Uchaguzi 2020 TBC, sasa tumewachoka kwelikweli, mnachochea hasira kubwa msiyoweza kuizima

Uchaguzi 2020 TBC, sasa tumewachoka kwelikweli, mnachochea hasira kubwa msiyoweza kuizima

Yote uliyoandika hapo juu kama changamoto yana majibu sahihi kabisa ila shida ni kwamba wewe una majibu yako binafsi unayotaka kuyasikia
Sitaki majibu ila wananchi wanatakiwa wajue
Nchi hii kuna kundi la watu wauaji kwa Jina la watu wasiojulikana na wanaua wapinzani
Hilo sio Swali Bali ni Taarifa kama vile wahasini wa ndani na nje ya nchi wamechanga zaidi ya bilioni 200 kwa ajili ya wahanga wa tetemeko la ardhi kule bukoba lakini serikali imeamua kujengea uwanja wa ndege wa kimataifa kule Chato.
Haya sio maswali wala changamoto ila ni Taarifa za uvundo wa serikali
Vyombo vya Habari havina haja ya kujibu ila vinatakiwa vitujuze mambo yanayoendelea
 
Hii tabia ya ubinafsi ya kuchukua hisia na mapenzi na kuwapachika watu wote imetamalaki kwa vijana wa Chadema. Hii ni sawa na kujificha katika kivuli cha mti.
Hoja ni kwamba TBC kutowapa coverage wagombea wa upinzani, je ni kweli au uongo? Halafu tujikite kwenye hoja yako
 
Yaani kuanzia Asubuhi hadi jioni ni CCM tu. Vipindi vingi wanavyoviandaa ni lazima vihusiane na mambo ya Chama. Yaani imekuwa ni kama TV ya Chama. Chombo cha umma kilipaswa kiwe Neutral na kiwe kwa manufaa ya watu wa vyama vyote.
Kwenye utawala wangu hakuna kuwa neutral. Cc. OCD high na Shinyanga.
 
Acha kwanza kuwasingizia watu wote. Jisemee wewe tu maana hujafanya utafiti na hata utafiti una errors eg sampling error etc. Hivyo acha kusema watu wameichoka... No sema nimeichoka
Una kichaa kimekupanda? Post yangu nimesema TBC kutowapa coverage wagombea wa upinzani, hayo ya sampling yametokea wapi kama siyo kukurupuka?
 
Kama hujatetea ni nini ulichofanya? Bado wewe ni MPUMBAVU kwa maana naichukia CCM kwa matendo yake dhidi ya wapinzani wake, hii inazidisha upumbavu wako kwa kuniona mimi jobless kwa kuipinga CCM
Sikuoni jobless kwa sababu unaipinga CCM,wapo wengi wanaoipinga na wana maisha mazuri tena Sana (nawajua wengi tu).
Ninakuona jobless kupitia hoja zako unazoleta humu, mtu anaemiliki angalau TIN number tu, hawezi kuwa na mawazo ya kijinga kama yako.
 
Sikuoni jobless kwa sababu unaipinga CCM,wapo wengi wanaoipinga na wana maisha mazuri tena Sana (nawajua wengi tu).
Ninakuona jobless kupitia hoja zako unazoleta humu, mtu anaemiliki angalau TIN number tu, hawezi kuwa na mawazo ya kijinga kama yako.
Mawazo yako ni ya kijanja? Wewe ni MPUMBAVU na unazidi kuonyesha upumbavu wako, kwa wewe kuipinga CHADEMA unaonekana una kazi? Au unataka niipende kwa injustices kwa wote wanaopingana na awamu hii? Nione jobless lakini sijakuomba hata bando kuwasoma wapumbavu kama wewe mnaotetea dhulma dhidi ya haki, haki huinua taifa.

Jobless or not we will never be intimidated na wapuuzi kama wewe
 
Kiongozi wenu si aliwafukuza tbc? Mnalalamika nini sasa?
Siyo kila mpenda Haki na Uhuru ni mwanachama wa Chadema, hapo ndo mnakosea.

Wanachama wa vyama ni wachache Sana, lkn wananchi wanaofuatilia mambo ya siasa ni wengi sana
 
Utawafanyaje Kwani Zaidi Ya Kuwashitaki JF hahaha Sasa Ulitaka Atangazwe Nani Tundu Lissu Mzee Wa Faragha Kafungiwa
 
TBC inaharibia CCM uchaguzi.watanzania hawakuangalia kabisaaa.watu wako kwenye mitandao ya kijamii na taarifa ya habari ya saa mbili usiku ITV na BBC . Watanzania wameisusa TBC kama walivyokuwa magazeti.
Tunaangalia Saba TBC mkuu jisemee wewe usiangalia na Sijui unayajuaje Ya TBC kama huangaliii
 
Mimi sio mfuatiliaji wa vipindi vya t.v. lakini ninachojua tbc wana vipindi vingi sana vinavyohusu maswala ya maendeleo ya nchi, vikielezea miradi tofauti katika sekta tofauti tofauti, changamoto na mabadiliko chanya katika jamii.
Ila sababu hivyo vyote vimefanyika chini ya serikali ya chama kilichopo madarakani wapinzani wanaona kama ni kampeni huku wakisahau wananchi wana haki ya kuhabarishwa maendeleo yao
Umesema hufuatilii, sasa una comment nini hiki?
"No research no right to speak"

Katiba inasema Tanzania ni nchi ya vyama vingi.. TBC wanatumia Kodi za wananchi wote, lakini wanafanya coverage ya CCM pekee, what a nuisance!!!
 
Mliwafukuza mlizani.mmefukuza chuma sio binadamu?
Rudini kwenye jukwaa kisha muwaombe msamaha kama mlivyowafukuza.
Nyie si ni wazee wa kutetea haki ya habali mnaogopa nini?
Fungueni midomi yenu kwa akiri kabla ya kukwaza watu.
ACT, CUF, TADEA nao hawaonyeshwi, waliwafukuza pia?
 
Kodi zako wataendelea kuzitumia tu lakini,bila kujali Kama utawatazama au lah.
Hoja zangu za kijinga hizi kauli za kejeli ndio zenye akili? Nikikuambia mpumbavu nakosea? You will never intimidate anybody
 
Back
Top Bottom