Uchaguzi 2020 TBC, sasa tumewachoka kwelikweli, mnachochea hasira kubwa msiyoweza kuizima

Uchaguzi 2020 TBC, sasa tumewachoka kwelikweli, mnachochea hasira kubwa msiyoweza kuizima

ACT, CUF na vyama vingine nao pia waliwafurusha?

Na kabla ya tukio hili TBC iliwahi kuwapa coverage wapinzani?

Kwa nini kila anayezungumzia haki mnamuona kuwa ni CHADEMA, je mwananchi asiyekuwa na chama hawezi kusemea haki?
Yanakukera? Wewe kejeli dhidi ya wapinzani siyo mashudu ni madini?
Ata kama ni TV ya taifa haiwezi kukupa coverage ya saa zima bila kuwalipa ...hivo vyama unavosema hela hadi warandishe bakuli unadhani wanakuwa na sarafu za kupeleka kwenye media watangazwe? mabango tu ya Mgombea urais wenu yamewashinda mtaweza kulipia coverage kipindi ata cha nusu saa .
 
Ata kama ni TV ya taifa haiwezi kukupa coverage ya saa zima bila kuwalipa ...hivo vyama unavosema hela hadi warandishe bakuli unadhani wanakuwa na sarafu za kupeleka kwenye media watangazwe? mabango tu ya Mgombea urais wenu yamewashinda mtaweza kulipia coverage kipindi ata cha nusu saa .
Unazungumza kama Hadija Kopa wa TOT, yaani mipasho.
 
Bogas ni wewe, na unadhihisha kuwa ni bogus kwa kejeli dhidi ya aliyejeruhiwa na watu bogus. Kweli inajulikana kuficha kweli unaonekana wewe ndio bogus, niambie ni lini wewe umeenda kukagua TBC kuwa ni CCM tu wanaolipia airtime na vyama vingine havilipii?
Hahahah unauliza ubwbwa kwa Rugwe . Chadema na yule chizi wao wangekuwa washaongea hali na media za ulaya kuwa wamelipa airtime na hawarushiwi vipindi, nani hawawajui wazee wa kiki nyie.
 
Hahahah unauliza ubwbwa kwa Rugwe . Chadema na yule chizi wao wangekuwa washaongea hali na media za ulaya kuwa wamelipa airtime na hawarushiwi vipindi, nani hawawajui wazee wa kiki nyie.
Kumbe wewe ni juha, nilifikiri naongea na mzima
 
Tbc si kituo cha kutazama maana utaboreka na kukasirika badala ya kuhabarika na kuelimika.
shida kila utapoingia si TRA si HOSPITAL majengo yote ya office za serikali wameweka TV na steshen ya kuangalia ni TBC tu marufuku kuweka stesheni tofauti.
 
Chadema na Mbowe mliwafukuza TBC live. Shauri yenu. Majuto ni mjukuu , vumilia hadi uchague CCM 28 Oct.
Wewe unatazama tu chadema. ACT, CUF. UPDP na wengine wanaonyeshwa?

Basi kama hivi vingine havifai huoni kwa kuwaonyesha wananchi watajua ubovu wao kama mnavoona nyinyi. Sasa mnafikiri kwa kuwanyima airtime mmeweza kuwabomoa? Sio kweli.

Ukikifunga chumba ukawaambia watoto wasikifungue ujue watafuta kujua ni kwa nini baba kasema tusifungue. Watatafuta namna tu.

Vivo hivo unaponyima watu wasiwaone wapinzani wako watu hao watajiuliza kwa nini. Watatafuta namna tu.

Sasa tunaishukuru tehama. Watu wanawatafuta Youtube nk. Simu ya mtu mmoja wanaangalia hata watu kumi. Watu wamejua na kwa kweli wapaswa kufahamu.

TBC Kazeni buti shikieni hapo hapo mmefaulu sana.
 
ndiyo lazima wahabarishe kazi ya awamu ya Tano.inayoonekana kwa macho.sasa unataka waonyeshe maneno matupu???
kumbe vile unavoona ma mwendo kasi mafly over kila kona roho inakuuma eeh?
unaona bao la kisigino unapigwa?
hata ukiwa na chuki baki nazo ila TBC lazima waonyeshe mafanikio hayo.hawawez kuonyesha maneno matupu.waswahil wenyewe wamekwambia "mkono mtupu haulambwi"
 
Bavicha acheni ujinga. Siku wameamua kubadilika si mliwafukuza na mkashangilia...
Endeleeni kuumia
 
Kuna muda huwa 'nawashangaa' sana tu baadhi yenu kwani tayari mmeshajua kuwa TBC ni 'Pro CCM' kwanini 'mnahangaika' nayo tena? Mnaboa!
 
Siyo TBC tu bali ni media zote zimelazimishwa na mkoloni mweusi kufanya hivyo
 
CCM wameihodhi hii imekuwa yao..... yaani siku watanzania watasema sasa YATOSHA kwa CCM itakuwa kama wamejitua gunia la mahindi mgongoni.
 
Back
Top Bottom