Uchaguzi 2020 TBC, sasa tumewachoka kwelikweli, mnachochea hasira kubwa msiyoweza kuizima

Uchaguzi 2020 TBC, sasa tumewachoka kwelikweli, mnachochea hasira kubwa msiyoweza kuizima

Mawazo yako ni ya kijanja? Wewe ni MPUMBAVU na unazidi kuonyesha upumbavu wako, kwa wewe kuipinga CHADEMA unaonekana una kazi? Au unataka niipende kwa injustices kwa wote wanaopingana na awamu hii? Nione jobless lakini sijakuomba hata bando kuwasoma wapumbavu kama wewe mnaotetea dhulma dhidi ya haki, haki huinua taifa.

Jobless or not we will never be intimidated na wapuuzi kama wewe
Naona una kichwa kigumu sana. Nimekwambia kitokuishabikia CCM hakufanyi Ni conclude kwamba wewe Ni jobless, ila hata mashudu unayozidi kuyaandika unaponiquote, yanadhirisha status yako kimaisha.

Siku zote hakuna ambaye huwa anawafanyia intimidation, mnajihisi hivyo kwasababu wengi wenu ni watu waliofeli maisha na hakuna kingine Cha kuwafariji zaidi ya kuisukumia serikali upumbavu wenu.
 
Matangazo ya TBC hususani kampeni za Uchaguzi Mkuu ni utopolo mtupu uliokosa weledi na busara za kiutangazaji kama chombo cha umma kinachogharamiwa na kodi za wananchi wote.

Tumevumilia sana, sasa tumechoka. Ni ujinga, hata kama mnalazimishwa, kuitangaza CCM pekee na Wagombea wake kuanzia Asubuhi mpaka jioni kana kwamba ndiyo chama pekee.

Hili limezua hasira kuu, chuki mbaya, na kimsingi badala ya kuieneza CCM mmeiua kabisa CCM kwenye mioyo ya wananchi. Badilikeni haraka, la sivyo, mnachokitafuta, kwa ujinga wenu, mtakipata.
Utajuaje kama agenda ni kuiuwa. Mimi hata sikumbuki tena hata namba yake. Siifungui kabisa
 
Changamoto ni challenges
Tunataka tuone ufisadi uliopo kama vile kubomoa nyumba bila malipo
Hela za rambirambi za wahanga wa majanga mbalimbali
Watu wanauwawa na wasiojulikana
Kandarasi zote kupewa mume mwenza bila kutangaza zabuni huku makampuni mengine yakifilisika
Makampuni na wawekezaji wanaondoka baada ya kushindwa kufanya Kazi
Wakullma wa korosho wakopwa mazao bei chini mpaka Leo bado hawajalipwa
Wakullma wa mpunga na mahindi mazao Yao yamedoda
Hazina ya Tanzania ipo mikinoni mwa mtoto wa dadake rais
Mkaguzi wa mahesabu asema zaidi ya dola billion moja imepotelea ikulu bila kujulikana ikwapi
Rais anajimilikisha hekta 25000 na inalindwa na jeshi etc etc
Kuna uvundo mwingi Sana katika serikali hii Ndio maana kitu cha kwanza alichofanya ni kubana media
Kwa Mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu hatuwezi kusikia
BBC, VOA, DW wala Radio Japan
Why why why???
Mbona nchi zingine wanapata habari???
Ameua 'FAST JET' ambayo nauli yake Dar - Mwanza ilikuwa sh elfu 70, sasa kwa haya mandege yake ya kinyonyaji ni sh laki 4 !!!
 
Hoja zangu za kijinga hizi kauli za kejeli ndio zenye akili? Nikikuambia mpumbavu nakosea? You will never intimidate anybody
Sasa kwani swala la TBC kutumia Kodi za huyo niliemquote Ni uongo?😃 Kijana usipanick.

NB:Nakukumbusha tu,acha kuishi kwenye ndoto za wenzako,tuna muda mchache Sana hapa duniani.
 
Naona una kichwa kigumu sana. Nimekwambia kitokuishabikia CCM hakufanyi Ni conclude kwamba wewe Ni jobless, ila hata mashudu unayozidi kuyaandika unaponiquote, yanadhirisha status yako kimaisha.

Siku zote hakuna ambaye huwa anawafanyia intimidation, mnajihisi hivyo kwasababu wengi wenu ni watu waliofeli maisha na hakuna kingine Cha kuwafariji zaidi ya kuisukumia serikali upumbavu wenu.
Upumbavu wako wewe unayetaka tufurahie ujinga, wewe umefanikiwa nini kama siyo mpumbavu tu? Wote wanaoipinga serikali ya CCM wamefeli kimaisha? Pathetic fool
 
Tofauti kubwa ya binadamu na wanyama wengine ni ubongo wake wenye uwezo wa kuhifadhi kumbukumbu kwa miaka mingi na kipaji chake cha kuweza kuchanganua mambo.

Unajiuliza ni muda gani umepita tangia TBC wafukuzwe hadharani na viongozi wa CDM mara hii watu washasahau; surely binadamu wa kawaida anauwezo wa kuhifadhi kumbukumbu zaidi ya muda huo.
 
