Katiba iliyochakachuliwa na kada Sitta?Walikimbia bunge la katiba mpya waliojiona wajanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katiba iliyochakachuliwa na kada Sitta?Walikimbia bunge la katiba mpya waliojiona wajanja
Naona una kichwa kigumu sana. Nimekwambia kitokuishabikia CCM hakufanyi Ni conclude kwamba wewe Ni jobless, ila hata mashudu unayozidi kuyaandika unaponiquote, yanadhirisha status yako kimaisha.Mawazo yako ni ya kijanja? Wewe ni MPUMBAVU na unazidi kuonyesha upumbavu wako, kwa wewe kuipinga CHADEMA unaonekana una kazi? Au unataka niipende kwa injustices kwa wote wanaopingana na awamu hii? Nione jobless lakini sijakuomba hata bando kuwasoma wapumbavu kama wewe mnaotetea dhulma dhidi ya haki, haki huinua taifa.
Jobless or not we will never be intimidated na wapuuzi kama wewe
Utajuaje kama agenda ni kuiuwa. Mimi hata sikumbuki tena hata namba yake. Siifungui kabisaMatangazo ya TBC hususani kampeni za Uchaguzi Mkuu ni utopolo mtupu uliokosa weledi na busara za kiutangazaji kama chombo cha umma kinachogharamiwa na kodi za wananchi wote.
Tumevumilia sana, sasa tumechoka. Ni ujinga, hata kama mnalazimishwa, kuitangaza CCM pekee na Wagombea wake kuanzia Asubuhi mpaka jioni kana kwamba ndiyo chama pekee.
Hili limezua hasira kuu, chuki mbaya, na kimsingi badala ya kuieneza CCM mmeiua kabisa CCM kwenye mioyo ya wananchi. Badilikeni haraka, la sivyo, mnachokitafuta, kwa ujinga wenu, mtakipata.
ACT nao waliwafukuza mbona hawapati coverage?Shida iko wapi? Chadema si waliwafukuza? Waache bloggers wawafanyie kazi.
Ameua 'FAST JET' ambayo nauli yake Dar - Mwanza ilikuwa sh elfu 70, sasa kwa haya mandege yake ya kinyonyaji ni sh laki 4 !!!Changamoto ni challenges
Tunataka tuone ufisadi uliopo kama vile kubomoa nyumba bila malipo
Hela za rambirambi za wahanga wa majanga mbalimbali
Watu wanauwawa na wasiojulikana
Kandarasi zote kupewa mume mwenza bila kutangaza zabuni huku makampuni mengine yakifilisika
Makampuni na wawekezaji wanaondoka baada ya kushindwa kufanya Kazi
Wakullma wa korosho wakopwa mazao bei chini mpaka Leo bado hawajalipwa
Wakullma wa mpunga na mahindi mazao Yao yamedoda
Hazina ya Tanzania ipo mikinoni mwa mtoto wa dadake rais
Mkaguzi wa mahesabu asema zaidi ya dola billion moja imepotelea ikulu bila kujulikana ikwapi
Rais anajimilikisha hekta 25000 na inalindwa na jeshi etc etc
Kuna uvundo mwingi Sana katika serikali hii Ndio maana kitu cha kwanza alichofanya ni kubana media
Kwa Mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu hatuwezi kusikia
BBC, VOA, DW wala Radio Japan
Why why why???
Mbona nchi zingine wanapata habari???
Sasa kwani swala la TBC kutumia Kodi za huyo niliemquote Ni uongo?😃 Kijana usipanick.Hoja zangu za kijinga hizi kauli za kejeli ndio zenye akili? Nikikuambia mpumbavu nakosea? You will never intimidate anybody
Upumbavu wako wewe unayetaka tufurahie ujinga, wewe umefanikiwa nini kama siyo mpumbavu tu? Wote wanaoipinga serikali ya CCM wamefeli kimaisha? Pathetic foolNaona una kichwa kigumu sana. Nimekwambia kitokuishabikia CCM hakufanyi Ni conclude kwamba wewe Ni jobless, ila hata mashudu unayozidi kuyaandika unaponiquote, yanadhirisha status yako kimaisha.
Siku zote hakuna ambaye huwa anawafanyia intimidation, mnajihisi hivyo kwasababu wengi wenu ni watu waliofeli maisha na hakuna kingine Cha kuwafariji zaidi ya kuisukumia serikali upumbavu wenu.
Pale walifurushwa sabb walikuwa hawatangazi, walikuwa wanafanya UNAFIKI tuMliwafukuza mlizani.mmefukuza chuma sio binadamu?
