Simba zee 33
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 1,374
- 1,564
Of course wananchi wanatakiwa wapate Habari za maendeleo na pia wapate Habari za ubaya na dhulma inayofanywa na serikaliMimi sio mfuatiliaji wa vipindi vya t.v. lakini ninachojua tbc wana vipindi vingi sana vinavyohusu maswala ya maendeleo ya nchi, vikielezea miradi tofauti katika sekta tofauti tofauti, changamoto na mabadiko chanya katika jamii.
Ila sababu hivyo vyote vimefanyika chini ya serikali ya chama kilichopo madarakani wapinzani wanaona kama ni kampeni huku wakisahau wananchi wana haki ya kuhabarishwa maendeleo yao
Shilling inatakiwa ionyeshwe pande mbili