Mliwafukuza mlizani.mmefukuza chuma sio binadamu?
Rudini kwenye jukwaa kisha muwaombe msamaha kama mlivyowafukuza.
Nyie si ni wazee wa kutetea haki ya habali mnaogopa nini?
Fungueni midomi yenu kwa akiri kabla ya kukwaza watu.
Pale walifurushwa sabb walikuwa hawatangazi, walikuwa wanafanya UNAFIKI tu
 
Mimi sio mfuatiliaji wa vipindi vya t.v. lakini ninachojua tbc wana vipindi vingi sana vinavyohusu maswala ya maendeleo ya nchi, vikielezea miradi tofauti katika sekta tofauti tofauti, changamoto na mabadiliko chanya katika jamii.
Ila sababu hivyo vyote vimefanyika chini ya serikali ya chama kilichopo madarakani wapinzani wanaona kama ni kampeni huku wakisahau wananchi wana haki ya kuhabarishwa maendeleo yao
Ni sawa kabisa. Lakini limewakwa doa katika vazi jeupe na hivi kutovaliwa. Kuna wakati kutwa nzima ni misafara ya ccm tuu. Bora wangejiunga kipindi ambacho mheshimiwa anatoa hotuba ingetosha. Sasa hadi watu wakinengua wanaweka live. Inachosha.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Umesema hufuatilii, sasa una comment nini hiki?
"No research no right to speak"

Katiba inasema Tanzania ni nchi ya vyama vingi.. Tbc wanatumia Kodi za wananchi wote, lkn wanafanya coverage ya ccm pekee, what a nuisance!!!
Yaani una arguments za kitoto😁😁😁😁 huna point yoyote ila naiona jazba kuu kifuani mwako😂😂 Polee
 
Pale walifurushwa sabb walikuwa hawatangazi, walikuwa wanafanya UNAFIKI tu
Busara ingetumika sio kila kitu ni kushupaza shingo kwa sababu watu watashangilia... Chadema kimejaza wakora ndio shida inaanza apo.
 
Mliwafukuza mlizani.mmefukuza chuma sio binadamu?
Rudini kwenye jukwaa kisha muwaombe msamaha kama mlivyowafukuza.
Nyie si ni wazee wa kutetea haki ya habali mnaogopa nini?
Fungueni midomi yenu kwa akiri kabla ya kukwaza watu.
Pale walifurushwa sabb walikuwa hawatangazi, walikuwa wanafanya UNAFIKI tu
Mkuu unatoa wapi muda wa kuangalia TV asubuhi mpaka jioni?
TBC wanalipwa na pale wako kazini na Magufuli ni bosi wao. Huwezi kupika pilao ukaacha watoto wako hawajala ukaita wa majirani
Wewe hujui Kama ile ni TV ya umma, na wala siyo ya magufuli?!
 
Mzee umekwazika sana ila Mwenyekiti alivowafurusha kama mbwa ulishangilia si ndio ...wabongo kwa kijiona wanajua bwana.
ACT, CUF na vyama vingine nao pia waliwafurusha?

Na kabla ya tukio hili TBC iliwahi kuwapa coverage wapinzani?

Kwa nini kila anayezungumzia haki mnamuona kuwa ni CHADEMA, je mwananchi asiyekuwa na chama hawezi kusemea haki?
 
Upumbavu wako wewe unayetaka tufurahie ujinga, wewe umefanikiwa nini kama siyo mpumbavu tu? Wote wanaoipinga serikali ya CCM wamefeli kimaisha? Pathetic fool
Narudia Tena, sio wote wanaoipinga serikali ya CCM wamefeli maisha, wapo waliofanikiwa Ila kwa haya mashudu unayoandika, wewe hauwezi kuwa miongoni mwao.

NB:Nakushauri tena, acha kuishi kwenye ndoto za wenzako.
 
Kuanzia asubuhi hadi jioni umegundua wanarusha ccm tu! Aisee TV unaiangalia ndugu yangu.
 
Hatulalamiki juha wewe, aliwafukuza bila sababu ya msingi? Hata kama una ushabiki wa kipumbavu basi kuwa na hekima hata ya kuazima. Ni haki kwa chombo kinachoendeshwa kwa kodi za umma kugeuzwa kuwa kituo cha CCM?
Sasa mnalipia airtime au mnataka mrushwe tu, mnajifanya kujua kama yule mlemavu kumbe ni mabogas tu.
 
ACT, CUF na vyama vingine nao pia waliwafurusha?

Na kabla ya tukio hili TBC iliwahi kuwapa coverage wapinzani?

Kwa nini kila anayezungumzia haki mnamuona kuwa ni CHADEMA, je mwananchi asiyekuwa na chama hawezi kusemea haki?
Huwa unaangalia habari au unaleta porojo tu apa.
 
Sasa mnalipia airtime au mnataka mrushwe tu, mnajifanya kujua kama yule mlemavu kumbe ni mabogas tu.
Bogas ni wewe, na unadhihisha kuwa ni bogus kwa kejeli dhidi ya aliyejeruhiwa na watu bogus. Kweli inajulikana kuficha kweli unaonekana wewe ndio bogus, niambie ni lini wewe umeenda kukagua TBC kuwa ni CCM tu wanaolipia airtime na vyama vingine havilipii?
 
Back
Top Bottom