Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanyimbo katamuuuTBC walifanya uungwana walienda kwenye kampeni za chadema, MBOWE akawatimua kwahio waaache wapige kelele
Aliekwambia nimetetea ni nani? Mbona mmejifunza kukurupuka hivyo? Sasa Kati yangu na wewe ni Nani mpumbavu?
KWAKIFUPI: Hasira zako juu ya CCM, hazitakufanya uondokane na status ya kuwa jobless.
Umesema hufuatilii, sasa una comment nini hiki?
"No research no right to speak"
Katiba inasema Tanzania ni nchi ya vyama vingi.. Tbc wanatumia Kodi za wananchi wote, lkn wanafanya coverage ya ccm pekee, what a nuisance!!!
Busara ingetumika sio kila kitu ni kushupaza shingo kwa sababu watu watashangilia... Chadema kimejaza wakora ndio shida inaanza apo.
Aliekwambia nimetetea ni nani? Mbona mmejifunza kukurupuka hivyo? Sasa Kati yangu na wewe ni Nani mpumbavu?
KWAKIFUPI: Hasira zako juu ya CCM, hazitakufanya uondokane na status ya kuwa jobless.
Kanyimbo katamuuu
Wewe huyo😁😁😁😁😁😁Hiyo station huwa sina muda wa kuitazama.
😁💥💣🔥🔥🔥kuna jamaa alifungua thread analalamika kuhusu huu wimbo , daaah maisha yanaenda spidi sana
Juzi mabibo sokoni/mahakama ya ndizi niliwakuta wafanya biashara wanamsikiliza bekaflavakuna jamaa alifungua thread analalamika kuhusu huu wimbo , daaah maisha yanaenda spidi sana
Ndiyo, Naipenda sana, siwezi kupangiwa!Sema, sisi misukule bado tunaipenda
Mkuu kuna watu hawajitambui kabisa,wao wamezoea kuishi kwenye ndoto za watu.hahaha punguza makali utamuua jamaaa, huyu analalamika TBC kwa sababu kwenye kingamuzi ni free alafu si unajua ni lofa sasa hana la kufanya
Kanyimbo katamuuu
Matangazo ya TBC hususani kampeni za Uchaguzi Mkuu ni utopolo mtupu uliokosa weledi na busara za kiutangazaji kama chombo cha umma kinachogharamiwa na kodi za wananchi wote.
Tumevumilia sana, sasa tumechoka. Ni ujinga, hata kama mnalazimishwa, kuitangaza CCM pekee na Wagombea wake kuanzia Asubuhi mpaka jioni kana kwamba ndiyo chama pekee.
Hili limezua hasira kuu, chuki mbaya, na kimsingi badala ya kuieneza CCM mmeiua kabisa CCM kwenye mioyo ya wananchi. Badilikeni haraka, la sivyo, mnachokitafuta, kwa ujinga wenu, mtakipata.
Hivi tusi maana yake nini. Katukanaje kwa mfano. Ukisema mtu kachukua pesa za umma kenda kujengea kiwanja cha ndege kijijini kwao, hilo ni tusi?Sasa si muangalie station nyingine kwn mmelazimishwa? Na seriuos mnataka wampe coverage mtu kajaa matusi hotuba zake zote?
Hivi mtoa hoja ni chadema?, tumieni busara.Kiongozi wenu si aliwafukuza TBC? Mnalalamika nini sasa?