Uchaguzi 2020 TBC, sasa tumewachoka kwelikweli, mnachochea hasira kubwa msiyoweza kuizima

Ameua 'FAST JET' ambayo nauli yake Dar - Mwanza ilikuwa sh elfu 70, sasa kwa haya mandege yake ya kinyonyaji ni sh laki 4 !!!
wale fastjet walikufa wenyewe kwani waliuliwaje?
Hujui kwa ndege ambazo zinanunuliwa kwa Cash money uendeshaji wake ni tofauti sio sawa na ndege za kukodi
 
Mashetani yalikupanda siku hiyo siyo?

Kwa nini uliangalia TBC wewe mtu?

Na hizi kelele za kila siku huwa mkisema mlishaacha kuangali TBC leo inakuwavipi tena?

Jinga kabisa wewe!!
 
Sasa si muangalie station nyingine kwn mmelazimishwa? Na seriuos mnataka wampe coverage mtu kajaa matusi hotuba zake zote?
Kwani ye kamtaja MTU? Mbona hawampi coverage Lipumbavu, Rungwe et al
 
They are a CCM grave diggers.
 
Siku ya ufunguzi wa flyover ubungo ndio nilijua upuuzi wa TBC na weledi wa ITV katika kuripoti tukio lile
 
Ukimtoa yule mdada mzuri anaitwa elizabeth semtamba.unabaki utopolo mixa utumbo
 
Sasa si muangalie station nyingine kwn mmelazimishwa? Na seriuos mnataka wampe coverage mtu kajaa matusi hotuba zake zote?
issue sio kuangalia station zingine issue ni matumizi mabaya ya kodi zetu.
 
Sasa si muangalie station nyingine kwn mmelazimishwa? Na seriuos mnataka wampe coverage mtu kajaa matusi hotuba zake zote?
Kwa jinsi mgombea wa CDM alivyo na anavyoongea vitu live and direct ni lazima utasema anaongea matusi maana anaongea ukweli mtupu yan😂😂😂😂😂
Hospital zetu zina madawa sasa 🤔
Tunakula hizo ndege sasa 🤔
Mzunguko ukoje kwa wananchi🤔
Kotosho zimelipwa🤔
Pamba zimelipwa 🤔
Waliobomolewa nyumba wamelipwa🤔
Ajira vijana tumepata 🤔
Mikataba ya utengenezaji reli iko wap🤔
Watumishi wamepandishwa vyeo je mshaharaumeongezwa🤔
Deni la taifa kwa nn linaongezeka kwa kasi wakati tunatumia pesa ya ndani🤔
Machinga wanatoa 20k hazionekani kwenye report ya CAG🤔
All this shit kwa nn usiseme ni matusi
Hata kama ni mm lazima nitasema ni matusi
 
Yaani na mbwembwe zooooooooote za kuisema vibaya TBC1 kumbe bado mnaiangalia!!!!!
 
Huwa nakereka pale ninapomtembelea bi mkubwa nyumbani alafu tukiwa sebuleni hataki channel nyingine zaidi ya TBC. Ni mfanyakazi, ameathiriwa sana na mfumo wa uongozi wa mzee huyu lakini sijui kwanini hataki kusikia habari nyingine zaidi ya za CCM tu, eti oh nyinyi vijana hamjui lolote kuhusu siasa.
Ngoja niishie hapa kwanza.....
 
Nna Mzee wangu kila saa mbili anaweka taarfa ya habari TBC, naona hii ni dalili ya kunifukuza niende kupanga na Mimi nimekubali nitaenda kupanga tu.

Mzee kunilazimisha kwamba lazima niangalie TBC ni psychological torturing.
 
Unaanzaje ukiangalia hiyo channel mkuu, hiyo haiko kwenye list vyombo vya habari nchini ila chombo cha taarifa za fifiem.
 
Mzee Tido aliondoka na kila zuri lake pale, sasa ni hovyo kabisa, ila Tbc sijui kama itafufuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…