na kodi za wananchi wote.
Tumevumilia sana, sasa tumechoka. Ni ujinga, hata kama mnalazimishwa, kuitangaza CCM pekee na Wagombea wake kuanzia Asubuhi mpaka jioni kana kwamba ndiyo chama pekee.
Hili limezua hasira kuu, chuki mbaya, na kimsingi badala ya kuieneza CCM mmeiua kabisa CCM kwenye mioyo ya wananchi. Badilikeni haraka, la sivyo, mnachokitafuta, kwa ujinga wenu, mtakipata.
Hata Mwl Nyerere alikuwa kada wa CCM lakini hakuwahi kuvaa sare za CCM maisha yake yoteWatangazaji wa TBC ni bora wavae nguo za ccm kuliko kuvaa nguo zao wakati ni makada wa ccm
Mwenye akili hawezi kumpangia kichaaNdiyo, Naipenda sana, siwezi kupangiwa!
Siyo mfuasi wa Lissu tu, ni mpenda haki!Kwanini wafuasi wa Tundu Lissu mnajazba sana, matusi ya nini? Hasa mkiambiwa ukweli
Tumia akili hata ya kuazima, wenye uwezo wa kulipia TBC ni CCM pekee?Kama wanataka full coverage wakalipie. Hakuna kitu cha bure
Hivi kwa akili yako ndogo unategemea kabisa nimsikilize huyo mtu? Ana nini cha maana?
Hivi kuna chombo kinaitwa TBC??? Nilishaga kisahau nikajua kimefungiwagwa huko.Matangazo ya TBC hususani kampeni za Uchaguzi Mkuu ni utopolo mtupu uliokosa weledi na busara za kiutangazaji kama chombo cha umma kinachogharamiwa na kodi za wananchi wote.
Tumevumilia sana, sasa tumechoka. Ni ujinga, hata kama mnalazimishwa, kuitangaza CCM pekee na Wagombea wake kuanzia Asubuhi mpaka jioni kana kwamba ndiyo chama pekee.
Hili limezua hasira kuu, chuki mbaya, na kimsingi badala ya kuieneza CCM mmeiua kabisa CCM kwenye mioyo ya wananchi. Badilikeni haraka, la sivyo, mnachokitafuta, kwa ujinga wenu, mtakipata.