Rudini kwenye jukwaa kisha muwaombe msamaha kama mlivyowafukuza.
Nyie si ni wazee wa kutetea haki ya habali mnaogopa nini?
Fungueni midomi yenu kwa akiri kabla ya kukwaza watu.
Ni sawa kabisa. Lakini limewakwa doa katika vazi jeupe na hivi kutovaliwa. Kuna wakati kutwa nzima ni misafara ya ccm tuu. Bora wangejiunga kipindi ambacho mheshimiwa anatoa hotuba ingetosha. Sasa hadi watu wakinengua wanaweka live. Inachosha.Mimi sio mfuatiliaji wa vipindi vya t.v. lakini ninachojua tbc wana vipindi vingi sana vinavyohusu maswala ya maendeleo ya nchi, vikielezea miradi tofauti katika sekta tofauti tofauti, changamoto na mabadiliko chanya katika jamii.
Ila sababu hivyo vyote vimefanyika chini ya serikali ya chama kilichopo madarakani wapinzani wanaona kama ni kampeni huku wakisahau wananchi wana haki ya kuhabarishwa maendeleo yao
Yaani una arguments za kitoto😁😁😁😁 huna point yoyote ila naiona jazba kuu kifuani mwako😂😂 PoleeUmesema hufuatilii, sasa una comment nini hiki?
"No research no right to speak"
Katiba inasema Tanzania ni nchi ya vyama vingi.. Tbc wanatumia Kodi za wananchi wote, lkn wanafanya coverage ya ccm pekee, what a nuisance!!!
Busara ingetumika sio kila kitu ni kushupaza shingo kwa sababu watu watashangilia... Chadema kimejaza wakora ndio shida inaanza apo.Pale walifurushwa sabb walikuwa hawatangazi, walikuwa wanafanya UNAFIKI tu
Pale walifurushwa sabb walikuwa hawatangazi, walikuwa wanafanya UNAFIKI tuMliwafukuza mlizani.mmefukuza chuma sio binadamu?
Rudini kwenye jukwaa kisha muwaombe msamaha kama mlivyowafukuza.
Nyie si ni wazee wa kutetea haki ya habali mnaogopa nini?
Fungueni midomi yenu kwa akiri kabla ya kukwaza watu.
Wewe hujui Kama ile ni TV ya umma, na wala siyo ya magufuli?!Mkuu unatoa wapi muda wa kuangalia TV asubuhi mpaka jioni?
TBC wanalipwa na pale wako kazini na Magufuli ni bosi wao. Huwezi kupika pilao ukaacha watoto wako hawajala ukaita wa majirani
ACT, CUF na vyama vingine nao pia waliwafurusha?Mzee umekwazika sana ila Mwenyekiti alivowafurusha kama mbwa ulishangilia si ndio ...wabongo kwa kijiona wanajua bwana.
Narudia Tena, sio wote wanaoipinga serikali ya CCM wamefeli maisha, wapo waliofanikiwa Ila kwa haya mashudu unayoandika, wewe hauwezi kuwa miongoni mwao.Upumbavu wako wewe unayetaka tufurahie ujinga, wewe umefanikiwa nini kama siyo mpumbavu tu? Wote wanaoipinga serikali ya CCM wamefeli kimaisha? Pathetic fool
Sasa mnalipia airtime au mnataka mrushwe tu, mnajifanya kujua kama yule mlemavu kumbe ni mabogas tu.Hatulalamiki juha wewe, aliwafukuza bila sababu ya msingi? Hata kama una ushabiki wa kipumbavu basi kuwa na hekima hata ya kuazima. Ni haki kwa chombo kinachoendeshwa kwa kodi za umma kugeuzwa kuwa kituo cha CCM?
Huwa unaangalia habari au unaleta porojo tu apa.ACT, CUF na vyama vingine nao pia waliwafurusha?
Na kabla ya tukio hili TBC iliwahi kuwapa coverage wapinzani?
Kwa nini kila anayezungumzia haki mnamuona kuwa ni CHADEMA, je mwananchi asiyekuwa na chama hawezi kusemea haki?
Bogas ni wewe, na unadhihisha kuwa ni bogus kwa kejeli dhidi ya aliyejeruhiwa na watu bogus. Kweli inajulikana kuficha kweli unaonekana wewe ndio bogus, niambie ni lini wewe umeenda kukagua TBC kuwa ni CCM tu wanaolipia airtime na vyama vingine havilipii?Sasa mnalipia airtime au mnataka mrushwe tu, mnajifanya kujua kama yule mlemavu kumbe ni mabogas tu.