Uchaguzi 2020 TBC, sasa tumewachoka kwelikweli, mnachochea hasira kubwa msiyoweza kuizima

Uchaguzi 2020 TBC, sasa tumewachoka kwelikweli, mnachochea hasira kubwa msiyoweza kuizima

Huwa nakereka pale ninapomtembelea bi mkubwa nyumbani alafu tukiwa sebuleni hataki channel nyingine zaidi ya TBC. Ni mfanyakazi, ameathiriwa sana na mfumo wa uongozi wa mzee huyu lakini sijui kwanini hataki kusikia habari nyingine zaidi ya za CCM tu, eti oh nyinyi vijana hamjui lolote kuhusu siasa.
Ngoja niishie hapa kwanza.....

Pole Mkuu. Polepole muelimishe mzee wetu kwa upole na mapendo. Atakushuru sana baadaye.
 
Kumbe bado mnaiangaliaga ??? Si mlisema hamuitazami tena ?? Mmefuata nini huko
 
Matangazo ya TBC hususani kampeni za Uchaguzi Mkuu ni utopolo mtupu uliokosa weledi na busara za kiutangazaji kama chombo cha umma kinachogharamiwa na kodi za wananchi wote.

Tumevumilia sana, sasa tumechoka. Ni ujinga, hata kama mnalazimishwa, kuitangaza CCM pekee na Wagombea wake kuanzia Asubuhi mpaka jioni kana kwamba ndiyo chama pekee.

Hili limezua hasira kuu, chuki mbaya, na kimsingi badala ya kuieneza CCM mmeiua kabisa CCM kwenye mioyo ya wananchi. Badilikeni haraka, la sivyo, mnachokitafuta, kwa ujinga wenu, mtakipata.
Chadema wakiingia ikulu wataifuta TBC kuuza mitambo yao mpaka majengo na kuanzisha upya chombo kingine cha kitaifa chenye kuzingatia usawa pasipo kupendelea chama Tawala
 
TBC yaweza kuwa ndiyo TV ya hovyo kuliko zote Duniani kwa sasa , hata watangazaji wake 80% ni washamba washamba fulani hivi, wenye Akili ni wachache tena wale wa michezo yule mzee mchambuzi wa soka na wengine wachache
 
Vipi Chauma mzee wa ubwabwa Nate aliwafukuza?

Mbona hawamrushi

Haki huinua TAIFA

Chauma umewasikia wapi wakitoa malalamiko kwa TBC?

Kwenu, kila kitu CHADEMA ndio yenye kuonewa. Hii inawafanya muonekane wakosa akili, pumbafffff
 
Matangazo ya TBC hususani kampeni za Uchaguzi Mkuu ni utopolo mtupu uliokosa weledi na busara za kiutangazaji kama chombo cha umma kinachogharamiwa na kodi za wananchi wote.

Tumevumilia sana, sasa tumechoka. Ni ujinga, hata kama mnalazimishwa, kuitangaza CCM pekee na Wagombea wake kuanzia Asubuhi mpaka jioni kana kwamba ndiyo chama pekee.

Hili limezua hasira kuu, chuki mbaya, na kimsingi badala ya kuieneza CCM mmeiua kabisa CCM kwenye mioyo ya wananchi. Badilikeni haraka, la sivyo, mnachokitafuta, kwa ujinga wenu, mtakipata.
Mwambieni mwenyekiti wa freemedia afungue station yake, kuliko Kulialia hapa huku mwenye chama akihonga ruzuku zenu, michango yenu kwa vitumaalum wake. Moja ya chama hovyo kabisa kuwahi Kutokea Tanzania, mtakula kwa mabeberu na vibaraka wenu. JPM tano tena.
 
TBC yaweza kuwa ndiyo TV ya hovyo kuliko zote Duniani kwa sasa , hata watangazaji wake 80% ni washamba washamba fulani hivi, wenye Akili ni wachache tena wale wa michezo yule mzee mchambuzi wa soka na wengine wachache
TV ya hovyo kwa sababu haitangazi zezeta wenu right?. Mbona Mbowe hana hiyo hata ya hovyo?. Ninyi mapunguani wa Ufipa mpaka mtwangwe kwenye kinu ndio ujinga uwatoke. Mbowe hana cha kuwapa watanzania, mlaghai na mjanja mjanja tu. Oct 28, ndio mnaungana na TLP rasmi. Hongereni sana wazee wa faru John.
 
Matangazo ya TBC hususani kampeni za Uchaguzi Mkuu ni utopolo mtupu uliokosa weledi na busara za kiutangazaji kama chombo cha umma kinachogharamiwa na kodi za wananchi wote.

Tumevumilia sana, sasa tumechoka. Ni ujinga, hata kama mnalazimishwa, kuitangaza CCM pekee na Wagombea wake kuanzia Asubuhi mpaka jioni kana kwamba ndiyo chama pekee.

Hili limezua hasira kuu, chuki mbaya, na kimsingi badala ya kuieneza CCM mmeiua kabisa CCM kwenye mioyo ya wananchi. Badilikeni haraka, la sivyo, mnachokitafuta, kwa ujinga wenu, mtakipata.
Haya ni mawazo yako pumbavu wewe.Mliwafukuza mbele ya macho ya watanzani kwa ajili ya kutaka sifa tu sasa unataka wawafanyie nini.
Wala hamuwezi kutisha watu kwenye mitamdao kwamba wanachokitafuta watakipata.Hebu anzeni ujinga wenu wa mambo ya kuiga halafu muone.
 
Matangazo ya TBC hususani kampeni za Uchaguzi Mkuu ni utopolo mtupu uliokosa weledi na busara za kiutangazaji kama chombo cha umma kinachogharamiwa na kodi za wananchi wote.

Tumevumilia sana, sasa tumechoka. Ni ujinga, hata kama mnalazimishwa, kuitangaza CCM pekee na Wagombea wake kuanzia Asubuhi mpaka jioni kana kwamba ndiyo chama pekee.

Hili limezua hasira kuu, chuki mbaya, na kimsingi badala ya kuieneza CCM mmeiua kabisa CCM kwenye mioyo ya wananchi. Badilikeni haraka, la sivyo, mnachokitafuta, kwa ujinga wenu, mtakipata.
Hivi kuna chombo kinaitwa TBC??? Nilishaga kisahau nikajua kimefungiwagwa huko.
 
Back
Top Bottom